Sudi jr
Senior Member
- Aug 4, 2017
- 133
- 178
Unahisi kukata tamaa au unajiona hauna thamani? labda umeumizwa na mapenzi, pengine maisha magumu na mipango yako haisogei mbele kama ni hivyo....!
fanya hili zoezi dogo sana kwa dakika 15
fumba macho yako tayari? sawa basi
sikiliza mapigo ya moyo wako sikiliza vizuri...
safi inaashiria bado uhai, unaishi, unaafya njema. kuna mamia ya watu ambao mioyo yao inadunda pigo la mwisho, yaani ni mfu na anapoteza kila kitu kwa wakati huo akili, mali, afya, nguvu, maono, lakini wewe una kila kitu muhimu kupata kila kitu unachoitaji.
sasa fikiria (think) empty your mind and think positively, try again and again...unaona sasa kumbe bado una utimamu wa akili. MUNGU bado anakupenda sanaa, don't let him down make GOD proud of you. inuka sasa, stand-up, wake up yes.. sema bado ninaishi, sema naenda kubadilisha hali hii, umasikini huu, sitaumia tena, sitalia tena, sitakua muoga Kamwe.
Now smile...show that bigger smile promise GOD that you will never let him down ever again, Move forward.
fanya hili zoezi dogo sana kwa dakika 15
fumba macho yako tayari? sawa basi
sikiliza mapigo ya moyo wako sikiliza vizuri...
safi inaashiria bado uhai, unaishi, unaafya njema. kuna mamia ya watu ambao mioyo yao inadunda pigo la mwisho, yaani ni mfu na anapoteza kila kitu kwa wakati huo akili, mali, afya, nguvu, maono, lakini wewe una kila kitu muhimu kupata kila kitu unachoitaji.
sasa fikiria (think) empty your mind and think positively, try again and again...unaona sasa kumbe bado una utimamu wa akili. MUNGU bado anakupenda sanaa, don't let him down make GOD proud of you. inuka sasa, stand-up, wake up yes.. sema bado ninaishi, sema naenda kubadilisha hali hii, umasikini huu, sitaumia tena, sitalia tena, sitakua muoga Kamwe.
Now smile...show that bigger smile promise GOD that you will never let him down ever again, Move forward.