Unaijua nchi yako kweli? niambie haya maeneo yako wapi

DSC03007.jpg
 
hawa waendesha pikipiki siwafagilii kabisa especially nikiwa nadrive siwapendi kabisa wapitepite karibu yangu
DSC03175.jpg
 
Watanzania wanaishi humu kama hujui...ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee itikia basi man


Hizo nyumba zipo Dar, ina maana ni ofisi za Watanzania na wao wanaishi kwenye tembe? Na hilo tembe ndio kiota chako unawaelekeza wageni wako?

Any way, nana na wewe unaporomosha tembe lako la kisasa hapo nyuma.
 
Back
Top Bottom