Unahitaji utulivu wa akili na umakini katika kufikiri ili kumuelewa Magufuli kelele za Covid-19: Hoja Sita!

blix22

JF-Expert Member
Jun 23, 2013
213
645
Unahitaji utulivu wa akili na umakini katika kufikiri ili kumuelewa Magufuli kelele za Covid-19: Hoja Sita!

Denis Mpagaze
___________________________
Katika kipindi hiki cha corona na propaganda za magharibi, tusipojipa muda wa kuusaka ukweli tutakuja kumuelewa Rais Magufuli akiishaoondoka madarakani kwa sababu ukweli unatabia ya kuchelewa lakini lazima ufike na unapofika unatabia ya kuwasumbua walioupuuza. Mzee Kikwete alipokuwa madarakani aliitwa dhaifu, leo ameondoka tunammis.

Burundi wanaendelea na kampeni za uchaguzi lakini hutosikia kelele, Tanzania kulegeza lockdown imekuwa agenda ya Dunia. Hapo ndo ujue wazungu wanahofu sana na Tanzania kwa sababu wanaujua mziki wake. Wakizubaa Afrika yote itakombolewa na Tanzania kama tulivyozikomboa nchi za Kusini mwa Afrika. Siku za wazungu kuiburuza Afrika zinahesabika. Andry Rajoelina wa Madagasca, Nkurunziza kiboko ya WHO na Mzee Magufuli baba lao wameonyesha uanaume kipindi hiki cha covid -19! Musiba yeye anakwambia tunatakiwa kuwa na World Bank ya Afrika! Musiba bwana! Kingereza chake kina hoja!

Ni kweli covid-19 inaua. Kila kona ya dunia tunazika! Huzuni ni kubwa! Mistake Afrika tuliifanya mwanzoni kabisa. Covid-19 ilipoanza kuwasumbua wazungu na wachina tulitakiwa kufunga mipaka fasta, no mzungu kuingia Afrika. Imagine janga lingeanzia Afrika kama kuna mtu angekanyaga kwao. Hilo hawakutushauri kabisa, wanatushauri tujilockdown! Anyway ngoja twende kwenye hoja zangu saba. Ruksa kuzichana!

Hoja ya kwanza:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini Magufuli ameipinga vikali kanuni ya “Stay home, protect your family,” na kuruhusu watu kuchapa kazi. Mzee alijua hili ni janga ambalo haliwezi kuisha leo wala kesho, hata ukimwi, surua, kansa na pepopunda vilianza hivi hivi na hadi leo vipo kwa sababu ni miradi ya wazungu! Ni tabia ya wazungu kutunga mitihani na kutuuzia majibu.

Walitengeneza virusi vya kompyuta ili watuuzie ant-virus, wakatengeneza ukimwi ili watuuziee barakoa za ukimwa, walitengeneza kansa ili watuuzie mionzi na dawa za kupunguza maumivu, walirutubisha mbu ili watuuzie net za Bill Gates, waliua ardhi yetu kwa mbolea na viwatilifu ili watuuzie mbolea, bila mbolea na dawa za kunyinyizia huvuni! Hii nayo ni kazi kubwa ya Monsanto!

Mtego wa “Stay home, protect your family,” umewanasa wasiojielewa. Unastay vipi home na wakati maisha yako ni ya riziki ya mbwa mdomoni? Stay home, protect your family, feed them stone to perish!

Leo dunia imemuelewa Magufuli kwa sababu ukweli unatabia ya kuchelewa, muda umefika WHO wamerudia maneno ya Magufuli, waliobana, waliobana wameanza kuachia! Yaani akisema mwafrika mwenzako huamini, akisema mzungu unaamini. Bure kabisa! Jamani siyo kila mzungu ni padre, wengine ni mashetani! Magufuli angekuwa mzungu leo angepewa tuzo ya utabiri na WHO ingekuwa genge la waafrika lingetozwa faini kwa kututabiria Afrika kufa sana.

Hoja ya Pili:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini Magufuli ameukwepa mtego wa kutatua kero ya corona kwa kutumia kero kama walivyofanya jamaa zetu. Full kuwatandika viboko waliokaidi kufia ndani. Afrika bila kutoka huli! Wahenga waliposema riziki ya mbwa iko miguuni hawakuwa wajinga. Mnazuia misongamano kwa viboko halafu mnagawa chakula kwa misongamano! Magufuli akiwapuuza mnamind! Kweli ujinga ni tishio zaidi ya covid-19.

Gonjwa lenyewe tangu lianze, limeishakula watu chini ya laki nne duniani kwa miezi 6 iliyo pita, wakati takwimu zinaonesha kwa mwaka watu zaidi ya milioni 40 wanakufa kila mwaka kwa magonjwa mengine sasa hii asilimia 1 ya vifo vya wazungu kibao na waafrika kiduchu ina maana gani hadi BBC kuifanya Tanzania kuwa agenda ya Dunia? Kwamba wazungu wanatupenda sana au? Kama wangekuwa wanatupenda siwangetuamrisha tufunge mipaka wazungu na wachina wasilete corona kwetu?Halafu unapomuweka ndani mtu muda wote kinga si ndo zitaisha kabisa?

Hoja ya Tatu:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini kelele za media hazimuondoi Magufuli kwenye reli. Anajua siri ya media. Ukisikiliza mikogo ya BBC huwezi kukaa Tanzania, maana wote tunaumwa. Majirani wameanza kutukataa. Rwanda akipita mtanzania wanaziba pua. Kenya, Uganda, Zambia ndo kabisa hawataki kutusikia kwa sababu BBC imesema tunanuka covid-19!

Halafu BBC inatumia watoto wetu, kutuchonganisha Afrika na wao hawashituki. Wanashitukaje na wakati mkono unaenda kinywani? Hata Mobutu Seseko Kuku wa Zabanga alishituka baada ya kuishiwa utamu wazungu wakamtema kama jojo!

Sasa ngoja niongee kama mwalimu niliyefundisha masuala ya media kwa zaidi ya miaka 10 pale St. Agstine University of Tanzania kabla sijaachana na ajira! Ni hivi, media ina weza kumfanya shetani kuwa malaika na malaika kuwa shetani kwa sababu hucontrol fikra za watu, ndiyo maana tawala zenye mashaka zinaogopa sana media. “Kama lengo lako ni kubadilisha dunia, silaha sahihi na ya haraka ni media” alisema Tom Stoppard,mwandishi wa mshairi kutoka London. Waandishi wa habari Bob Woodward na Carl Bernstein wa gazeti la The Washington Post mwaka 1972 waliangusha utawala wa Richard Nixon, Rais wa Marekani, tukio linalojulikana kama Water Gate Scandal.

Naendelea! Waisrael wanamiliki uchumi wa dunia kwa sababu ya media. Walijipatia utajiri wakati wa vita ya kwanza ya dunia pale walipotangaza habari za uongo kwamba Uingereza inapigwa, matajiri wa Uingereza wakauza hisa zao kwa waisraeli kwa hasara kubwa, mwisho wa vita Mwingereza akashinda, matajiri wakaishi kama mashetani na waisrael wakaishi kama malaika, wakajiita taifa teule la Mungu na wewe ukakazana kuwabariki ukidhani hawa ndo wale wa kwenye Biblia.

Thomas Jefferson, rais wa tatu wa Marekani aliwahi kusema, “Ningeambiwa kuchagua kuwa na serikali bila magazeti au magazeti bila serikali nisingesita kuchagua jibu la mwisho”. Imani ya Jefferson ni kwamba vyombo vya habari vina nguvu zaidi ya serikali. Mwaka 1683, mfalme mmoja huko England aliamrisha maktaba ya chuo kikuu cha Oxford ichomwe moto, na ikachomwa kweli kwa sababu alimuogopa bwana Information is Power! Mwaka 1633, John Twyn, alikatwa vipande vipande hadi kufa baada ya kusambaza chapisho lilitowataka watu wauangushe utawala wa kifalme nchini Uingereza.

Corona inaua sana wazungu lakini kelele za BBC ni Afrika hasa Tanzania. Lengo ni kutuvuruga tu. Ona sasa tumeanza kubaguana sisi kwa sisi! Tunashindana kujifungia ndani ili wazungu watuuzie vyakula vya GMO, tuvile tuishiwe nguvu za kuzalisha watu na mali, waje watawale Afrika.

Sasa Magufuli anapojaribu kuzipuuza taarifa hizo wazungu wanakasirika na mamluki wao wanakuja juu ili wapewe misaada. Tangu lini mtu aliyemuua babu yako akusaidie? Anyway kwa wale mnaosomea maswala ya media hebu tafuteni kitabu changu, kinaitwa “Ethical Journalism: A voice of the Voiceless”, kinapatikana Amazoni, ukishindwa basi lipia kwa mpesa 0753665484 nikutumie sasa hivi. Unajua ili ufanye biashara utakiwa kuwa na akili kwanza, halafu pesa baadaye! Vijana wetu wanataka pesa kwanza ndo wakafanye biashara!

Hoja ya Nne:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na kasi ya kufikiri hatutaelewa kwa nini Magufuli aliamua kupeleka ndege ya serikali kuchukua dawa ya corona Madagascar. Alichofanya Magufuli ni kupambana na fikra kwamba hatuwezi kuishi bila wazungu, kumbe wao ndo hawawezi kuishi bila sisi.

Sisi tumeishi bila wao kwa zaidi ya miaka milioni nne iliyopita na tukafanya makubwa. Wazee wetu waliishi hadi miaka 100 wakitibiwa kwa mitishamba na matunda. Leo tumeacha dawa za asili, zilizopatikana kwa bure kabisa tukaparamia dawa za kizungu matokeo yake Afrika imejaa wagonjwa endelevu, wanaoishi kwa gharama kubwa kutajirisha viwanda vya mzungu. Ndo maana Rajoelina alivyogundua dawa hiyo WHO imekuja juu ati haina viwango na viongozi wa Afrika tukaamini propaganda hizo kwa sababu tumesahau historia yetu. Akivumbua mweusi hakifai, akivumvua mzungu kinafaa.

