Unaikumbuka CHADEMA hii ya Dr. Slaa, Zitto, Lissu na Mnyika!!

Kazi Moja wapo ya Chama cha Upinzani ni kushinikiza Serikal kwenye Madai Yao ya kimsingi na Kikatiba

Kama mmepigwa Marufuku kufanya Siasa nanyi mkatii bila ya kuchukua hatua na mbinu mbali mbali huo ni Moja ya udhaifu wenu

Haki za kidemokrasia hupiganiwa haiji automatic Kama mawimbi ya Bahari
Iil258i576or893
Vipi Mbowe, Lema na Msigwa waliapa nini kuhusu Lowasa.
 
Ndio msilinganishe sasa mazingira

Kma CHADEMA ndio ina shida vipi CUF NCCR na ACT ze ni zile zile kma awamu ya 4??? Embu kuweni serious hakuna chama kinaweza kustawi kwa sasa sababu ya udikteta kma hilo hamlioni basi tunastahili kuwa LDC kwa miaka 50 ijayo
Chadema kwa kupitia UKAWA imeharibu upinzani nchini baada ya gia ya angani. Raia tuliamini tunaweza kupambana na ccm na kupata haki zetu kupitia chadema. Vyama vingine pia vikaunga mkono kutokana na wingi wa wafuasi wa chadema, pamoja na kuwa vilikuwa na sera tofauti. Ndio maana hakuna UKAWA tena!
 
Dr. Slaa alivunjika mkono akiwa bafuni Mwanza kwenye kampeni za uraisi mwaka 2010 na alitibiwa for the first time Bugando Hospital, hospitali inayo milikiwa na kanisa la Roman Cathoric; una lingine? Ubishi wa kitoto hua sipendagi, mazingira ya kufanya siasa Enzi za JK na Mkapa ni tofauti sana na sasa hivi, yaani kama hata kulinganisha nyakati tu huwezi then labda wewe ndio umezaliwa juzi. Nimeanza kupiga KURA mwaka 1990 so najua vyama vingi vilivyo anza hali ilikuaje na sasa hali ikoje.
Samahani mkuu. Naomba nikupishe ukakojoe ulale. Mida ya watoto kucheza ishaisha.
 
Hapa ni nani kafungwa mikono na miguu na midomo pia??
Wewe ni nyumbu wa grade one.
View attachment 696475
Hii kitu makamanda huwa hawataki kuiona kabisa, ukitaka thread ipungue kasi we tupia tu hii...wanachungulia kdg na kusepa kimyakimya!
Lisu alishinikiza akapigwa risasi

Ben saanane alipinga udikteta kwa maandiko yake aliishia kutoweka!!

Mbowe alipinga zuio la mikutano alipokuwa mwanza ila kesi ikamalizwa kijanja kwa ushindi wa polisi na in turn akaishia kulala selo

Salum mwalimu alipigania haki ya wapinzani kukutana akafungwa jela huko itilima wiki 2

Mdee na bulaya walipinga uonevu wa wabunge wa upinzani wakaishia kufukuzwa mwaka mzima ilihali mbunge waliyemtetea alifungiwa siku 5 pekee

Walipotaka kuorganise UKUTA wakaitisha majeshi yote kuingia barabarani

Hivi kipi ambacho upinzani bado hawajafanya kushinikiza serikali itende haki ????

Tuache ushabiki magufuli anakosea sana kuwabana wapinzani nyie mnaoshabikia hivi CHADEMA ikifa leo mtafaidika nni?? Ilihali nchi zilizoendelea kma US na Uingereza vyama vya upinzani vinakuwa encouraged sana ila Tanzania utaskia magufuli anatumbua majipu hakuna haja ya upinzani...... Ngozi nyeusi tuna laana sio bure
 
Chadema kwa kupitia UKAWA imeharibu upinzani nchini baada ya gia ya angani. Raia tuliamini tunaweza kupambana na ccm na kupata haki zetu kupitia chadema. Vyama vingine pia vikaunga mkono kutokana na wingi wa wafuasi wa chadema, pamoja na kuwa vilikuwa na sera tofauti. Ndio maana hakuna UKAWA tena!
UKAWA ni dhana ya kufikirika!
 
