Unaikumbuka CHADEMA hii ya Dr. Slaa, Zitto, Lissu na Mnyika!!

Ha ha ha ha.. Sisiemu wanajitekenya na kucheka wenyewe.. Wekeni silaha chini, na muache kulitumia jeshi la polisi kudhibiti Chadema, kisha ndo mje kusema haya mnayosema..
wa lowasa waoga kwani nilini ccm iliacha kutumia jeshi la polisi? tukubali hii ya lowasa dhaifu sana. wko wapi akina mnyika?
 
Hiyo colabo utaziona wapi huku watu hawana hata nafasi za kuzunguka kueneza chama(mikutano ya siasa),wanakusanyana tu pale kunapokuwa na uchaguzi wa marudio,lkn kombinesheni uliyoitaja ilikuwa katika wakati wa bwana yule (mzee wa msoga)
 
Kazi Moja wapo ya Chama cha Upinzani ni kushinikiza Serikal kwenye Madai Yao ya kimsingi na Kikatiba

Kama mmepigwa Marufuku kufanya Siasa nanyi mkatii bila ya kuchukua hatua na mbinu mbali mbali huo ni Moja ya udhaifu wenu

Haki za kidemokrasia hupiganiwa haiji automatic Kama mawimbi ya Bahari
Haki za kidemokrasia hupiganiwa haiji automatic Kama mawimbi ya Bahari
 
Kununulika huambatana na Smg ukileta ubishi ambao hawataki kuuza utu wao umeoana wanavyoteseka.
naona umesaha akina DR Slaa walivyovunjwa mikono, umesahau morogoro walivyouwawa, umesahau arusha. hakuna chadema kama ya dr slaa, ya sasa dhaifu mnoo. kwanza kila mtu anandevu hajulikani nani wakumdhibiti nani, ndo maana lowasa anaenda ikulu na chama hakijui.
 
Ili ufanye comparison vizuri yangefanyika haya kwanza ndio tuone hi colabo imeka poa au vibaya:-

1. Bunduki zitumike kwa waharifu tu.
2. Tusifanye utekaji wa wafuasi, tubishane kwa hoja.
3. Turuhusu mikutano na maandamano kama Enzi za JK.

Hiyo colabo ulioisifia hayo mambo 3 yalikua hivyo, leo ukifanya mkutano tu wa hadhara tayari charge yako inakua imeisha tengenezwa hata kabla ya mkutano, hapo unategemea nini!?
Nazani wewe umezaliwa 2015. Dr slaa alivunjwa mkono harusini? Na Lipumba alikula mkong'oto kwenye kitchen part?
 
Sasa hata hiyo operation sangara unayoongelea sahivi haziruhusiwi mpaka 2020 sasa hata wangekuwepo wangekuwa na makali yeyote tena kwa mazingira haya ya kisiasa??

Nafkiri mngerudisha mazingira ya siasa za awamu ya 4 ndio tungepata clear picture kma CHADEMA imekufa ama lah
Hatujawahi kuwa na mazingira rafiki mkuu.
Mikutano haijaanza kukatazwa leo -Tuache visingizio vya kimange kimambi.
Mikutano ilishazuiwa enzi zile na wananchi walipoteza maisha na kuumizwa sana kupambana na mazuio.
Tukiri tu kuwa kwa sasa tumelegea mno! na tangu tusombe MAFISADI ya CCM na kupoteza ajenda wananchi wametustukia.
Nani yupo tayari kupambana na jamaa alishatangaza HAJARIBIWI?
 
naona umesaha akina DR Slaa walivyovunjwa mikono, umesahau morogoro walivyouwawa, umesahau arusha. hakuna chadema kama ya dr slaa, ya sasa dhaifu mnoo. kwanza kila mtu anandevu hajulikani nani wakumdhibiti nani, ndo maana lowasa anaenda ikulu na chama hakijui.
Udhaifu wa kupigana au kutetea madaraka?
 
20180216_114229.png

Makamanda kama kawa na ubongo wa panzi.
 
Sasa hata hiyo operation sangara unayoongelea sahivi haziruhusiwi mpaka 2020 sasa hata wangekuwepo wangekuwa na makali yeyote tena kwa mazingira haya ya kisiasa??

Nafkiri mngerudisha mazingira ya siasa za awamu ya 4 ndio tungepata clear picture kma CHADEMA imekufa ama lah
Haki haiombwi bali hupiganiwa. Na hii ni mojawapo ya udhaifu wa chadema ya sasa
 
Hatujawahi kuwa na mazingira rafiki mkuu.
Mikutano haijaanza kukatazwa leo -Tuache visingizio vya kimange kimambi.
Mikutano ilishazuiwa enzi zile na wananchi walipoteza maisha na kuumizwa sana kupambana na mazuio.
Tukiri tu kuwa kwa sasa tumelegea mno! na tangu tusombe MAFISADI ya CCM na kupoteza ajenda wananchi wametustukia.
Nani yupo tayari kupambana na jamaa alishatangaza HAJARIBIWI?
mkuu kwa kipindi kile chama kilikuwa kinaenda kwa umoja wao na ndo maana JK ALIKUWA ANAOGOPA, saizi chama kila mtu anajitosa kivyake tunamtegemea TUNDULISU TU, hahahah eeeti na yule dada wamarekani anayetukana watu. turudi kwa umoja halafu tuone watuuwe woote kwa umoja wetu, SHIDA WENGI WANABEI (WANANUNULIKA)
 