Jamani kuendelea kutibiwa kwa dawa za wazungu ni kuhalalisha kifo. Hakuna aliyewahi kupona kwa dawa za kizungu. Kelele za siku hizi malaria haiponi zimekuwa nyingi, taifodi na UTI ndo usiseme!

Jibu ni kurudi Afrika. Ni magonjwa mangapi yameshindikana hospitali za wazungu lakini yamepona kwa waganga wa jadi? Hatuhitaji kutumia hata senti tano kununua dawa za kizungu. Mungu anatushangaa na shetani anatucheka tunavyotumia pesa nyingi kuagiza dawa kutoka Ulaya kusiko na milonge, alovera na mayai ya nyoka.

Mzungu hawezi kukuletea dawa upone afunge viwanda vyake kwa sababu kufa kufaana. Walau sasa watanzania tumeanza kujifukiza, hii ni ishara ya kurudi Afrika. Mh. Jafo alitamani tuwe na wiki ya nyungu kabisa, watunga sera sidhani kama watamuelewa, ila siku ya ukimwi duniani wanaielewa. Jafo angekuwa mzungu tungepiga nyungu hadibadani.

Hoja ya Tano:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na kasi ya kufikiri tutajikuta kwenye mtego kumponda Magufuli kuwafurahisha wazungu ili watufadhili! Ati mzungu akufadhili, amekuwa mjomba wako? Kwanza mbele ya mzungu unaokena nyani tu halafu utake akufadhili. How? Mtu aliyekupiga na kukutenganisha na Mungu wako kwamba ni mshenzi na kusema usimuite Ngai, Imana, Kyala, Nguluvi, Mulungu badala yake umuabudu Yahwe, Allah na God hawezi kuwa mfadhili, mtu anayeziita nchi zetu third world countries na wakati Mungu aliumba dunia moja hawezi kukufadhili kitu, mtu aliyetupeleka mateka kwa miaka mia saba na kutufanyia ukatili wa kutisha hawezi kukufadhili kitu, mtu anayetudai kwa riba kubwa na wakati alitakiwa atulipe fidia kwa damage aliyotufanyia mpaka Afrika ikawa na umaskini wa kunuka ndani ya utajiri wa kutupwa hawezi kukufadhili kitu huyo. Huyo ni adui. Adui yako muombee njaa, adui yako mmalize ni maneno kuntu ya wahenga kuwaamsha waliolala. Nkurunziza wa Burudi amewatimu, Rejoelina amesema msitupangie, Magufuli kawaambia kama mnataka kuzisaidia nchi masikini zifutieni madeni acheni mbwembwe.

Mzee Robert Mugabe alisema mkoloni wa jana haweza kuwa rafiki yako, ukarimu wa mzungu ni sawa na ukarimu wa mchinja kuku, atamrushia mahindi ili amnase akamchinje! Mtu kakupeleka utumwani kwa pingu kama mwizi wa kuku, wamemuua ndugu yako Sankara, Lumumba na Gadafi halafu unasema ni ndugu zako, wameleta corona, ukimwi, presha, ebola, wameiba mali zetu, waliondoka na vichwa 2500 vya machifu wa Afrika halafu leo unadhani wanakupenda kwa jina la covid-19.

Unajikomba ili akupe misaada! “Lords of Poverty,” Mwandishi wa “Lords of Poverty” anasema misaada wanayotoa wazungu siyo kwa lengo la kusaidia Afrika bali kujisaidia wao ndo maana wanasambaza unga uliooza, waliwahi kuleta unga ambao hata ng’ombe wa St. Francisco walishindwa kula. Hivi kweli mtu anakuita ameshika kisu utakwenda? Hata mbwa hawezi kwenda!

Hoja ya Sita

Nasema hivi usipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hata haya mawazo yangu utayapiga rungu na wakati Mzee Kikwete alisema hoja hazipigwi Rungu! Hoja hupingwa kwa hoja nzuri zaidi, marungu waachie wanamgambo na washirikina.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Unahitaji utulivu wa akili na umakini katika kufikiri ili kumuelewa Magufuli kelele za Covid-19: Hoja Sita!

Denis Mpagaze
___________________________
Katika kipindi hiki cha corona na propaganda za magharibi, tusipojipa muda wa kuusaka ukweli tutakuja kumuelewa Rais Magufuli akiishaoondoka madarakani kwa sababu ukweli unatabia ya kuchelewa lakini lazima ufike na unapofika unatabia ya kuwasumbua walioupuuza. Mzee Kikwete alipokuwa madarakani aliitwa dhaifu, leo ameondoka tunammis.

Burundi wanaendelea na kampeni za uchaguzi lakini hutosikia kelele, Tanzania kulegeza lockdown imekuwa agenda ya Dunia. Hapo ndo ujue wazungu wanahofu sana na Tanzania kwa sababu wanaujua mziki wake. Wakizubaa Afrika yote itakombolewa na Tanzania kama tulivyozikomboa nchi za Kusini mwa Afrika. Siku za wazungu kuiburuza Afrika zinahesabika. Andry Rajoelina wa Madagasca, Nkurunziza kiboko ya WHO na Mzee Magufuli baba lao wameonyesha uanaume kipindi hiki cha covid -19! Musiba yeye anakwambia tunatakiwa kuwa na World Bank ya Afrika! Musiba bwana! Kingereza chake kina hoja!

Ni kweli covid-19 inaua. Kila kona ya dunia tunazika! Huzuni ni kubwa! Mistake Afrika tuliifanya mwanzoni kabisa. Covid-19 ilipoanza kuwasumbua wazungu na wachina tulitakiwa kufunga mipaka fasta, no mzungu kuingia Afrika. Imagine janga lingeanzia Afrika kama kuna mtu angekanyaga kwao. Hilo hawakutushauri kabisa, wanatushauri tujilockdown! Anyway ngoja twende kwenye hoja zangu saba. Ruksa kuzichana!

Hoja ya kwanza:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini Magufuli ameipinga vikali kanuni ya “Stay home, protect your family,” na kuruhusu watu kuchapa kazi. Mzee alijua hili ni janga ambalo haliwezi kuisha leo wala kesho, hata ukimwi, surua, kansa na pepopunda vilianza hivi hivi na hadi leo vipo kwa sababu ni miradi ya wazungu! Ni tabia ya wazungu kutunga mitihani na kutuuzia majibu.

Walitengeneza virusi vya kompyuta ili watuuzie ant-virus, wakatengeneza ukimwi ili watuuziee barakoa za ukimwa, walitengeneza kansa ili watuuzie mionzi na dawa za kupunguza maumivu, walirutubisha mbu ili watuuzie net za Bill Gates, waliua ardhi yetu kwa mbolea na viwatilifu ili watuuzie mbolea, bila mbolea na dawa za kunyinyizia huvuni! Hii nayo ni kazi kubwa ya Monsanto!

Mtego wa “Stay home, protect your family,” umewanasa wasiojielewa. Unastay vipi home na wakati maisha yako ni ya riziki ya mbwa mdomoni? Stay home, protect your family, feed them stone to perish!

Leo dunia imemuelewa Magufuli kwa sababu ukweli unatabia ya kuchelewa, muda umefika WHO wamerudia maneno ya Magufuli, waliobana, waliobana wameanza kuachia! Yaani akisema mwafrika mwenzako huamini, akisema mzungu unaamini. Bure kabisa! Jamani siyo kila mzungu ni padre, wengine ni mashetani! Magufuli angekuwa mzungu leo angepewa tuzo ya utabiri na WHO ingekuwa genge la waafrika lingetozwa faini kwa kututabiria Afrika kufa sana.

Hoja ya Pili:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini Magufuli ameukwepa mtego wa kutatua kero ya corona kwa kutumia kero kama walivyofanya jamaa zetu. Full kuwatandika viboko waliokaidi kufia ndani. Afrika bila kutoka huli! Wahenga waliposema riziki ya mbwa iko miguuni hawakuwa wajinga. Mnazuia misongamano kwa viboko halafu mnagawa chakula kwa misongamano! Magufuli akiwapuuza mnamind! Kweli ujinga ni tishio zaidi ya covid-19.

Gonjwa lenyewe tangu lianze, limeishakula watu chini ya laki nne duniani kwa miezi 6 iliyo pita, wakati takwimu zinaonesha kwa mwaka watu zaidi ya milioni 40 wanakufa kila mwaka kwa magonjwa mengine sasa hii asilimia 1 ya vifo vya wazungu kibao na waafrika kiduchu ina maana gani hadi BBC kuifanya Tanzania kuwa agenda ya Dunia? Kwamba wazungu wanatupenda sana au? Kama wangekuwa wanatupenda siwangetuamrisha tufunge mipaka wazungu na wachina wasilete corona kwetu?Halafu unapomuweka ndani mtu muda wote kinga si ndo zitaisha kabisa?

Hoja ya Tatu:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini kelele za media hazimuondoi Magufuli kwenye reli. Anajua siri ya media. Ukisikiliza mikogo ya BBC huwezi kukaa Tanzania, maana wote tunaumwa. Majirani wameanza kutukataa. Rwanda akipita mtanzania wanaziba pua. Kenya, Uganda, Zambia ndo kabisa hawataki kutusikia kwa sababu BBC imesema tunanuka covid-19!

Halafu BBC inatumia watoto wetu, kutuchonganisha Afrika na wao hawashituki. Wanashitukaje na wakati mkono unaenda kinywani? Hata Mobutu Seseko Kuku wa Zabanga alishituka baada ya kuishiwa utamu wazungu wakamtema kama jojo!

Sasa ngoja niongee kama mwalimu niliyefundisha masuala ya media kwa zaidi ya miaka 10 pale St. Agstine University of Tanzania kabla sijaachana na ajira! Ni hivi, media ina weza kumfanya shetani kuwa malaika na malaika kuwa shetani kwa sababu hucontrol fikra za watu, ndiyo maana tawala zenye mashaka zinaogopa sana media. “Kama lengo lako ni kubadilisha dunia, silaha sahihi na ya haraka ni media” alisema Tom Stoppard,mwandishi wa mshairi kutoka London. Waandishi wa habari Bob Woodward na Carl Bernstein wa gazeti la The Washington Post mwaka 1972 waliangusha utawala wa Richard Nixon, Rais wa Marekani, tukio linalojulikana kama Water Gate Scandal.

Naendelea! Waisrael wanamiliki uchumi wa dunia kwa sababu ya media. Walijipatia utajiri wakati wa vita ya kwanza ya dunia pale walipotangaza habari za uongo kwamba Uingereza inapigwa, matajiri wa Uingereza wakauza hisa zao kwa waisraeli kwa hasara kubwa, mwisho wa vita Mwingereza akashinda, matajiri wakaishi kama mashetani na waisrael wakaishi kama malaika, wakajiita taifa teule la Mungu na wewe ukakazana kuwabariki ukidhani hawa ndo wale wa kwenye Biblia.

Thomas Jefferson, rais wa tatu wa Marekani aliwahi kusema, “Ningeambiwa kuchagua kuwa na serikali bila magazeti au magazeti bila serikali nisingesita kuchagua jibu la mwisho”. Imani ya Jefferson ni kwamba vyombo vya habari vina nguvu zaidi ya serikali. Mwaka 1683, mfalme mmoja huko England aliamrisha maktaba ya chuo kikuu cha Oxford ichomwe moto, na ikachomwa kweli kwa sababu alimuogopa bwana Information is Power! Mwaka 1633, John Twyn, alikatwa vipande vipande hadi kufa baada ya kusambaza chapisho lilitowataka watu wauangushe utawala wa kifalme nchini Uingereza.

Corona inaua sana wazungu lakini kelele za BBC ni Afrika hasa Tanzania. Lengo ni kutuvuruga tu. Ona sasa tumeanza kubaguana sisi kwa sisi! Tunashindana kujifungia ndani ili wazungu watuuzie vyakula vya GMO, tuvile tuishiwe nguvu za kuzalisha watu na mali, waje watawale Afrika.

Sasa Magufuli anapojaribu kuzipuuza taarifa hizo wazungu wanakasirika na mamluki wao wanakuja juu ili wapewe misaada. Tangu lini mtu aliyemuua babu yako akusaidie? Anyway kwa wale mnaosomea maswala ya media hebu tafuteni kitabu changu, kinaitwa “Ethical Journalism: A voice of the Voiceless”, kinapatikana Amazoni, ukishindwa basi lipia kwa mpesa 0753665484 nikutumie sasa hivi. Unajua ili ufanye biashara utakiwa kuwa na akili kwanza, halafu pesa baadaye! Vijana wetu wanataka pesa kwanza ndo wakafanye biashara!

Hoja ya Nne:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na kasi ya kufikiri hatutaelewa kwa nini Magufuli aliamua kupeleka ndege ya serikali kuchukua dawa ya corona Madagascar. Alichofanya Magufuli ni kupambana na fikra kwamba hatuwezi kuishi bila wazungu, kumbe wao ndo hawawezi kuishi bila sisi.

Sisi tumeishi bila wao kwa zaidi ya miaka milioni nne iliyopita na tukafanya makubwa. Wazee wetu waliishi hadi miaka 100 wakitibiwa kwa mitishamba na matunda. Leo tumeacha dawa za asili, zilizopatikana kwa bure kabisa tukaparamia dawa za kizungu matokeo yake Afrika imejaa wagonjwa endelevu, wanaoishi kwa gharama kubwa kutajirisha viwanda vya mzungu. Ndo maana Rajoelina alivyogundua dawa hiyo WHO imekuja juu ati haina viwango na viongozi wa Afrika tukaamini propaganda hizo kwa sababu tumesahau historia yetu. Akivumbua mweusi hakifai, akivumvua mzungu kinafaa.

Jamani kuendelea kutibiwa kwa dawa za wazungu ni kuhalalisha kifo. Hakuna aliyewahi kupona kwa dawa za kizungu. Kelele za siku hizi malaria haiponi zimekuwa nyingi, taifodi na UTI ndo usiseme!

Jibu ni kurudi Afrika. Ni magonjwa mangapi yameshindikana hospitali za wazungu lakini yamepona kwa waganga wa jadi? Hatuhitaji kutumia hata senti tano kununua dawa za kizungu. Mungu anatushangaa na shetani anatucheka tunavyotumia pesa nyingi kuagiza dawa kutoka Ulaya kusiko na milonge, alovera na mayai ya nyoka.

Mzungu hawezi kukuletea dawa upone afunge viwanda vyake kwa sababu kufa kufaana. Walau sasa watanzania tumeanza kujifukiza, hii ni ishara ya kurudi Afrika. Mh. Jafo alitamani tuwe na wiki ya nyungu kabisa, watunga sera sidhani kama watamuelewa, ila siku ya ukimwi duniani wanaielewa. Jafo angekuwa mzungu tungepiga nyungu hadibadani.

Hoja ya Tano:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na kasi ya kufikiri tutajikuta kwenye mtego kumponda Magufuli kuwafurahisha wazungu ili watufadhili! Ati mzungu akufadhili, amekuwa mjomba wako? Kwanza mbele ya mzungu unaokena nyani tu halafu utake akufadhili. How? Mtu aliyekupiga na kukutenganisha na Mungu wako kwamba ni mshenzi na kusema usimuite Ngai, Imana, Kyala, Nguluvi, Mulungu badala yake umuabudu Yahwe, Allah na God hawezi kuwa mfadhili, mtu anayeziita nchi zetu third world countries na wakati Mungu aliumba dunia moja hawezi kukufadhili kitu, mtu aliyetupeleka mateka kwa miaka mia saba na kutufanyia ukatili wa kutisha hawezi kukufadhili kitu, mtu anayetudai kwa riba kubwa na wakati alitakiwa atulipe fidia kwa damage aliyotufanyia mpaka Afrika ikawa na umaskini wa kunuka ndani ya utajiri wa kutupwa hawezi kukufadhili kitu huyo. Huyo ni adui. Adui yako muombee njaa, adui yako mmalize ni maneno kuntu ya wahenga kuwaamsha waliolala. Nkurunziza wa Burudi amewatimu, Rejoelina amesema msitupangie, Magufuli kawaambia kama mnataka kuzisaidia nchi masikini zifutieni madeni acheni mbwembwe.

Mzee Robert Mugabe alisema mkoloni wa jana haweza kuwa rafiki yako, ukarimu wa mzungu ni sawa na ukarimu wa mchinja kuku, atamrushia mahindi ili amnase akamchinje! Mtu kakupeleka utumwani kwa pingu kama mwizi wa kuku, wamemuua ndugu yako Sankara, Lumumba na Gadafi halafu unasema ni ndugu zako, wameleta corona, ukimwi, presha, ebola, wameiba mali zetu, waliondoka na vichwa 2500 vya machifu wa Afrika halafu leo unadhani wanakupenda kwa jina la covid-19.

Unajikomba ili akupe misaada! “Lords of Poverty,” Mwandishi wa “Lords of Poverty” anasema misaada wanayotoa wazungu siyo kwa lengo la kusaidia Afrika bali kujisaidia wao ndo maana wanasambaza unga uliooza, waliwahi kuleta unga ambao hata ng’ombe wa St. Francisco walishindwa kula. Hivi kweli mtu anakuita ameshika kisu utakwenda? Hata mbwa hawezi kwenda!

Hoja ya Sita

Nasema hivi usipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hata haya mawazo yangu utayapiga rungu na wakati Mzee Kikwete alisema hoja hazipigwi Rungu! Hoja hupingwa kwa hoja nzuri zaidi, marungu waachie wanamgambo na washirikina.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ingawaje sijasoma story yote,nimeishia tu hapo uliposema,wakati mabeberu wanakufa walipaswa kutushauri tufunge mipaka yetu Ila hawakufanya hivyo na ukaongeza kuwa Kama corona ingeanzia Africa hakuna manyeusi ambaye angeruhusiwa kukanyaga kwao.baada ya kusoma hiyo mistari michache nikajiuliza,Mtu mwenye akili yake timamu anashindwaje kuona hatari iliyo mbele yake na kuchukua hatua kujilinda badala yake asubiri kushauriwa nini Cha kufanya ili ajiokoe,sasa hizo akili ni akili za namna gani hizo? Senegal wenye akili walifunga mipaka Mara moja while sisi tukiona senti za watalii ni bora kuliko uhai wa watanzania.Huyo huyo unae msifia kuwa ana akili ndo huyo huyo alisema hawezi funga mipaka kwa kuwa anahudumia nchi nane.sasa wale aliosema anawahudumia wanamwambia hatutaki huduma yako na wamemfungia vioo.labda Kama utasema kwamba Hadi watalii na nchi zinazotunguka zinatufungia vioo akili yake ilikuwa likizo ndo maana hakuona kuwa Simba anaingia mjini hivyo kuchukua tahadhari asilete madhara.Huyo ana akili za kuhangaika na nyungu,mitishamba ya Madagascar,kuzika watu usiku na kuficha ukweli kuhusu tatizo ndo akili tulizobaki nazo Tz.
 
