Ligaba
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,045
- 2,821
Habari zenu wote.
Tuje katika mada, kuna mdada mmoja takribani hii ni wiki ya tatu sasa naomba mapenzi kwake ila kaniwekea ngumu, kumuuliza kasema sio siri yeye anampenda sana mpenzi wake aliye nae na afikirii kumsaliti kwa mazingira ya kawaida labda alogwe. Kiukweli hata Mimi nipo katika mahusiano ya kupika na kupakua sema tu wanaume tuna tamaa sana na huyu naona kama ni upgrade wa niliyenae sasa. Mtusamehe wake zetu.
Nilipolichunguza jibu lake nikafikiri kuna majambo naweza fanya kumpata huyu mtu. Jibu la kwanza amesema kulogwa ila sikuafiki kumloga mwanamke katika dunia ya sasa, nikapuuza. Alternative yake nikasema pesa inaweza kuwa mchawi na mlozi mkuu kwake. Hili nikaliona ndio liwe wazo la kwanza. Nikalisave kulipitisha.
Nikarudi zangu kwa Mara nyingine kwa yule mdada, ohh Candy unajua nakupenda sana, sasa nakuomba nisaidie kiasi gani kinatosha kupoza maumivu ya kum cheat your man? Kainama akacheka mwisho akasema acha apate muda afikiri. Usiku wa kuamkia Leo kanitumia message angalau 250k, hii angalau anunue kitu kidogo cha kudumu cha ukumbusho wa usaliti wake.
Tangu message ile bado nawaza, kumbe kuna kiasi kila binadamu akipewa chatosha kusaliti mahusiano yake kulingana na status yake, hasa kwa wadada maana wanaume hawana dau bure yatosha. Sasa naomba kufaham je wewe binafsi kiasi gani kucheat mahusiano yako hasa kwa mtu uliempenda kutoka moyoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuje katika mada, kuna mdada mmoja takribani hii ni wiki ya tatu sasa naomba mapenzi kwake ila kaniwekea ngumu, kumuuliza kasema sio siri yeye anampenda sana mpenzi wake aliye nae na afikirii kumsaliti kwa mazingira ya kawaida labda alogwe. Kiukweli hata Mimi nipo katika mahusiano ya kupika na kupakua sema tu wanaume tuna tamaa sana na huyu naona kama ni upgrade wa niliyenae sasa. Mtusamehe wake zetu.
Nilipolichunguza jibu lake nikafikiri kuna majambo naweza fanya kumpata huyu mtu. Jibu la kwanza amesema kulogwa ila sikuafiki kumloga mwanamke katika dunia ya sasa, nikapuuza. Alternative yake nikasema pesa inaweza kuwa mchawi na mlozi mkuu kwake. Hili nikaliona ndio liwe wazo la kwanza. Nikalisave kulipitisha.
Nikarudi zangu kwa Mara nyingine kwa yule mdada, ohh Candy unajua nakupenda sana, sasa nakuomba nisaidie kiasi gani kinatosha kupoza maumivu ya kum cheat your man? Kainama akacheka mwisho akasema acha apate muda afikiri. Usiku wa kuamkia Leo kanitumia message angalau 250k, hii angalau anunue kitu kidogo cha kudumu cha ukumbusho wa usaliti wake.
Tangu message ile bado nawaza, kumbe kuna kiasi kila binadamu akipewa chatosha kusaliti mahusiano yake kulingana na status yake, hasa kwa wadada maana wanaume hawana dau bure yatosha. Sasa naomba kufaham je wewe binafsi kiasi gani kucheat mahusiano yako hasa kwa mtu uliempenda kutoka moyoni?
Sent using Jamii Forums mobile app