Chadema ya sasa ipo kama chombo kilichopoteza mwelekeo baharini baada yakupigwa na wimbi, hawana wanachosimamia zaidi ya blablaa
 
Hapo umechanganya mkuu. Wanaomsifu Dr slaa sasaiv sio ccm ila ni wale waliokimbia chadema baada ya Dr slaa kuondoka. Ni wafuasi wa Dr slaa siku zote. Hapa ndipo chadema ilipopoteza wanachama wengi.
 
Kazi Moja wapo ya Chama cha Upinzani ni kushinikiza Serikal kwenye Madai Yao ya kimsingi na Kikatiba

Kama mmepigwa Marufuku kufanya Siasa nanyi mkatii bila ya kuchukua hatua na mbinu mbali mbali huo ni Moja ya udhaifu wenu

Haki za kidemokrasia hupiganiwa haiji automatic Kama mawimbi ya Bahari
Kipi ambacho huelewi..... Katiba inayotumika sasa ndio ilitumika awamu iliopita tofauti ni kwamba Rais wa sasa hataki kuheshimu sheria ya vyama

Sasa mpaka hapo mazingira ni tofauti huwezi linganisha upinzani awamu ya kikwete na sasa awamu ya magufuli..... Hta ssa hivi kma siasa ingeruhusiwa usingekuwa unayasema haya

Hivyo whether wapinzani wamepigania haki zao ama la ila haiondoi ukweli kwamba hao uliowataja. Kwa sasa wanaoperate mazingira tofauti kabisa sio haki kulinganisha
 
Hapo umechanganya mkuu. Wanaomsifu Dr slaa sasaiv sio ccm ila ni wale waliokimbia chadema baada ya Dr slaa kuondoka. Ni wafuasi wa Dr slaa siku zote. Hapa ndipo chadema ilipopoteza wanachama wengi.
Embu kuwa serious..... Karatu kata karibu zote zilibaki chadema mpaka mbunge sasa kma kwake kabisa walimkataa nani alimfuata slaa

Mbona walipotangaza maandamano hakuna aliyeenda
 
Hatujawahi kuwa na mazingira rafiki mkuu.
Mikutano haijaanza kukatazwa leo -Tuache visingizio vya kimange kimambi.
Mikutano ilishazuiwa enzi zile na wananchi walipoteza maisha na kuumizwa sana kupambana na mazuio.
Tukiri tu kuwa kwa sasa tumelegea mno! na tangu tusombe MAFISADI ya CCM na kupoteza ajenda wananchi wametustukia.
Nani yupo tayari kupambana na jamaa alishatangaza HAJARIBIWI?
Mikutano ilikuwa inaruhusiwa hata kma figisu zilikuwepo ila visingizio vya kipolisi tu ila sikuwahi sikia mtu anasema MARUFUKU mpaka 2020 huo hukuwahi tamkwa hadharani ndio hoja yangu sasa bila M4C chama kitasambaaje watu wasikilize sera??? Kma mikutano haisadii mbona magufuli anafanya si angekuwa anaongelea ikulu tu kila siku au mikutano na viongozi pekee

Nachopinga ni kulinganisha upinzani wa nchi ya demokrasia na upinzani wa nchi za kidikteta.... Upinzani wa awamu hii hauna tofauti na upinzani wa Rwanda wa diane rwagira

Mnaotetea ukweli mnaujua moyoni ila basi tu mnataka ligi
 
Haki haiombwi bali hupiganiwa. Na hii ni mojawapo ya udhaifu wa chadema ya sasa
Ndio msilinganishe sasa mazingira

Kma CHADEMA ndio ina shida vipi CUF NCCR na ACT ze ni zile zile kma awamu ya 4??? Embu kuweni serious hakuna chama kinaweza kustawi kwa sasa sababu ya udikteta kma hilo hamlioni basi tunastahili kuwa LDC kwa miaka 50 ijayo
 
Vipi Mbowe, Lema na Msigwa waliapa nini kuhusu Lowasa.
Mkuu usijitoe ufahamu hayo yalishamalizwa ndani ya kamati kuu kabla hawajampitisha kugombea urais au unafkiri wangempitisha lowassa huku wakijua kabisa anaweza funguliwa kesi ya uhujumu uchumi!!!!

Kma hiyo ndio hoja kuinanga CHADEMA hivi si Kina mwigulu na kikwete walisema padri slaa ni mzinifu, msaliti wa dini cjui kibaraka wa wazungu na kwamba hastahili hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji leo mbona CCM hiyo hiyo imempa ubalozi!!! Funny
 
Back
Top Bottom