Mkuu umeandika kwa hisia kali Sana. Waafrika tunatatizo kubwa sana wengi hawaupendi nakuuthamini utu wao.
Chanzo chamambo haya ni pale mkoloni alipofanikiwa kuivuruga historia yetu ya kweli na kupandikiza uwongo.
Mbaya zaidi tunafundishwa huo upuuzi mashuleni hadi leo.
Tusishangae sana watu kumpenda mzungu na kumuamini kuliko baba yake na babu yake. Kwa kuwa Kafundishwa kuwa vyote vya asili yake ni ushenzi mtupu.
Magufuli yupo sahihi sanaa na kwahili la covid ni mshindi tayari.. ila ni muhimu mfumo wetu wa elimu uangaliwe vizuri.
 
Mkuu umeandika kwa hisia kali Sana. Waafrika tunatatizo kubwa sana wengi hawaupendi nakuuthamini utu wao.
Chanzo chamambo haya ni pale mkoloni alipofanikiwa kuivuruga historia yetu ya kweli na kupandikiza uwongo.
Mbaya zaidi tunafundishwa huo upuuzi mashuleni hadi leo.
Tusishangae sana watu kumpenda mzungu na kumuamini kuliko baba yake na babu yake. Kwa kuwa Kafundishwa kuwa vyote vya asili yake ni ushenzi mtupu.
Magufuli yupo sahihi sanaa na kwahili la covid ni mshindi tayari.. ila ni muhimu mfumo wetu wa elimu uangaliwe vizuri.
Mkuu mkoloni kwa mfano Tanzania ameondoka miaka 60 iliyopita,tumefanya nini Cha maana zaidi ya ujinga ujinga? Mtoa mada anasema mwafrica hawezi hata akaona hatari iliyoko mbele yake na hata Kama ameona hawezi chukua hatua bila kuambiwa Cha kufanya.
 
Mkuu mkoloni kwa mfano Tanzania ameondoka miaka 60 iliyopita,tumefanya nini Cha maana zaidi ya ujinga ujinga? Mtoa mada anasema mwafrica hawezi hata akaona hatari iliyoko mbele yake na hata Kama ameona hawezi chukua hatua bila kuambiwa Cha kufanya.
Nisome vizuri, nimekazia Sana kuhusu mfumo wetu wa elimu kuwa ndio chanzo cha matatizo mengi.
 
Umenena vema mkuu. Sema vijana waliotekwa na umagharibi hawatakuelewa

Hasa kuhusu hizi dawa zao ni upuuzi mtupu kutegemea dawa zao wakati misitu imejaa kila aina ya dawa achilia mbali issue ya misaada hewa ambayo kila nchi inajivunia

Wazee wetu kina Nyerere bana walifanya kosa ambalo viongozi wote waliofuatia wameliendeleza

Baada ya Uhuru ilitakiwa tufungue kesi ya kudai fidia ya unyama waliotufanyia lakini badala yake wakatuwahi kwa kutuletea mikopo na unyonyaji kwa mgongo wa ufadhili

Halafu tulivyo na akili finyu hata hatuoni namna huku vijijini hawana kansa, presha wala visukari na kule wazee wanagonga hadi miaka 100 ila mjini huku kijana wa miaka 30 utadhani anamika 45

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeandika kwa hisia kali Sana. Waafrika tunatatizo kubwa sana wengi hawaupendi nakuuthamini utu wao.
Chanzo chamambo haya ni pale mkoloni alipofanikiwa kuivuruga historia yetu ya kweli na kupandikiza uwongo.
Mbaya zaidi tunafundishwa huo upuuzi mashuleni hadi leo.
Tusishangae sana watu kumpenda mzungu na kumuamini kuliko baba yake na babu yake. Kwa kuwa Kafundishwa kuwa vyote vya asili yake ni ushenzi mtupu.
Magufuli yupo sahihi sanaa na kwahili la covid ni mshindi tayari.. ila ni muhimu mfumo wetu wa elimu uangaliwe vizuri.
Labda ni mshindi kwenye kuzika watanzania wenzake usiku na kuficha ukweli wa mambo.ila kwa Strategies hizi za kucopy na kupaste toka kwa mzee Kinjekitire Ngware.Watanzania tutasufer sana just mark my words
 
Umenena vema mkuu. Sema vijana waliotekwa na umagharibi hawatakuelewa

Hasa kuhusu hizi dawa zao ni upuuzi mtupu kutegemea dawa zao wakati misitu imejaa kila aina ya dawa achilia mbali issue ya misaada hewa ambayo kila nchi inajivunia

Wazee wetu kina Nyerere bana walifanya kosa ambalo viongozi wote waliofuatia wameliendeleza

Baada ya Uhuru ilitakiwa tufungue kesi ya kudai fidia ya unyama waliotufanyia lakini badala yake wakatuwahi kwa kutuletea mikopo na unyonyaji kwa mgongo wa ufadhili

Halafu tulivyo na akili finyu hata hatuoni namna huku vijijini hawana kansa, presha wala visukari na kule wazee wanagonga hadi miaka 100 ila mjini huku kijana wa miaka 30 utadhani anamika 45

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unae andika huu upupu ndo huyo huyo utakuja na ngojera na serikali kujenga hospital nyingi awamu hii na kuongea budget ya madawa, consistency kwenu huwa haipo mnaenda na tune ya mwenyekiti
 
sidhani kama mtu asiekua na DEEP THINKING SKILLS atakuja kuelewa kilichoandikwa hapa japo kimeandikwa kwa wepesi zaidi na ubainifu!.

kwa heshima na taadhima muanzisha uzi usibishane ama kujibizana na asie na hoja..

nipo nasubiri hoja za upande wa pili pia,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja mujarabu! Nimesoma mara kadhaa ili niione walau hoja dhaifu ili niipe changamoto, bado sijaiona. Ngoja niendelee kurudia rudia huenda. Mtoa hoja umeandika ukiwa umetiliza fikra,ndiyo maana ukatushauri nasi tutulize akili,upo sawa.
 
Andiko zuri sana ndugu DENISS MPAGAZE, andishi limetulia na fikirishi hasa!

Kiukweli katika ishu ya lockdown nchi nyingi zimeona wananchi wanatakufa njaa na uchumi utaporomoka hivyo wameona hakuna namna zaidi ya kukubali kuishi na huu ugonjwa.
USA wananchi wameamua mpaka kuandamana barabarani kuipinga lockdown licha ya idadi ya vifo kuwa juu kuliko nchi nyingi zaidi duniani.

Wenzetu SA wananchi pamoja na vyama pinzani wanaipressurize Serikali kuondoa lockdown kwakuwa inawafanya watu wafe njaa, watu wanapata magonjwa mengine na uchumi wa nchi mtu mmoja mmoja na wa nchi kiujumla unaporomoka kwa kasi.

Kwa hili la kukataa lockdown nampa Kongole Raisi wetu aliona mbali na ameshauriwa vyema, sio kila kitu kuiga iga kutoka uzunguni.

Hii pía iwe funzo kwa CHADEMA waliokuwa wakishinikiza lockdown, sio kila mara kupinga pinga pasipo kufanya tathimini kwa fikra pana
 
Unahitaji utulivu wa akili na umakini katika kufikiri ili kumuelewa Magufuli kelele za Covid-19: Hoja Sita!

Denis Mpagaze
___________________________
Katika kipindi hiki cha corona na propaganda za magharibi, tusipojipa muda wa kuusaka ukweli tutakuja kumuelewa Rais Magufuli akiishaoondoka madarakani kwa sababu ukweli unatabia ya kuchelewa lakini lazima ufike na unapofika unatabia ya kuwasumbua walioupuuza. Mzee Kikwete alipokuwa madarakani aliitwa dhaifu, leo ameondoka tunammis.

Burundi wanaendelea na kampeni za uchaguzi lakini hutosikia kelele, Tanzania kulegeza lockdown imekuwa agenda ya Dunia. Hapo ndo ujue wazungu wanahofu sana na Tanzania kwa sababu wanaujua mziki wake. Wakizubaa Afrika yote itakombolewa na Tanzania kama tulivyozikomboa nchi za Kusini mwa Afrika. Siku za wazungu kuiburuza Afrika zinahesabika. Andry Rajoelina wa Madagasca, Nkurunziza kiboko ya WHO na Mzee Magufuli baba lao wameonyesha uanaume kipindi hiki cha covid -19! Musiba yeye anakwambia tunatakiwa kuwa na World Bank ya Afrika! Musiba bwana! Kingereza chake kina hoja!

Ni kweli covid-19 inaua. Kila kona ya dunia tunazika! Huzuni ni kubwa! Mistake Afrika tuliifanya mwanzoni kabisa. Covid-19 ilipoanza kuwasumbua wazungu na wachina tulitakiwa kufunga mipaka fasta, no mzungu kuingia Afrika. Imagine janga lingeanzia Afrika kama kuna mtu angekanyaga kwao. Hilo hawakutushauri kabisa, wanatushauri tujilockdown! Anyway ngoja twende kwenye hoja zangu saba. Ruksa kuzichana!

Hoja ya kwanza:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini Magufuli ameipinga vikali kanuni ya “Stay home, protect your family,” na kuruhusu watu kuchapa kazi. Mzee alijua hili ni janga ambalo haliwezi kuisha leo wala kesho, hata ukimwi, surua, kansa na pepopunda vilianza hivi hivi na hadi leo vipo kwa sababu ni miradi ya wazungu! Ni tabia ya wazungu kutunga mitihani na kutuuzia majibu.

Walitengeneza virusi vya kompyuta ili watuuzie ant-virus, wakatengeneza ukimwi ili watuuziee barakoa za ukimwa, walitengeneza kansa ili watuuzie mionzi na dawa za kupunguza maumivu, walirutubisha mbu ili watuuzie net za Bill Gates, waliua ardhi yetu kwa mbolea na viwatilifu ili watuuzie mbolea, bila mbolea na dawa za kunyinyizia huvuni! Hii nayo ni kazi kubwa ya Monsanto!