Hapo umechanganya mkuu. Wanaomsifu Dr slaa sasaiv sio ccm ila ni wale waliokimbia chadema baada ya Dr slaa kuondoka. Ni wafuasi wa Dr slaa siku zote. Hapa ndipo chadema ilipopoteza wanachama wengi.
halafu cha ajabu wengi hawaelewi hilo. wale waslaa wengi ndani ya chadema wamekaa kinywa bila kuongea.
 
Chadema kwa kupitia UKAWA imeharibu upinzani nchini baada ya gia ya angani. Raia tuliamini tunaweza kupambana na ccm na kupata haki zetu kupitia chadema. Vyama vingine pia vikaunga mkono kutokana na wingi wa wafuasi wa chadema, pamoja na kuwa vilikuwa na sera tofauti. Ndio maana hakuna UKAWA tena!
Chadema imeuwaje upinzani?? Kwani ndio imezuia mikutano ya vyama?? Imerundikia kesi viongozi wa upinzani?? Embu tuache propaganda nyepesi

UKAWA bado ipo hata kampeni za kinondoni wamekuja kuanzia CUF CHAUMMA NLD na NCCR sasa unaposema UKAWA imekufa tukueleweje??
 
halafu cha ajabu wengi hawaelewi hilo. wale waslaa wengi ndani ya chadema wamekaa kinywa bila kuongea.
Kina nani hao wakati karatu lowassa alizoa kura zote kata zote na jimbo zima ...... Kma kwao tu walimkataa slaa ni nani aliyemuunga mkono??

Walitangaza maandamano morocco pale je nani aliyejitokeza kumuunga mkono??? Slaa tunaomkubali tuko wengi ila haimaanishi tunaunga mkono uhuni aliofanya wa kukimbia chama kisa familia
 
UKAWA ni dhana ya kufikirika!
Dhana ya kufikirika wapi?? Mbona vyama washirika vimeshiriki kampeni za chaguzi ndogo!!
IMG-20180215-WA0006.jpg
 
Hii kitu makamanda huwa hawataki kuiona kabisa, ukitaka thread ipungue kasi we tupia tu hii...wanachungulia kdg na kusepa kimyakimya!
Hamna cha kukimbia utafiti unapingwa na utafiti.... Lowassa alitolea maelezo kamati kuu wakayamaliza ni sawa na awamu iliopita CCM walimuita kafulila tumbili ila mwaka jana ikafahamika tena kupitia mwenyekiti wa CCM kuwa kweli IPTL ni ufisadi na kafulila hakuwa tumbili ila shujaa sasa tukiwa tunaquote na sisi statement za wanaCCM tutafika kweli

Tusipende kulalia kwenye historia ilihali mambo yanabadilika ndio maana slaa mlimuita fisadi wa ruzuku na anagawa viti maalum kwa michepuko wake ila leo hii mwenyekiti wa CCM kamuita mpinga ufisadi na shujaa na kampa ubalozi

Politics is versatile thus flexibility is required.....
 
Hii combination ya uongozi pale Ufipa ilisaidia sana kuijenga Chadema. Hawa watu walikuwa na uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja wakimshirikisha pia Prof Kitila na waliweza kukitetea kile wanachokiamini. Zama hizi kwa mbali naiona combination mpya pale Ufipa ya Lowassa - Mbowe - Lema - Msigwa ila bado nafuatilia ufanisi wake. Je mdau wewe binafsi unazitazamaje hizi timu hizi mbili. Ijumaa njema!
attention divertion
 
Kina nani hao wakati karatu lowassa alizoa kura zote kata zote na jimbo zima ...... Kma kwao tu walimkataa slaa ni nani aliyemuunga mkono??

Walitangaza maandamano morocco pale je nani aliyejitokeza kumuunga mkono??? Slaa tunaomkubali tuko wengi ila haimaanishi tunaunga mkono uhuni aliofanya wa kukimbia chama kisa familia
ulitaka lowasa asipate kura kwani alikuwa anagombea na dr slaa?? na ukumbuke slaa aliachana na siasa za vyama mpaka sasa hajasema yupo chama gani, na hayo ya morroco maandamano uliitisha wewe kwa sababu ningekuwa wa kwanza kuhudhulia kama yalikuwa na tija.
mkuu tunaipenda chadema lakini uhuni wa kumkalibisha lowasa kugombea uraisi haukubaliki hataa.
 
