Elections 2015 Unadhani kwanini Reginad Mengi kazomewa pale alivokuwa akipewa cheti Magufuli?

Leo unalalamikia zomea zomea.ccm walikua wanazomewa kongo,magufuli kazomewa ubungo na mbeya mlishangilia sana na tuliwaonya hamkusikia

ulimuonya nani acha kupanic uo ni ushabiki maandaz unaonekana bado mdogo sana kifikra hujui kujenga hoja unakurupuka tu mahaba yako peleka kwa misukule wenzio
 
Usifikiri kuwa ni ngumu sana kukupata

0759 84 16 85
I save you the trouble,just make a call, and dnt forget if you can look for me,I can look for you.If you can kill me,there is a possibility of me killing you,so you are welcome,absolutely welcomed
 
Sababu ya kushindwa ktk uchaguzi huu ni ukawa hawkujipanga kwa kiti cha urais ndio haya yalio tokea wameazima mgombea
 
Lowasa hatokuambia uandamane ila atakuambia umuue mkeo na watoto wako waliomchagua magufuli awe raisi wao,je upo tayari kwa hilo?

Watoto wangu hawazuii Lowasa kuingia Ikulu,mke wangu yuko China,hazuii Lowasa kuingia Ikulu,ila kuna watu wanazuia.I mean we need a plan,a strategy na hiyo iletwe na uongozi wa juu.Mimi uhai wangu nilishauweka rehani kwaajili ya mabadiliko.
 
Ila Lowasa na Mbowe wanataka kuniua kwa presha,haki ya Mungu,Mbowe kama unanisikia unafanya mimi nadhalilika,nafsi yangu ina dhalilika.Ulisema hela,tukachanga,ukasema kampeni,tukafanya,ukasema kura,tukapiga,acha ungese Mbowe,sema unataka tufanyeje?
 
Ila Lowasa na Mbowe wanataka kuniua kwa presha,haki ya Mungu,Mbowe kama unanisikia unafanya mimi nadhalilika,nafsi yangu ina dhalilika.Ulisema hela,tukachanga,ukasema kampeni,tukafanya,ukasema kura,tukapiga,acha ungese Mbowe,sema unataka tufanyeje?

We jamaa ni mpuuzi sana! Sasa unataka Mbowe atoe agizo gani? Akwambie andamaneni? Yeye keshasema hawakubaliani na matokeo,,maanaake hapo jiongeze mwenyewe, kama kuingia mtaani ingia,

Sasa unajitekenya tu hapa mtandaoni!!
 
We jamaa ni mpuuzi sana! Sasa unataka Mbowe atoe agizo gani? Akwambie andamaneni? Yeye keshasema hawakubaliani na matokeo,,maanaake hapo jiongeze mwenyewe, kama kuingia mtaani ingia,

Sasa unajitekenya tu hapa mtandaoni!!

Huwezi cheza mwenyewe bila kujua team inachezaje,Ntakachokifanya hakina uhakika wa kutupeleka ikulu
 
Alikwenda fanya nn Maan kila mtu anajua yy alikuwa yupo upande WA kaskazini mtu lazima usome nyakati


Ni mfanyabiashara top 5 Tanzania, ana mchango mkubwa sana kwa Taifa. Kodi serikaln ajira kwa maelfu ya watanzania, Mkuu fikiria kwanza kabla ya kuanza kutumia keyboard yako.
 
Nimeipata Sehem Kuwa Mengi Kazomewa Kwa Upendeleo Katika Habari,
Kuna Mtoa Habari Mmoja Kazomewa Kutokana Na Ubaguz Wake Katika Kulipot, Sasa Alivojitokeza Mengi Kazomewa Zaidi, Unahsi Ni Kweli?

Vyombo vyake vya habari, na baadhi ya watangazaji wake waliegemea sana upande wa lowasa. sasa lowasa kapigwa chini aibu imemshika mbaya! so watu wakampa makavu yake live
 
Watu wamemzomea alipoenda kwenye shughuli ya kumkabidhi magufuli cheti.. . Hapo ni Membe anamuokoa kumuingiza kwenye gari yake.. Mzee kazidi anageuza itv ni tawi la ukawa.

Ombeni Mungu,busara ya Lowassa iendelee!
 
Duh! kweli humu kuna vilaza wengi! vp star ccm na tbccm! endeleeni na ujuha!
 
Bado hata tv yake ya Itv saa mbili hii imeonyesha mahudhurio ya shule ya watoto wa Mtwara ni hafifu na kibwagizo chake ni watu wa Mtwara wakiandamana kushangilia ushindi wa Rais Magufuli. Mbona hawatuonyeshi Monduli baba na mtoto dudu nje kama mnyama huku wakichunga mbuzi? Ole wenu na dharau hii wakaskazini kuna siku itawatokea puani
 
0759 84 16 85
I save you the trouble,just make a call, and dnt forget if you can look for me,I can look for you.If you can kill me,there is a possibility of me killing you,so you are welcome,absolutely welcomed

This funny. Absolutely funny. Anatishia kujamba wakati ana tumbo la kuharisha
 
Ila Lowasa na Mbowe wanataka kuniua kwa presha,haki ya Mungu,Mbowe kama unanisikia unafanya mimi nadhalilika,nafsi yangu ina dhalilika.Ulisema hela,tukachanga,ukasema kampeni,tukafanya,ukasema kura,tukapiga,acha ungese Mbowe,sema unataka tufanyeje?

na hela ziko wapi unajua? Hahaaaaa kwiiiiiiikwiiiiiiiii wajinga ndio waliwao
 
Back
Top Bottom