Unahisi mwana JF yukoje kimtazamo wako

Faidha fox ni mama wa makamo kimwonekano ukimpa milioni 10 anajilipua
 
MziziMkavu sio mtu mzima sana,lakini ana busara na hekima, Asprin atakuwa Serengeti boy,penda penda, mwallu ni mcha Mungu ila bado ni binti mdogo sana, FaizaFoxy ni bibi wa miaka kama 70 akili yake imezeeka, a.rahabu ni kigori tu miaka 22 hivi lakini anajifanya kakua, miss neddy kamiss miss hivi Evelyn Salt ni dogo kabisa miaka 19 lakini kakua juzi juzi tu,, utafiti kijana mtanashati,msafi,busara sana,,,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom