Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,059
- 23,921
Hata Dar, miguu hiyo iko.
dar ukiona hivyo huyo mzaramooooo
Hata Dar, miguu hiyo iko.
Mguu huo ni wangu, na mimi siyo mkeo!!! Ukitaka ushahidi njoo na mkeo kijiji cha Kirando (wilaya ya Nkasi) wiki ijayo ninaendesha semina hapo ulinganishe na ujionee mwenywe.
Hapa nitashindwa kuja kwani niko mbali kidogo, ila kama ningekuwa karibu nisingekubali hilo. Naona kabisa guu la mke wangu na limebandikwa JF bila idhini yangu kulikoni? Ila nitakutafuta tu nishuhudie.
Mmmmm, yatakushinda!!!!
Kama huyo ni mumewe basi binie ni mkorofi anamnyima maji ya kuoga.Na huyo ni mumewe...!!!:disapointed:
Katavi? Poa tu. Acha uchokozi, hata hivyo ebu check hapa sampuli za mguu toka Katavi !!!
View attachment 97352
Kama huyo ni mumewe basi binie ni mkorofi anamnyima maji ya kuoga.
Huo ni zaidi ya uchafu mkuu, huyo ni mgonjwa wa ngozi.Ukiwa na hulka ya usafi bana..ata ukinyimwa maji utanawia kisimani!!!!