CHOKAMBOVU
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 820
- 532
Huku kwetu hakuna hiyo kitu huku kwetu hakuna kwakuwa tunajielewa na hatulewi sifa za kijingaWengi tunamkubali na tunaomba awe Rais wa maisha kama sisi ,hapa mtaani kwetu mtu akifanya jambo zuri watu wanasema umefanya kama Magufuli
Huko kwenu vipi?
State agent