Elections 2015 Unadhani kwanini Reginad Mengi kazomewa pale alivokuwa akipewa cheti Magufuli?

Bado hata tv yake ya Itv saa mbili hii imeonyesha mahudhurio ya shule ya watoto wa Mtwara ni hafifu na kibwagizo chake ni watu wa Mtwara wakiandamana kushangilia ushindi wa Rais Magufuli. Mbona hawatuonyeshi Monduli baba na mtoto dudu nje kama mnyama huku wakichunga mbuzi? Ole wenu na dharau hii wakaskazini kuna siku itawatokea puani

U have nothing to do buddy. Absolutely nothing. Unashangilia upepo tu. Kesho all your ass troubleas are still gona be there. Kama wa kaskazini wamekuzidi wamekuzidi tu huna cha kufanya.
 
Watu wanatumia tumbo kufikiri unamjadili kwa ubaya mtu ambaye ameajiri maelfu ya watu hadi na ndugu zako.
 
Naona CCM nako kuna wanywa viroba na Bodaboda,Hawa si ndo wanahubiri amani???duh I can see the graph touching zero(bell shape)time will tell
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom