Truth Well Told
Member
- Oct 26, 2013
- 31
- 12
Cyberteq,
if the problem is "Shati la mikono mirefu" mpigie simu kwa no niliyokutumia. Ila concern yangu ni deflection ya kuwatuhumu wamissionari na madini.
kwa watu wa Songea wanajua mchango wa Wamissionari sio kiroho tu, shule karibu zote , hospitali mifugo na kilimo bila ya nao watumishi wa Mungu kusingekuwepo maendeleo. Uliza shule ya Songea, TTC Peramiho, kigonsera, ndanda sec na hospitali, etc
if the problem is "Shati la mikono mirefu" mpigie simu kwa no niliyokutumia. Ila concern yangu ni deflection ya kuwatuhumu wamissionari na madini.
kwa watu wa Songea wanajua mchango wa Wamissionari sio kiroho tu, shule karibu zote , hospitali mifugo na kilimo bila ya nao watumishi wa Mungu kusingekuwepo maendeleo. Uliza shule ya Songea, TTC Peramiho, kigonsera, ndanda sec na hospitali, etc