Mtego wa “Stay home, protect your family,” umewanasa wasiojielewa. Unastay vipi home na wakati maisha yako ni ya riziki ya mbwa mdomoni? Stay home, protect your family, feed them stone to perish!

Leo dunia imemuelewa Magufuli kwa sababu ukweli unatabia ya kuchelewa, muda umefika WHO wamerudia maneno ya Magufuli, waliobana, waliobana wameanza kuachia! Yaani akisema mwafrika mwenzako huamini, akisema mzungu unaamini. Bure kabisa! Jamani siyo kila mzungu ni padre, wengine ni mashetani! Magufuli angekuwa mzungu leo angepewa tuzo ya utabiri na WHO ingekuwa genge la waafrika lingetozwa faini kwa kututabiria Afrika kufa sana.

Hoja ya Pili:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini Magufuli ameukwepa mtego wa kutatua kero ya corona kwa kutumia kero kama walivyofanya jamaa zetu. Full kuwatandika viboko waliokaidi kufia ndani. Afrika bila kutoka huli! Wahenga waliposema riziki ya mbwa iko miguuni hawakuwa wajinga. Mnazuia misongamano kwa viboko halafu mnagawa chakula kwa misongamano! Magufuli akiwapuuza mnamind! Kweli ujinga ni tishio zaidi ya covid-19.

Gonjwa lenyewe tangu lianze, limeishakula watu chini ya laki nne duniani kwa miezi 6 iliyo pita, wakati takwimu zinaonesha kwa mwaka watu zaidi ya milioni 40 wanakufa kila mwaka kwa magonjwa mengine sasa hii asilimia 1 ya vifo vya wazungu kibao na waafrika kiduchu ina maana gani hadi BBC kuifanya Tanzania kuwa agenda ya Dunia? Kwamba wazungu wanatupenda sana au? Kama wangekuwa wanatupenda siwangetuamrisha tufunge mipaka wazungu na wachina wasilete corona kwetu?Halafu unapomuweka ndani mtu muda wote kinga si ndo zitaisha kabisa?

Hoja ya Tatu:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini kelele za media hazimuondoi Magufuli kwenye reli. Anajua siri ya media. Ukisikiliza mikogo ya BBC huwezi kukaa Tanzania, maana wote tunaumwa. Majirani wameanza kutukataa. Rwanda akipita mtanzania wanaziba pua. Kenya, Uganda, Zambia ndo kabisa hawataki kutusikia kwa sababu BBC imesema tunanuka covid-19!

Halafu BBC inatumia watoto wetu, kutuchonganisha Afrika na wao hawashituki. Wanashitukaje na wakati mkono unaenda kinywani? Hata Mobutu Seseko Kuku wa Zabanga alishituka baada ya kuishiwa utamu wazungu wakamtema kama jojo!

Sasa ngoja niongee kama mwalimu niliyefundisha masuala ya media kwa zaidi ya miaka 10 pale St. Agstine University of Tanzania kabla sijaachana na ajira! Ni hivi, media ina weza kumfanya shetani kuwa malaika na malaika kuwa shetani kwa sababu hucontrol fikra za watu, ndiyo maana tawala zenye mashaka zinaogopa sana media. “Kama lengo lako ni kubadilisha dunia, silaha sahihi na ya haraka ni media” alisema Tom Stoppard,mwandishi wa mshairi kutoka London. Waandishi wa habari Bob Woodward na Carl Bernstein wa gazeti la The Washington Post mwaka 1972 waliangusha utawala wa Richard Nixon, Rais wa Marekani, tukio linalojulikana kama Water Gate Scandal.

Naendelea! Waisrael wanamiliki uchumi wa dunia kwa sababu ya media. Walijipatia utajiri wakati wa vita ya kwanza ya dunia pale walipotangaza habari za uongo kwamba Uingereza inapigwa, matajiri wa Uingereza wakauza hisa zao kwa waisraeli kwa hasara kubwa, mwisho wa vita Mwingereza akashinda, matajiri wakaishi kama mashetani na waisrael wakaishi kama malaika, wakajiita taifa teule la Mungu na wewe ukakazana kuwabariki ukidhani hawa ndo wale wa kwenye Biblia.

Thomas Jefferson, rais wa tatu wa Marekani aliwahi kusema, “Ningeambiwa kuchagua kuwa na serikali bila magazeti au magazeti bila serikali nisingesita kuchagua jibu la mwisho”. Imani ya Jefferson ni kwamba vyombo vya habari vina nguvu zaidi ya serikali. Mwaka 1683, mfalme mmoja huko England aliamrisha maktaba ya chuo kikuu cha Oxford ichomwe moto, na ikachomwa kweli kwa sababu alimuogopa bwana Information is Power! Mwaka 1633, John Twyn, alikatwa vipande vipande hadi kufa baada ya kusambaza chapisho lilitowataka watu wauangushe utawala wa kifalme nchini Uingereza.

Corona inaua sana wazungu lakini kelele za BBC ni Afrika hasa Tanzania. Lengo ni kutuvuruga tu. Ona sasa tumeanza kubaguana sisi kwa sisi! Tunashindana kujifungia ndani ili wazungu watuuzie vyakula vya GMO, tuvile tuishiwe nguvu za kuzalisha watu na mali, waje watawale Afrika.

Sasa Magufuli anapojaribu kuzipuuza taarifa hizo wazungu wanakasirika na mamluki wao wanakuja juu ili wapewe misaada. Tangu lini mtu aliyemuua babu yako akusaidie? Anyway kwa wale mnaosomea maswala ya media hebu tafuteni kitabu changu, kinaitwa “Ethical Journalism: A voice of the Voiceless”, kinapatikana Amazoni, ukishindwa basi lipia kwa mpesa 0753665484 nikutumie sasa hivi. Unajua ili ufanye biashara utakiwa kuwa na akili kwanza, halafu pesa baadaye! Vijana wetu wanataka pesa kwanza ndo wakafanye biashara!

Hoja ya Nne:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na kasi ya kufikiri hatutaelewa kwa nini Magufuli aliamua kupeleka ndege ya serikali kuchukua dawa ya corona Madagascar. Alichofanya Magufuli ni kupambana na fikra kwamba hatuwezi kuishi bila wazungu, kumbe wao ndo hawawezi kuishi bila sisi.

Sisi tumeishi bila wao kwa zaidi ya miaka milioni nne iliyopita na tukafanya makubwa. Wazee wetu waliishi hadi miaka 100 wakitibiwa kwa mitishamba na matunda. Leo tumeacha dawa za asili, zilizopatikana kwa bure kabisa tukaparamia dawa za kizungu matokeo yake Afrika imejaa wagonjwa endelevu, wanaoishi kwa gharama kubwa kutajirisha viwanda vya mzungu. Ndo maana Rajoelina alivyogundua dawa hiyo WHO imekuja juu ati haina viwango na viongozi wa Afrika tukaamini propaganda hizo kwa sababu tumesahau historia yetu. Akivumbua mweusi hakifai, akivumvua mzungu kinafaa.

Jamani kuendelea kutibiwa kwa dawa za wazungu ni kuhalalisha kifo. Hakuna aliyewahi kupona kwa dawa za kizungu. Kelele za siku hizi malaria haiponi zimekuwa nyingi, taifodi na UTI ndo usiseme!

Jibu ni kurudi Afrika. Ni magonjwa mangapi yameshindikana hospitali za wazungu lakini yamepona kwa waganga wa jadi? Hatuhitaji kutumia hata senti tano kununua dawa za kizungu. Mungu anatushangaa na shetani anatucheka tunavyotumia pesa nyingi kuagiza dawa kutoka Ulaya kusiko na milonge, alovera na mayai ya nyoka.

Mzungu hawezi kukuletea dawa upone afunge viwanda vyake kwa sababu kufa kufaana. Walau sasa watanzania tumeanza kujifukiza, hii ni ishara ya kurudi Afrika. Mh. Jafo alitamani tuwe na wiki ya nyungu kabisa, watunga sera sidhani kama watamuelewa, ila siku ya ukimwi duniani wanaielewa. Jafo angekuwa mzungu tungepiga nyungu hadibadani.

Hoja ya Tano:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na kasi ya kufikiri tutajikuta kwenye mtego kumponda Magufuli kuwafurahisha wazungu ili watufadhili! Ati mzungu akufadhili, amekuwa mjomba wako? Kwanza mbele ya mzungu unaokena nyani tu halafu utake akufadhili. How? Mtu aliyekupiga na kukutenganisha na Mungu wako kwamba ni mshenzi na kusema usimuite Ngai, Imana, Kyala, Nguluvi, Mulungu badala yake umuabudu Yahwe, Allah na God hawezi kuwa mfadhili, mtu anayeziita nchi zetu third world countries na wakati Mungu aliumba dunia moja hawezi kukufadhili kitu, mtu aliyetupeleka mateka kwa miaka mia saba na kutufanyia ukatili wa kutisha hawezi kukufadhili kitu, mtu anayetudai kwa riba kubwa na wakati alitakiwa atulipe fidia kwa damage aliyotufanyia mpaka Afrika ikawa na umaskini wa kunuka ndani ya utajiri wa kutupwa hawezi kukufadhili kitu huyo. Huyo ni adui. Adui yako muombee njaa, adui yako mmalize ni maneno kuntu ya wahenga kuwaamsha waliolala. Nkurunziza wa Burudi amewatimu, Rejoelina amesema msitupangie, Magufuli kawaambia kama mnataka kuzisaidia nchi masikini zifutieni madeni acheni mbwembwe.

