PistolGang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2013
- 392
- 44
Engine ya toyota cami 1.3cc 16Valve, gari ya mwaka 1999. Isiwe ile vvti mfano uo
Engine ya toyota cami 1.3cc 16Valve, gari ya mwaka 1999. Isiwe ile vvti mfano uoView attachment 1233929
Mkuu vp?? NAWEZA PATA GEAR BOX YA VITS RS???
Gari yako ina engine gani? Inatumia dipstick au haitumii
Kuanzia 130,000/= kulingana na aina ya kampuniBetri ya passo bei gani
Gari yako ina engine gani? Inatumia dipstick au haitumii
Spare za volvo xc 90 2004 and 2008 pleases nimeyapak yoteSalaam ndugu zangu,kwanza napenda kuwashukuru kwa kuunga mkono uzi wetu pendwa wa, "Wapenzi wa magari mazuri ”. Ahadi yangu kwenu ni kuendeleza mazuri.
Ili magari yetu yaendelee kuwa mazuri tutahitaji spare,unaonaje ukinipa oda yako kisha nikutumie spare huko huko mkoani na utalipia mzigo wako ukishapokea kwa wakala wetu ?
Spare yoyote ile kwetu inapatikana iwe body part kama bampa, taa n.k au hata engine , gearbox na spare nyenginezo.
Unaweza kuniPm oda yako au nitumie ujumbe kwa WhatsApp au text ya kawaida .
Namba yangu ya simu ni 0658124554View attachment 1072803View attachment 1072804View attachment 1072805View attachment 1072807
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu natafuta sterling rod ya Harrier old(ya 1998). Bei gani?Salaam ndugu zangu,kwanza napenda kuwashukuru kwa kuunga mkono uzi wetu pendwa wa, "Wapenzi wa magari mazuri ”. Ahadi yangu kwenu ni kuendeleza mazuri.
Ili magari yetu yaendelee kuwa mazuri tutahitaji spare,unaonaje ukinipa oda yako kisha nikutumie spare huko huko mkoani na utalipia mzigo wako ukishapokea kwa wakala wetu ?
Spare yoyote ile kwetu inapatikana iwe body part kama bampa, taa n.k au hata engine , gearbox na spare nyenginezo.
Unaweza kuniPm oda yako au nitumie ujumbe kwa WhatsApp au text ya kawaida .
Namba yangu ya simu ni 0658124554View attachment 1072803View attachment 1072804View attachment 1072805View attachment 1072807
Sent using Jamii Forums mobile app
Na oxygen sensorShockups za mbele Tyota wish ni bei gani kwa mbili.
Za nyuma nazo bei gani?
Injector pump na nozzleNa oxygen sensor
Mkuu taa ya mbele kushoto ya spacio napata kwa bei gani?