ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,062
- 6,197
Agenda za Kitila, Mihogo zitakuwa huko kwenu, Mungu akupe nini?Chadema ya sasa haina agenda wala ilani ya chama wagombea wao kujinadi hujinadi vile.wanavyoota vyovyote.
Agenda za Kitila, Mihogo zitakuwa huko kwenu, Mungu akupe nini?Chadema ya sasa haina agenda wala ilani ya chama wagombea wao kujinadi hujinadi vile.wanavyoota vyovyote.
Kwa kizungu hiki ni kweli edo alishinda tena kwa kishindo!!We believe Lowassa won! But I believe am in Africa thats why is not the president
huu upuuzi mimi ndo niliukataaa eeeti kwa sasa ni msafi!?View attachment 696414
Makamanda kama kawa na ubongo wa panzi.
mi mw2enyewe ni chadema kabisaa ila sikumpa lowasaKwa kizungu hiki ni kweli edo alishinda tena kwa kishindo!!
Umemfunga mikono unaepigana nae, halafu unadai mbona hatupi ngumi za usoni kama zamani. Ungekuwa mkweli kwa nafsi yako ungeona aibu hata kuuliza hayo.Yeeah, enzi hizo nikiielewa sana chadema. Sasa hivi Dj kauza chama.
unafananisha alivyochafuliwa lowasa na dr slaa mkuu hauko siliasi? TULISEMA NI MWIZI FISADI NA USHAHIDI TUKATOA. MI KWAKWELI NILISHINDWA KUMPAMBA TENA EDO.Mkuu usijitoe ufahamu hayo yalishamalizwa ndani ya kamati kuu kabla hawajampitisha kugombea urais au unafkiri wangempitisha lowassa huku wakijua kabisa anaweza funguliwa kesi ya uhujumu uchumi!!!!
Kma hiyo ndio hoja kuinanga CHADEMA hivi si Kina mwigulu na kikwete walisema padri slaa ni mzinifu, msaliti wa dini cjui kibaraka wa wazungu na kwamba hastahili hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji leo mbona CCM hiyo hiyo imempa ubalozi!!! Funny
Kwahiyo CCM inanunua wapinzani, sasa rushwa wataidhibiti vipihii ya lowasa imekuwa nyepesi saana kwa ccm ndo maana hata watu wananunulika kirahisi na ccm.
Wafuate wasaliti wenzako huko, usitutie kinyaa hapaHii combination ya uongozi pale Ufipa ilisaidia sana kuijenga Chadema. Hawa watu walikuwa na uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja wakimshirikisha pia Prof Kitila na waliweza kukitetea kile wanachokiamini. Zama hizi kwa mbali naiona combination mpya pale Ufipa ya Lowassa - Mbowe - Lema - Msigwa ila bado nafuatilia ufanisi wake. Je mdau wewe binafsi unazitazamaje hizi timu hizi mbili. Ijumaa njema!
Kipi ambacho huelewi..... Katiba inayotumika sasa ndio ilitumika awamu iliopita tofauti ni kwamba Rais wa sasa hataki kuheshimu sheria ya vyama
Sasa mpaka hapo mazingira ni tofauti huwezi linganisha upinzani awamu ya kikwete na sasa awamu ya magufuli..... Hta ssa hivi kma siasa ingeruhusiwa usingekuwa unayasema haya
Hivyo whether wapinzani wamepigania haki zao ama la ila haiondoi ukweli kwamba hao uliowataja. Kwa sasa wanaoperate mazingira tofauti kabisa sio haki kulinganisha
Watu wa aina yako tupo wengi...hata mie nilimtosa mamvi isipokuwa kwa ubunge na udiwani chadema walipata kura yangu!mi mw2enyewe ni chadema kabisaa ila sikumpa lowasa
Ni aibu kujivunia udikteta na tabia mbovu zilizokuwa za mkoloni miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru.Kazi Moja wapo ya Chama cha Upinzani ni kushinikiza Serikal kwenye Madai Yao ya kimsingi na Kikatiba
Kama mmepigwa Marufuku kufanya Siasa nanyi mkatii bila ya kuchukua hatua na mbinu mbali mbali huo ni Moja ya udhaifu wenu
Haki za kidemokrasia hupiganiwa haiji automatic Kama mawimbi ya Bahari
Nanihii naye aliapa nini kuhusu mafisadi?Vipi Mbowe, Lema na Msigwa waliapa nini kuhusu Lowasa.
Dr. Slaa alivunjika mkono akiwa bafuni Mwanza kwenye kampeni za uraisi mwaka 2010 na alitibiwa for the first time Bugando Hospital, hospitali inayo milikiwa na kanisa la Roman Cathoric; una lingine? Ubishi wa kitoto hua sipendagi, mazingira ya kufanya siasa Enzi za JK na Mkapa ni tofauti sana na sasa hivi, yaani kama hata kulinganisha nyakati tu huwezi then labda wewe ndio umezaliwa juzi. Nimeanza kupiga KURA mwaka 1990 so najua vyama vingi vilivyo anza hali ilikuaje na sasa hali ikoje.Nazani wewe umezaliwa 2015. Dr slaa alivunjwa mkono harusini? Na Lipumba alikula mkong'oto kwenye kitchen part?
Nimecheka Sana hasa atakayemuunga mkono lowasa akapimwe akiliView attachment 696414
Makamanda kama kawa na ubongo wa panzi.
Lisu alishinikiza akapigwa risasiKazi Moja wapo ya Vyama bya Siasa ni kushinikiza Serikal inaheshimu Sheria na Katiba na Kama Kila kitu inapaswa kiende chenyewe automatic Sasa Vyama vya Upinzani ni vya kazi gani?
Hapa ni nani kafungwa mikono na miguu na midomo pia??Umemfunga mikono unaepigana nae, halafu unadai mbona hatupi ngumi za usoni kama zamani. Ungekuwa mkweli kwa nafsi yako ungeona aibu hata kuuliza hayo.
Dr Mihogo mbona kajisalimisha kwa mafisadi ccm na aliapa kumfunga Magufuli kwa kuuza nyumba za serikali endapo angeshinda urais?
Kamanda naona umekwazika sana!Wewe nawe mpumbavu tu kabisa, hao uliowataja mliwapiga na virungu, maji ya washawasha, mabomu ya machozi, wengine mliwavunja miguu na mikono mfano Dr.Slaa.Hawa wa leo wamekuwa vichomi zaidi kwenu hadi mmeamua kuwaua kabisa.
Ulichoandika ni ujinga mtupu.