Mzee Robert Mugabe alisema mkoloni wa jana haweza kuwa rafiki yako, ukarimu wa mzungu ni sawa na ukarimu wa mchinja kuku, atamrushia mahindi ili amnase akamchinje! Mtu kakupeleka utumwani kwa pingu kama mwizi wa kuku, wamemuua ndugu yako Sankara, Lumumba na Gadafi halafu unasema ni ndugu zako, wameleta corona, ukimwi, presha, ebola, wameiba mali zetu, waliondoka na vichwa 2500 vya machifu wa Afrika halafu leo unadhani wanakupenda kwa jina la covid-19.

Unajikomba ili akupe misaada! “Lords of Poverty,” Mwandishi wa “Lords of Poverty” anasema misaada wanayotoa wazungu siyo kwa lengo la kusaidia Afrika bali kujisaidia wao ndo maana wanasambaza unga uliooza, waliwahi kuleta unga ambao hata ng’ombe wa St. Francisco walishindwa kula. Hivi kweli mtu anakuita ameshika kisu utakwenda? Hata mbwa hawezi kwenda!

Hoja ya Sita

Nasema hivi usipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hata haya mawazo yangu utayapiga rungu na wakati Mzee Kikwete alisema hoja hazipigwi Rungu! Hoja hupingwa kwa hoja nzuri zaidi, marungu waachie wanamgambo na washirikina.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ujingaa mtupu....aoneshe mfano agawe mapapai barabaran na kuhutubia ndo tutaamini maneno yake
 
Unahitaji utulivu wa akili na umakini katika kufikiri ili kumuelewa Magufuli kelele za Covid-19: Hoja Sita!

Denis Mpagaze
___________________________
Katika kipindi hiki cha corona na propaganda za magharibi, tusipojipa muda wa kuusaka ukweli tutakuja kumuelewa Rais Magufuli akiishaoondoka madarakani kwa sababu ukweli unatabia ya kuchelewa lakini lazima ufike na unapofika unatabia ya kuwasumbua walioupuuza. Mzee Kikwete alipokuwa madarakani aliitwa dhaifu, leo ameondoka tunammis.

Burundi wanaendelea na kampeni za uchaguzi lakini hutosikia kelele, Tanzania kulegeza lockdown imekuwa agenda ya Dunia. Hapo ndo ujue wazungu wanahofu sana na Tanzania kwa sababu wanaujua mziki wake. Wakizubaa Afrika yote itakombolewa na Tanzania kama tulivyozikomboa nchi za Kusini mwa Afrika. Siku za wazungu kuiburuza Afrika zinahesabika. Andry Rajoelina wa Madagasca, Nkurunziza kiboko ya WHO na Mzee Magufuli baba lao wameonyesha uanaume kipindi hiki cha covid -19! Musiba yeye anakwambia tunatakiwa kuwa na World Bank ya Afrika! Musiba bwana! Kingereza chake kina hoja!

Ni kweli covid-19 inaua. Kila kona ya dunia tunazika! Huzuni ni kubwa! Mistake Afrika tuliifanya mwanzoni kabisa. Covid-19 ilipoanza kuwasumbua wazungu na wachina tulitakiwa kufunga mipaka fasta, no mzungu kuingia Afrika. Imagine janga lingeanzia Afrika kama kuna mtu angekanyaga kwao. Hilo hawakutushauri kabisa, wanatushauri tujilockdown! Anyway ngoja twende kwenye hoja zangu saba. Ruksa kuzichana!

Hoja ya kwanza:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini Magufuli ameipinga vikali kanuni ya “Stay home, protect your family,” na kuruhusu watu kuchapa kazi. Mzee alijua hili ni janga ambalo haliwezi kuisha leo wala kesho, hata ukimwi, surua, kansa na pepopunda vilianza hivi hivi na hadi leo vipo kwa sababu ni miradi ya wazungu! Ni tabia ya wazungu kutunga mitihani na kutuuzia majibu.

Walitengeneza virusi vya kompyuta ili watuuzie ant-virus, wakatengeneza ukimwi ili watuuziee barakoa za ukimwa, walitengeneza kansa ili watuuzie mionzi na dawa za kupunguza maumivu, walirutubisha mbu ili watuuzie net za Bill Gates, waliua ardhi yetu kwa mbolea na viwatilifu ili watuuzie mbolea, bila mbolea na dawa za kunyinyizia huvuni! Hii nayo ni kazi kubwa ya Monsanto!

Mtego wa “Stay home, protect your family,” umewanasa wasiojielewa. Unastay vipi home na wakati maisha yako ni ya riziki ya mbwa mdomoni? Stay home, protect your family, feed them stone to perish!

Leo dunia imemuelewa Magufuli kwa sababu ukweli unatabia ya kuchelewa, muda umefika WHO wamerudia maneno ya Magufuli, waliobana, waliobana wameanza kuachia! Yaani akisema mwafrika mwenzako huamini, akisema mzungu unaamini. Bure kabisa! Jamani siyo kila mzungu ni padre, wengine ni mashetani! Magufuli angekuwa mzungu leo angepewa tuzo ya utabiri na WHO ingekuwa genge la waafrika lingetozwa faini kwa kututabiria Afrika kufa sana.

Hoja ya Pili:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini Magufuli ameukwepa mtego wa kutatua kero ya corona kwa kutumia kero kama walivyofanya jamaa zetu. Full kuwatandika viboko waliokaidi kufia ndani. Afrika bila kutoka huli! Wahenga waliposema riziki ya mbwa iko miguuni hawakuwa wajinga. Mnazuia misongamano kwa viboko halafu mnagawa chakula kwa misongamano! Magufuli akiwapuuza mnamind! Kweli ujinga ni tishio zaidi ya covid-19.

Gonjwa lenyewe tangu lianze, limeishakula watu chini ya laki nne duniani kwa miezi 6 iliyo pita, wakati takwimu zinaonesha kwa mwaka watu zaidi ya milioni 40 wanakufa kila mwaka kwa magonjwa mengine sasa hii asilimia 1 ya vifo vya wazungu kibao na waafrika kiduchu ina maana gani hadi BBC kuifanya Tanzania kuwa agenda ya Dunia? Kwamba wazungu wanatupenda sana au? Kama wangekuwa wanatupenda siwangetuamrisha tufunge mipaka wazungu na wachina wasilete corona kwetu?Halafu unapomuweka ndani mtu muda wote kinga si ndo zitaisha kabisa?

Hoja ya Tatu:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini kelele za media hazimuondoi Magufuli kwenye reli. Anajua siri ya media. Ukisikiliza mikogo ya BBC huwezi kukaa Tanzania, maana wote tunaumwa. Majirani wameanza kutukataa. Rwanda akipita mtanzania wanaziba pua. Kenya, Uganda, Zambia ndo kabisa hawataki kutusikia kwa sababu BBC imesema tunanuka covid-19!

Halafu BBC inatumia watoto wetu, kutuchonganisha Afrika na wao hawashituki. Wanashitukaje na wakati mkono unaenda kinywani? Hata Mobutu Seseko Kuku wa Zabanga alishituka baada ya kuishiwa utamu wazungu wakamtema kama jojo!

Sasa ngoja niongee kama mwalimu niliyefundisha masuala ya media kwa zaidi ya miaka 10 pale St. Agstine University of Tanzania kabla sijaachana na ajira! Ni hivi, media ina weza kumfanya shetani kuwa malaika na malaika kuwa shetani kwa sababu hucontrol fikra za watu, ndiyo maana tawala zenye mashaka zinaogopa sana media. “Kama lengo lako ni kubadilisha dunia, silaha sahihi na ya haraka ni media” alisema Tom Stoppard,mwandishi wa mshairi kutoka London. Waandishi wa habari Bob Woodward na Carl Bernstein wa gazeti la The Washington Post mwaka 1972 waliangusha utawala wa Richard Nixon, Rais wa Marekani, tukio linalojulikana kama Water Gate Scandal.

Naendelea! Waisrael wanamiliki uchumi wa dunia kwa sababu ya media. Walijipatia utajiri wakati wa vita ya kwanza ya dunia pale walipotangaza habari za uongo kwamba Uingereza inapigwa, matajiri wa Uingereza wakauza hisa zao kwa waisraeli kwa hasara kubwa, mwisho wa vita Mwingereza akashinda, matajiri wakaishi kama mashetani na waisrael wakaishi kama malaika, wakajiita taifa teule la Mungu na wewe ukakazana kuwabariki ukidhani hawa ndo wale wa kwenye Biblia.

Thomas Jefferson, rais wa tatu wa Marekani aliwahi kusema, “Ningeambiwa kuchagua kuwa na serikali bila magazeti au magazeti bila serikali nisingesita kuchagua jibu la mwisho”. Imani ya Jefferson ni kwamba vyombo vya habari vina nguvu zaidi ya serikali. Mwaka 1683, mfalme mmoja huko England aliamrisha maktaba ya chuo kikuu cha Oxford ichomwe moto, na ikachomwa kweli kwa sababu alimuogopa bwana Information is Power! Mwaka 1633, John Twyn, alikatwa vipande vipande hadi kufa baada ya kusambaza chapisho lilitowataka watu wauangushe utawala wa kifalme nchini Uingereza.

Corona inaua sana wazungu lakini kelele za BBC ni Afrika hasa Tanzania. Lengo ni kutuvuruga tu. Ona sasa tumeanza kubaguana sisi kwa sisi! Tunashindana kujifungia ndani ili wazungu watuuzie vyakula vya GMO, tuvile tuishiwe nguvu za kuzalisha watu na mali, waje watawale Afrika.

