Habari Wakuu!
JF ni mahali ambapo kuna kila aina ya watu wenye shughuli mbalimbali ktk jamii, leo nipo hapa kwa ajili ya wale ambao wana uhitaji wa biti za Gospel, hususani kwa Makanisa ambayo hayajanunua kinanda, biti hizi zitakusaidia saana.
Nina biti kwa ajili ya nyimbo za ..........
1. Kuabudu
2. Kusifu
3. Tenzi
1. Upande wa Biti za Kuabudu
-Biti za kuabudu hususani makanisa ya Kiroho wataweza kunielewa zaidi mahali hapa, mfano wa bits/instruments ambazo mtu unaweza ukatumia kwa ajili ya kuimba nyimbo ni kama ........
A. Yehova
B. Hosana ndiwe Mungu wetu
C. Nani kama wewe (Ukienda Youtube kuna msanii kaimba hii nyimbo inayoitwa nani kama wewe) Ila hii biti ambayo mimi ninayo imetuliq zaidi na ni nzuri zaidi kuabudia.
D. Hakuna Mungu kama wewe
E. Damu ya Yesu
F. Tazama wewe ni Bwana
G. Niguse
H. Na nyinginezo nyingi, hapa nimetolea kama baadhi tu
2. Biti/Instrumentalz/Mapambio kwa ajili ya Sifa
A. Obrigado
B. Moyoni nimempata Yesu
C. Katikati ya Mabwana/Miungu
D. Yu mwema
E. Na nyingineO
3. Tenzi za rohoni
A. Bwana Uliyewaita
B. Bwana Mungu nashangaa
C. Ni Salama rohoni Mwangu
D. Tufani
E. Usinipite
F. Na nyingine chache
NOTE: Biti za kusifu au kuabudu unaweza ukaimbia nyimbo tofauti tofauti zinazoingiliana au kutofautiana kidogo hata 2 au 3 nakuendelea.
Biti hizi sijamuibia mtu yoyote yule, biti zote ninazozitoa ni zile tu ambazo nna haki ya kuzigawa.
MADHUMUNI YA KUFANYA HIVI
A. Nimeamua kufanya hivi kutokana na kuwa na uhitaji mkubwa wa waimbaji wanaotaka kujiendeleza ktk uimbaji.
B. Lakini kubwa zaidi ni kwa yale makanisa ambayo bado hayajanunua kinanda.
C. Uchumi, waimbaji wengi na makanisa mengi machanga uchumi wao sio mzuri. Kutengeneza hizi biti kwa moja si chini 15,000 ambayo inakuwa na Quality nzuri kwenye Spika/Music System yako.
........ Mimi Kanisani ni DJ, ni mpiga vyombo na bado hatujanunua kinanda ila muda si mrefu tunakaribia kukinunua pamoja na Magitaa mawili.
....... Nakaribisha maswali mbalimbali kuhusu vyombo vya mziki kama Mixer, Spika, Mics n.k japo mimi sio Expert wa mambo haya, lakini walau kidooogo nnafahamu.
KAMA WEWE NI MHITAJI WA BITI UNAWEZA UKANI_PM. KWANGU HAKUNA PM AMBAYO SIIJIBU, LAZIMA NIKUJIBU.
SAMAHANI INAWEZA IKAWA NI NGUMU SANA KUWEKA NAMBA HAPA ILA KWA WALE WENYE UHITAJI NITAWAPA.
*** KARIBUNI ***
JF ni mahali ambapo kuna kila aina ya watu wenye shughuli mbalimbali ktk jamii, leo nipo hapa kwa ajili ya wale ambao wana uhitaji wa biti za Gospel, hususani kwa Makanisa ambayo hayajanunua kinanda, biti hizi zitakusaidia saana.
Nina biti kwa ajili ya nyimbo za ..........
1. Kuabudu
2. Kusifu
3. Tenzi
1. Upande wa Biti za Kuabudu
-Biti za kuabudu hususani makanisa ya Kiroho wataweza kunielewa zaidi mahali hapa, mfano wa bits/instruments ambazo mtu unaweza ukatumia kwa ajili ya kuimba nyimbo ni kama ........
A. Yehova
B. Hosana ndiwe Mungu wetu
C. Nani kama wewe (Ukienda Youtube kuna msanii kaimba hii nyimbo inayoitwa nani kama wewe) Ila hii biti ambayo mimi ninayo imetuliq zaidi na ni nzuri zaidi kuabudia.
D. Hakuna Mungu kama wewe
E. Damu ya Yesu
F. Tazama wewe ni Bwana
G. Niguse
H. Na nyinginezo nyingi, hapa nimetolea kama baadhi tu
2. Biti/Instrumentalz/Mapambio kwa ajili ya Sifa
A. Obrigado
B. Moyoni nimempata Yesu
C. Katikati ya Mabwana/Miungu
D. Yu mwema
E. Na nyingineO
3. Tenzi za rohoni
A. Bwana Uliyewaita
B. Bwana Mungu nashangaa
C. Ni Salama rohoni Mwangu
D. Tufani
E. Usinipite
F. Na nyingine chache
NOTE: Biti za kusifu au kuabudu unaweza ukaimbia nyimbo tofauti tofauti zinazoingiliana au kutofautiana kidogo hata 2 au 3 nakuendelea.
Biti hizi sijamuibia mtu yoyote yule, biti zote ninazozitoa ni zile tu ambazo nna haki ya kuzigawa.
MADHUMUNI YA KUFANYA HIVI
A. Nimeamua kufanya hivi kutokana na kuwa na uhitaji mkubwa wa waimbaji wanaotaka kujiendeleza ktk uimbaji.
B. Lakini kubwa zaidi ni kwa yale makanisa ambayo bado hayajanunua kinanda.
C. Uchumi, waimbaji wengi na makanisa mengi machanga uchumi wao sio mzuri. Kutengeneza hizi biti kwa moja si chini 15,000 ambayo inakuwa na Quality nzuri kwenye Spika/Music System yako.
........ Mimi Kanisani ni DJ, ni mpiga vyombo na bado hatujanunua kinanda ila muda si mrefu tunakaribia kukinunua pamoja na Magitaa mawili.
....... Nakaribisha maswali mbalimbali kuhusu vyombo vya mziki kama Mixer, Spika, Mics n.k japo mimi sio Expert wa mambo haya, lakini walau kidooogo nnafahamu.
KAMA WEWE NI MHITAJI WA BITI UNAWEZA UKANI_PM. KWANGU HAKUNA PM AMBAYO SIIJIBU, LAZIMA NIKUJIBU.
SAMAHANI INAWEZA IKAWA NI NGUMU SANA KUWEKA NAMBA HAPA ILA KWA WALE WENYE UHITAJI NITAWAPA.
*** KARIBUNI ***