ulitaka lowasa asipate kura kwani alikuwa anagombea na dr slaa?? na ukumbuke slaa aliachana na siasa za vyama mpaka sasa hajasema yupo chama gani, na hayo ya morroco maandamano uliitisha wewe kwa sababu ningekuwa wa kwanza kuhudhulia kama yalikuwa na tija.
mkuu tunaipenda chadema lakini uhuni wa kumkalibisha lowasa kugombea uraisi haukubaliki hataa.
Nimetoa mfano wa karatu sababu unasema eti wengi wanaomsifia sasa sio CCM ila CHADEMA ambao hawakupendezwa na ujio wa lowassa... Sasa swali linakuja kma karatu peke ake hakuna hata mmoja alimfuata slaa aliposusa je unaweza nitajia eneo hata moja ambapo wafuasi wa slaa hawakumpigia lowassa kura?? Kma ni hivyo kivp kura zipae kutoka million 2 alizopata slaa 2010 mpaka zaidi ya million 6 2015?? Mbona sioni kivp slaa alipunguza kura hadi useme wafuasi wa slaa hawakumpigia lowassa

Kingine unasema uhuni kumkaribisha lowassa.... Sasa kama shida ni kumkaribisha tu... mbona Dk Slaa ndie alikubali lowassa ajiunge CHADEMA?? Hata press conference ake alidai shida yake ni kugombea urais ila hakuwa na shida lowassa kujiunga CHADEMA sasa unamtoaje slaa kwenye lawama!!!

Slaa aliondoka CHADEMA sababu familia ilipinga kunyimwa kugombea urais ila kma lowassa angekuwa mgombea mwenza unafkiri slaa angeondoka!!!?
 
Nimetoa mfano wa karatu sababu unasema eti wengi wanaomsifia sasa sio CCM ila CHADEMA ambao hawakupendezwa na ujio wa lowassa... Sasa swali linakuja kma karatu peke ake hakuna hata mmoja alimfuata slaa aliposusa je unaweza nitajia eneo hata moja ambapo wafuasi wa slaa hawakumpigia lowassa kura?? Kma ni hivyo kivp kura zipae kutoka million 2 alizopata slaa 2010 mpaka zaidi ya million 6 2015?? Mbona sioni kivp slaa alipunguza kura hadi useme wafuasi wa slaa hawakumpigia lowassa

Kingine unasema uhuni kumkaribisha lowassa.... Sasa kama shida ni kumkaribisha tu... mbona Dk Slaa ndie alikubali lowassa ajiunge CHADEMA?? Hata press conference ake alidai shida yake ni kugombea urais ila hakuwa na shida lowassa kujiunga CHADEMA sasa unamtoaje slaa kwenye lawama!!!

Slaa aliondoka CHADEMA sababu familia ilipinga kunyimwa kugombea urais ila kma lowassa angekuwa mgombea mwenza unafkiri slaa angeondoka!!!?
ndiyo maandalizi ya uraisi kwa dr slaa yalikuwa ni ya mda mrefu kukatishwa kwa sekunde chache ni kumfanyia uhuni
 
Hii combination ya uongozi pale Ufipa ilisaidia sana kuijenga Chadema. Hawa watu walikuwa na uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja wakimshirikisha pia Prof Kitila na waliweza kukitetea kile wanachokiamini. Zama hizi kwa mbali naiona combination mpya pale Ufipa ya Lowassa - Mbowe - Lema - Msigwa ila bado nafuatilia ufanisi wake. Je mdau wewe binafsi unazitazamaje hizi timu hizi mbili. Ijumaa njema!
ccm oyeeeeee
 
Samahani mkuu. Naomba nikupishe ukakojoe ulale. Mida ya watoto kucheza ishaisha.
Umestukia kwamba we ndio mtoto na sio mimi na badala ya kujibu nilicho kiandika unaanza kuzungumzia mambo ya kukojoa, mi nimeisha kojolea wengi tu so hilo wala sihitaji kukumbushwa mkuu.
 
Zitto!!

Najikuta namkumbuka!

Naangalia upinzani nasema hiiiiiiiiiiiiiiii

I stood with him, still I am proud of him

Hate him, love him, he is unique young man in our era

angekuwa msaliti, mbona angeondoka siku nyingi? waliokuwa makamanda kindakindaki ndio wako CCM

Chadema, inakufa ombeni msamaha mliowakosea
 
Back
Top Bottom