Sasa Magufuli anapojaribu kuzipuuza taarifa hizo wazungu wanakasirika na mamluki wao wanakuja juu ili wapewe misaada. Tangu lini mtu aliyemuua babu yako akusaidie? Anyway kwa wale mnaosomea maswala ya media hebu tafuteni kitabu changu, kinaitwa “Ethical Journalism: A voice of the Voiceless”, kinapatikana Amazoni, ukishindwa basi lipia kwa mpesa 0753665484 nikutumie sasa hivi. Unajua ili ufanye biashara utakiwa kuwa na akili kwanza, halafu pesa baadaye! Vijana wetu wanataka pesa kwanza ndo wakafanye biashara!

Hoja ya Nne:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na kasi ya kufikiri hatutaelewa kwa nini Magufuli aliamua kupeleka ndege ya serikali kuchukua dawa ya corona Madagascar. Alichofanya Magufuli ni kupambana na fikra kwamba hatuwezi kuishi bila wazungu, kumbe wao ndo hawawezi kuishi bila sisi.

Sisi tumeishi bila wao kwa zaidi ya miaka milioni nne iliyopita na tukafanya makubwa. Wazee wetu waliishi hadi miaka 100 wakitibiwa kwa mitishamba na matunda. Leo tumeacha dawa za asili, zilizopatikana kwa bure kabisa tukaparamia dawa za kizungu matokeo yake Afrika imejaa wagonjwa endelevu, wanaoishi kwa gharama kubwa kutajirisha viwanda vya mzungu. Ndo maana Rajoelina alivyogundua dawa hiyo WHO imekuja juu ati haina viwango na viongozi wa Afrika tukaamini propaganda hizo kwa sababu tumesahau historia yetu. Akivumbua mweusi hakifai, akivumvua mzungu kinafaa.

Jamani kuendelea kutibiwa kwa dawa za wazungu ni kuhalalisha kifo. Hakuna aliyewahi kupona kwa dawa za kizungu. Kelele za siku hizi malaria haiponi zimekuwa nyingi, taifodi na UTI ndo usiseme!

Jibu ni kurudi Afrika. Ni magonjwa mangapi yameshindikana hospitali za wazungu lakini yamepona kwa waganga wa jadi? Hatuhitaji kutumia hata senti tano kununua dawa za kizungu. Mungu anatushangaa na shetani anatucheka tunavyotumia pesa nyingi kuagiza dawa kutoka Ulaya kusiko na milonge, alovera na mayai ya nyoka.

Mzungu hawezi kukuletea dawa upone afunge viwanda vyake kwa sababu kufa kufaana. Walau sasa watanzania tumeanza kujifukiza, hii ni ishara ya kurudi Afrika. Mh. Jafo alitamani tuwe na wiki ya nyungu kabisa, watunga sera sidhani kama watamuelewa, ila siku ya ukimwi duniani wanaielewa. Jafo angekuwa mzungu tungepiga nyungu hadibadani.

Hoja ya Tano:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na kasi ya kufikiri tutajikuta kwenye mtego kumponda Magufuli kuwafurahisha wazungu ili watufadhili! Ati mzungu akufadhili, amekuwa mjomba wako? Kwanza mbele ya mzungu unaokena nyani tu halafu utake akufadhili. How? Mtu aliyekupiga na kukutenganisha na Mungu wako kwamba ni mshenzi na kusema usimuite Ngai, Imana, Kyala, Nguluvi, Mulungu badala yake umuabudu Yahwe, Allah na God hawezi kuwa mfadhili, mtu anayeziita nchi zetu third world countries na wakati Mungu aliumba dunia moja hawezi kukufadhili kitu, mtu aliyetupeleka mateka kwa miaka mia saba na kutufanyia ukatili wa kutisha hawezi kukufadhili kitu, mtu anayetudai kwa riba kubwa na wakati alitakiwa atulipe fidia kwa damage aliyotufanyia mpaka Afrika ikawa na umaskini wa kunuka ndani ya utajiri wa kutupwa hawezi kukufadhili kitu huyo. Huyo ni adui. Adui yako muombee njaa, adui yako mmalize ni maneno kuntu ya wahenga kuwaamsha waliolala. Nkurunziza wa Burudi amewatimu, Rejoelina amesema msitupangie, Magufuli kawaambia kama mnataka kuzisaidia nchi masikini zifutieni madeni acheni mbwembwe.

Mzee Robert Mugabe alisema mkoloni wa jana haweza kuwa rafiki yako, ukarimu wa mzungu ni sawa na ukarimu wa mchinja kuku, atamrushia mahindi ili amnase akamchinje! Mtu kakupeleka utumwani kwa pingu kama mwizi wa kuku, wamemuua ndugu yako Sankara, Lumumba na Gadafi halafu unasema ni ndugu zako, wameleta corona, ukimwi, presha, ebola, wameiba mali zetu, waliondoka na vichwa 2500 vya machifu wa Afrika halafu leo unadhani wanakupenda kwa jina la covid-19.

Unajikomba ili akupe misaada! “Lords of Poverty,” Mwandishi wa “Lords of Poverty” anasema misaada wanayotoa wazungu siyo kwa lengo la kusaidia Afrika bali kujisaidia wao ndo maana wanasambaza unga uliooza, waliwahi kuleta unga ambao hata ng’ombe wa St. Francisco walishindwa kula. Hivi kweli mtu anakuita ameshika kisu utakwenda? Hata mbwa hawezi kwenda!

Hoja ya Sita

Nasema hivi usipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hata haya mawazo yangu utayapiga rungu na wakati Mzee Kikwete alisema hoja hazipigwi Rungu! Hoja hupingwa kwa hoja nzuri zaidi, marungu waachie wanamgambo na washirikina.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mkuu umenikumbusha aya magonjwa Pepopunda, Surua, Tetekuwanga, Kisonono, Kaswende, Kifaduro, etc etc hivi na wazungu wanaugua aya magonjwa au ni sisi tu Africa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Unahitaji utulivu wa akili na umakini katika kufikiri ili kumuelewa Magufuli kelele za Covid-19: Hoja Sita!


________________________________________
Katika kipindi hiki cha corona na propaganda za magharibi, tusipojipa muda wa kuusaka ukweli tutakuja kumuelewa Rais Magufuli akiishaoondoka madarakani kwa sababu ukweli unatabia ya kuchelewa lakini lazima ufike na unapofika unatabia ya kuwasumbua walioupuuza. Mzee Kikwete alipokuwa madarakani aliitwa dhaifu, leo ameondoka tunatamani arudi kwa mema yake

Burundi wanaendelea na kampeni za uchaguzi lakini hutosikia kelele, Tanzania kulegeza lockdown imekuwa agenda ya Dunia. Hapo ndo ujue wazungu wanahofu sana na Tanzania kwa sababu wanaujua mziki wake. Wakizubaa Afrika yote itakombolewa na Tanzania kama tulivyozikomboa nchi za Kusini mwa Afrika. Siku za wazungu kuiburuza Afrika zinahesabika. Andry Rajoelina wa Madagasca, Nkurunziza kiboko ya WHO na Mzee Magufuli baba lao wameonesha uanaume kipindi hiki cha covid -19! Musiba yeye anakwambia tunatakiwa kuwa na World Bank ya Afrika! Musiba bwana! Kingereza chake kina hoja!

Ni kweli covid-19 inaua. Kila kona ya dunia tunazika! Huzuni ni kubwa! Mistake Afrika tuliifanya mwanzoni kabisa. Covid-19 ilipoanza kuwasumbua wazungu na wachina tulitakiwa kufunga mipaka haraka, no mzungu kuingia Afrika. Imagine janga lingeanzia Afrika kama kuna mtu angekanyaga kwao. Hilo hawakutushauri kabisa, wanatushauri tujilockdown! Anyway ngoja twende kwenye hoja zangu saba. Ruksa kuzichana chana kwa hoja bora zaidi kwa sababu hoja hazipigwi rungu!

Hoja ya kwanza:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini Magufuli ameipinga vikali kanuni ya “Stay home, protect your family,” na kuruhusu watu kuchapa kazi. Mzee alijua hili ni janga ambalo haliwezi kuisha leo wala kesho, hata ukimwi, surua, kansa na pepopunda vilianza hivi hivi na hadi leo vipo kwa sababu ni miradi ya wazungu! Ni tabia ya wazungu kutunga mitihani na kutuuzia majibu.
Walitengeneza virusi vya kompyuta ili watuuzie ant-virus, wakatengeneza ukimwi ili watuuziee barakoa za ukimwa, walitengeneza kansa ili watuuzie mionzi na dawa za kupunguza maumivu, walirutubisha mbu ili watuuzie net za Bill Gates, waliua ardhi yetu kwa mbolea na viwatilifu ili watuuzie mbolea, bila mbolea na dawa za kunyinyizia huvuni! Hii nayo ni kazi kubwa ya Monsanto!

Mtego wa “Stay home, protect your family,” umewanasa wasiojielewa. Unastay vipi home na wakati maisha yako ni ya riziki ya mbwa mdomoni? Stay home, protect your family, feed them stone to perish!

Leo dunia imemuelewa Magufuli kwa sababu ukweli unatabia ya kuchelewa, muda umefika WHO wamerudia maneno ya Magufuli, waliobana, waliobana wameanza kuachia! Yaani akisema mwafrika mwenzako huamini, akisema mzungu unaamini. Bure kabisa! Jamani siyo kila mzungu ni padre, wengine ni mashetani! Magufuli angekuwa mzungu leo angepewa tuzo ya utabiri na WHO ingekuwa genge la waafrika lingetozwa faini kwa kututabiria Afrika kufa sana.

Hoja ya Pili:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini Magufuli ameukwepa mtego wa kutatua kero ya corona kwa kutumia kero kama walivyofanya jamaa zetu. Full kuwatandika viboko waliokaidi kufia ndani. Afrika bila kutoka huli! Wahenga waliposema riziki ya mbwa iko miguuni hawakuwa wajinga. Mnazuia misongamano kwa viboko halafu mnagawa chakula kwa misongamano! Magufuli akiwapuuza mnamind! Kweli ujinga ni tishio zaidi ya covid-19.

