toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Unajisikiaje ukitembea mtaani watu wanaanza kukutizama sana?
Sijui baadhi ya mitaa hapa bongo ni ya ajabu sana unapita wanaanza kukushangaa.
Unakuta watu wamekaa kijiweni au unapita zako wanaanza kukusema unashangaa kijiwe kimya.
Ni mambo ya ajabu na inakera sana kuna haja ya vijiwe kupigwa marufuku? Badala ya watu kufanya kazi wanakaa kijiweni na kukaa na kuanza majungu.
Kiukweli siku hizi mimi hadi napoteza confidence kabisa najikuta hadi najikwaa
Au unapita njiani mtu anaanza kukutaxama kuanzia juu mpaka chini mpaka unajiuliza kwamba huyo mtu anakujua ama unageuka unamkuta bado anakutizama. Sipendi kupita njiani au kijiweni watu wanaanza kunishangaa na nakereka sana hadi najiuliza labda sijachomekea?sijachana nywele?sijavaa properly? sijui kwa upande wako mwana JF?
Na unafanyaje kukabiliana na hii changamoto?
Sijui baadhi ya mitaa hapa bongo ni ya ajabu sana unapita wanaanza kukushangaa.
Unakuta watu wamekaa kijiweni au unapita zako wanaanza kukusema unashangaa kijiwe kimya.
Ni mambo ya ajabu na inakera sana kuna haja ya vijiwe kupigwa marufuku? Badala ya watu kufanya kazi wanakaa kijiweni na kukaa na kuanza majungu.
Kiukweli siku hizi mimi hadi napoteza confidence kabisa najikuta hadi najikwaa
Au unapita njiani mtu anaanza kukutaxama kuanzia juu mpaka chini mpaka unajiuliza kwamba huyo mtu anakujua ama unageuka unamkuta bado anakutizama. Sipendi kupita njiani au kijiweni watu wanaanza kunishangaa na nakereka sana hadi najiuliza labda sijachomekea?sijachana nywele?sijavaa properly? sijui kwa upande wako mwana JF?
Na unafanyaje kukabiliana na hii changamoto?