Unahitaji huduma ya kutengeneza gari lako?

Mtotigite

Member
Aug 11, 2009
40
3
Habari wana janvi nimeamua kujiajiri na kuanzisha garage katika kujikwamua kiuchumi kama kijana baada ya kufanya kazi ya kuajiriwa na kampuni ya scania kwa muda mrefu,nimeajiri pia vijana wenzangu kutoka makampuni mbalimbali hasa ya kichina ambayo yanawanyonya sana watanzania wanaofanya kazi kubwa kwa malipo kidogo.Garage yetu inafanya kazi zifuatazo.
1.General car services hizi ni door to door hata kama uko nyumbani kwako tutatuma mafundi wetu kufanya service ya gari lako hapohapo huhitaji kuja garage,pia unaweza kuja garage.

2.Kunyoosha magari yaliyopata ajali

3.Kupaka rangi magari ya muda mrefu ambayo rangi zimechakaa

4.Kutengeneza mabodi ya magari ya mizigo,kama una trailer inayobeba container na unataka uibadilishe tunafanya kazi hiyo kwa garama nafuu sana na kwa ubora wa hali ya juu

5.Tunauza spare mbalimbali za magari mpya na used.
Karibu tukuhudumie garage ipo Mbezi beach karibu na interchick tupigie kwa namba 0713417107 ulizia Limbe.
 
Habari wana janvi nimeamua kujiajiri na kuanzisha garage katika kujikwamua kiuchumi kama kijana baada ya kufanya kazi ya kuajiriwa na kampuni ya scania kwa muda mrefu,nimeajiri pia vijana wenzangu kutoka makampuni mbalimbali hasa ya kichina ambayo yanawanyonya sana watanzania wanaofanya kazi kubwa kwa malipo kidogo.Garage yetu inafanya kazi zifuatazo.
1.General car services hizi ni door to door hata kama uko nyumbani kwako tutatuma mafundi wetu kufanya service ya gari lako hapohapo huhitaji kuja garage,pia unaweza kuja garage.

2.Kunyoosha magari yaliyopata ajali

3.Kupaka rangi magari ya muda mrefu ambayo rangi zimechakaa

4.Kutengeneza mabodi ya magari ya mizigo,kama una trailer inayobeba container na unataka uibadilishe tunafanya kazi hiyo kwa garama nafuu sana na kwa ubora wa hali ya juu

5.Tunauza spare mbalimbali za magari mpya na used.
Karibu tukuhudumie garage ipo Mbezi beach karibu na interchick tupigie kwa namba 0713417107 ulizia Limbe.

nimependa huo ubunifu ni mzuri kwa kweli, as long as umetupatia namba yako tutakuja tu
 
Habari wana janvi nimeamua kujiajiri na kuanzisha garage katika kujikwamua kiuchumi kama kijana baada ya kufanya kazi ya kuajiriwa na kampuni ya scania kwa muda mrefu,nimeajiri pia vijana wenzangu kutoka makampuni mbalimbali hasa ya kichina ambayo yanawanyonya sana watanzania wanaofanya kazi kubwa kwa malipo kidogo.Garage yetu inafanya kazi zifuatazo.
1.General car services hizi ni door to door hata kama uko nyumbani kwako tutatuma mafundi wetu kufanya service ya gari lako hapohapo huhitaji kuja garage,pia unaweza kuja garage.

2.Kunyoosha magari yaliyopata ajali

3.Kupaka rangi magari ya muda mrefu ambayo rangi zimechakaa

4.Kutengeneza mabodi ya magari ya mizigo,kama una trailer inayobeba container na unataka uibadilishe tunafanya kazi hiyo kwa garama nafuu sana na kwa ubora wa hali ya juu

5.Tunauza spare mbalimbali za magari mpya na used.
Karibu tukuhudumie garage ipo Mbezi beach karibu na interchick tupigie kwa namba 0713417107 ulizia Limbe.

Mnanyoosha kwa nyundo au machine?
 
weka website,kama huna ni PM nikufanyie kazi nzuri ,i will also host it for you,ili wateja wako waweze kukujua vizuri na pia kuweka service diary online,booking etc
Habari wana janvi nimeamua kujiajiri na kuanzisha garage katika kujikwamua kiuchumi kama kijana baada ya kufanya kazi ya kuajiriwa na kampuni ya scania kwa muda mrefu,nimeajiri pia vijana wenzangu kutoka makampuni mbalimbali hasa ya kichina ambayo yanawanyonya sana watanzania wanaofanya kazi kubwa kwa malipo kidogo.Garage yetu inafanya kazi zifuatazo.
1.General car services hizi ni door to door hata kama uko nyumbani kwako tutatuma mafundi wetu kufanya service ya gari lako hapohapo huhitaji kuja garage,pia unaweza kuja garage.

2.Kunyoosha magari yaliyopata ajali

3.Kupaka rangi magari ya muda mrefu ambayo rangi zimechakaa

4.Kutengeneza mabodi ya magari ya mizigo,kama una trailer inayobeba container na unataka uibadilishe tunafanya kazi hiyo kwa garama nafuu sana na kwa ubora wa hali ya juu

5.Tunauza spare mbalimbali za magari mpya na used.
Karibu tukuhudumie garage ipo Mbezi beach karibu na interchick tupigie kwa namba 0713417107 ulizia Limbe.
 
Back
Top Bottom