Gonjwa lenyewe tangu lianze, limeishakula watu chini ya laki nne duniani kwa miezi 6 iliyo pita, wakati takwimu zinaonesha kwa mwaka watu zaidi ya milioni 40 wanakufa kila mwaka kwa magonjwa mengine sasa hii asilimia 1 ya vifo vya wazungu kibao na waafrika kiduchu ina maana gani hadi BBC kuifanya Tanzania kuwa agenda ya Dunia? Kwamba wazungu wanatupenda sana au? Kama wangekuwa wanatupenda siwangetuamrisha tufunge mipaka wazungu na wachina wasilete corona kwetu?Halafu unapomuweka ndani mtu muda wote kinga si ndo zitaisha kabisa?

Hoja ya Tatu:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hatutaelewa kwa nini kelele za media hazimuondoi Magufuli kwenye reli. Anajua siri ya media. Ukisikiliza mikogo ya BBC huwezi kukaa Tanzania, maana wote tunaumwa. Majirani wameanza kutukataa. Rwanda akipita mtanzania wanaziba pua. Kenya, Uganda, Zambia ndo kabisa hawataki kutusikia kwa sababu BBC imesema tunanuka covid-19!

Halafu BBC inatumia watoto wetu, kutuchonganisha Afrika na wao hawashituki. Wanashitukaje na wakati mkono unaenda kinywani? Hata Mobutu Seseko Kuku wa Zabanga alishituka baada ya kuishiwa utamu wazungu wakamtema kama jojo!

Sasa ngoja niongee kama mwalimu niliyefundisha masuala ya media kwa zaidi ya miaka 10 pale St. Agstine University of Tanzania kabla sijaachana na ajira! Ni hivi, media ina weza kumfanya shetani kuwa malaika na malaika kuwa shetani kwa sababu hucontrol fikra za watu, ndiyo maana tawala zenye mashaka zinaogopa sana media. “Kama lengo lako ni kubadilisha dunia, silaha sahihi na ya haraka ni media” alisema Tom Stoppard,mwandishi wa mshairi kutoka London. Waandishi wa habari Bob Woodward na Carl Bernstein wa gazeti la The Washington Post mwaka 1972 waliangusha utawala wa Richard Nixon, Rais wa Marekani, tukio linalojulikana kama Water Gate Scandal.

Naendelea! Waisrael wanamiliki uchumi wa dunia kwa sababu ya media. Walijipatia utajiri wakati wa vita ya kwanza ya dunia pale walipotangaza habari za uongo kwamba Uingereza inapigwa, matajiri wa Uingereza wakauza hisa zao kwa waisraeli kwa hasara kubwa, mwisho wa vita Mwingereza akashinda, matajiri wakaishi kama mashetani na waisrael wakaishi kama malaika, wakajiita taifa teule la Mungu na wewe ukakazana kuwabariki ukidhani hawa ndo wale wa kwenye Biblia.

Thomas Jefferson, rais wa tatu wa Marekani aliwahi kusema, “Ningeambiwa kuchagua kuwa na serikali bila magazeti au magazeti bila serikali nisingesita kuchagua jibu la mwisho”. Imani ya Jefferson ni kwamba vyombo vya habari vina nguvu zaidi ya serikali. Mwaka 1683, mfalme mmoja huko England aliamrisha maktaba ya chuo kikuu cha Oxford ichomwe moto, na ikachomwa kweli kwa sababu alimuogopa bwana Information is Power! Mwaka 1633, John Twyn, alikatwa vipande vipande hadi kufa baada ya kusambaza chapisho lilitowataka watu wauangushe utawala wa kifalme nchini Uingereza.

Corona inaua sana wazungu lakini kelele za BBC ni Afrika hasa Tanzania. Lengo ni kutuvuruga tu. Ona sasa tumeanza kubaguana sisi kwa sisi! Tunashindana kujifungia ndani ili wazungu watuuzie vyakula vya GMO, tuvile tuishiwe nguvu za kuzalisha watu na mali, waje watawale Afrika.

Sasa Magufuli anapojaribu kuzipuuza taarifa hizo wazungu wanakasirika na mamluki wao wanakuja juu ili wapewe misaada. Tangu lini mtu aliyemuua babu yako akusaidie? Anyway kwa wale mnaosomea maswala ya media hebu tafuteni kitabu changu, kinaitwa “Ethical Journalism: A voice of the Voiceless”, kinapatikana Amazoni, ukishindwa basi lipia kwa mpesa 0753665484 nikutumie sasa hivi. Unajua ili ufanye biashara utakiwa kuwa na akili kwanza, halafu pesa baadaye! Vijana wetu wanataka pesa kwanza ndo wakafanye biashara!

Hoja ya Nne:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na kasi ya kufikiri hatutaelewa kwa nini Magufuli aliamua kupeleka ndege ya serikali kuchukua dawa ya corona Madagascar. Alichofanya Magufuli ni kupambana na fikra kwamba hatuwezi kuishi bila wazungu, kumbe wao ndo hawawezi kuishi bila sisi.

Sisi tumeishi bila wao kwa zaidi ya miaka milioni nne iliyopita na tukafanya makubwa. Wazee wetu waliishi hadi miaka 100 wakitibiwa kwa mitishamba na matunda. Leo tumeacha dawa za asili, zilizopatikana kwa bure kabisa tukaparamia dawa za kizungu matokeo yake Afrika imejaa wagonjwa endelevu, wanaoishi kwa gharama kubwa kutajirisha viwanda vya mzungu. Ndo maana Rajoelina alivyogundua dawa hiyo WHO imekuja juu ati haina viwango na viongozi wa Afrika tukaamini propaganda hizo kwa sababu tumesahau historia yetu. Akivumbua mweusi hakifai, akivumvua mzungu kinafaa.

Jamani kuendelea kutibiwa kwa dawa za wazungu ni kuhalalisha kifo. Hakuna aliyewahi kupona kwa dawa za kizungu. Kelele za siku hizi malaria haiponi zimekuwa nyingi, taifodi na UTI ndo usiseme!

Jibu ni kurudi Afrika. Ni magonjwa mangapi yameshindikana hospitali za wazungu lakini yamepona kwa waganga wa jadi? Hatuhitaji kutumia hata senti tano kununua dawa za kizungu. Mungu anatushangaa na shetani anatucheka tunavyotumia pesa nyingi kuagiza dawa kutoka Ulaya kusiko na milonge, alovera na mayai ya nyoka.

Mzungu hawezi kukuletea dawa upone afunge viwanda vyake kwa sababu kufa kufaana. Walau sasa watanzania tumeanza kujifukiza, hii ni ishara ya kurudi Afrika. Mh. Jafo alitamani tuwe na wiki ya nyungu kabisa, watunga sera sidhani kama watamuelewa, ila siku ya ukimwi duniani wanaielewa. Jafo angekuwa mzungu tungepiga nyungu hadi madhabahuni. Halafu Mungu kaumba mwanadamu na kumkabidhi bustani iliyosheheni miti si vidonge! Kutumia miti kujitibu si dhambi! Huu ndo ukweli inagwa siku zote ukweli huumiza ila huboresha akili, uongo hufariji, ila hupumbaza akili.

Hoja ya Tano:

Tusipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na kasi ya kufikiri tutajikuta kwenye mtego kumponda Magufuli kuwafurahisha wazungu ili watufadhili! Ati mzungu akufadhili, amekuwa mjomba wako? Kwanza mbele ya mzungu unaokena nyani tu halafu utake akufadhili. How? Mzee Robert Mugabe alisema mkoloni wa jana haweza kuwa rafiki yako. Ukarimu wa mzungu ni sawa na ukarimu wa mchinja kuku, atamrushia mahindi ili amnase akamchinje! Mtu kawapelekea babu zako utumwani kwa pingu kama mwizi wa kuku, wakamuua ndugu yako Thomas Sankara, Patrice Lumumba na Muammar Gadafi halafu unasema ni ndugu zako. Ndugu gani atakuletea ukimwi, presha, ebola na sasa corona? Aliyekuibia mali zako, akaondoka na vichwa 2500 vya machifu wa Afrika unadhani anaweza kukupenda kwa jina la covid-19.

Unajikomba ili akupe misaada! Hiyo siyo misaada ni balaa kama alivyosema mwandishi wa “Lords of Poverty,” kwamba misaada wanayotoa wazungu siyo kwa lengo la kusaidia Afrika bali kujisaidia wao ndo maana waaliwahi kusambaza unga uliooza, ambao hata ng’ombe wao walishindwa kula. Siunajua Marekani mahindi ni chakula cha mifugo. Leo Afrika ina umaskini wa kunuka ndani ya utajiri wa kutupwa kwa sababu ya mzungu. Huyo ni adui. Adui yako muombee njaa, adui yako mmalize walisema wahenga. Nakubaliana na Lucky Dube aliposema siyo kila mzungu ni adui yako na wala si kila mwafrika ni rafiki yako! Hapa sasa za kuambiwa changanya na za kwako. Tayari Nkurunziza wa Burudi amewatimua WHO, Rejoelina amesema msitupangie, Magufuli kawaambia kama mnataka kuzisaidia nchi masikini zifutieni madeni.

Hoja ya Sita

Nasema hivi usipojipa muda wa kuusaka ukweli katika utulivu wa akili na umakini wa kufikiri vizuri hata haya mawazo yangu utayapiga rungu na wakati Mzee Kikwete alisema hoja hazipigwi Rungu! Hoja hupingwa kwa hoja nzuri zaidi, marungu waachie wanamgambo na washirikina.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom