OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,170
- 103,635
1. Unafurahi Magufuli kubana posho na maslahi kwa wafanyakazi, jioni unanipigia simu unaniomba nikutoe hata buku teni tu hali imekuwa mbaya.Halafu mwisho wa mwezi unataka nikuongezee nauli imepelea dogo aende shule.
2. Unasema watumishi wa umma tulikuwa tunaringa sana, bora Magufuli katukomoa, ukienda hospitali unaambiwa dawa hakuna na duka la binafsi inauzwa 30,000/= unanipigia simu unajanga nikusaidie
3. Unafurahi watumishi kubaniwa, jioni Unalalama kabiashara kako ka genge kanaenda ovyo, unashindwa kujua kama wateja wako watumishi wa umma tupo dhofli na purchasing power imekuwa chini sana. Tunanunua basic needs tu.
4. Unafurahi kibano wikend unanitumia sms mchango wa harusi, nitoe wapi sasa hela
Ndugu na jamaa waelewe kwamba ule uwezo kuliokuwa nao kuweza kusaidiana kama ndugu kwenye raha na matatizo ulitokana na maslahi mbalimbali ikiwepo posho, seminar, likizo nk. Kwa hiyo kwa kupigwa kwetu wamepigwa na wao pia.Mzunguko wa pesa kiasi kikubwa ulisababishwa na hayo. Kupitia kuungaunga huko tuliweza kusaidiana, kulipia madogo ada nk.
Kwa hiyo unapofurahia elewa kwamba, kwa kupigwa kwetu nawe umepigika
2. Unasema watumishi wa umma tulikuwa tunaringa sana, bora Magufuli katukomoa, ukienda hospitali unaambiwa dawa hakuna na duka la binafsi inauzwa 30,000/= unanipigia simu unajanga nikusaidie
3. Unafurahi watumishi kubaniwa, jioni Unalalama kabiashara kako ka genge kanaenda ovyo, unashindwa kujua kama wateja wako watumishi wa umma tupo dhofli na purchasing power imekuwa chini sana. Tunanunua basic needs tu.
4. Unafurahi kibano wikend unanitumia sms mchango wa harusi, nitoe wapi sasa hela
Ndugu na jamaa waelewe kwamba ule uwezo kuliokuwa nao kuweza kusaidiana kama ndugu kwenye raha na matatizo ulitokana na maslahi mbalimbali ikiwepo posho, seminar, likizo nk. Kwa hiyo kwa kupigwa kwetu wamepigwa na wao pia.Mzunguko wa pesa kiasi kikubwa ulisababishwa na hayo. Kupitia kuungaunga huko tuliweza kusaidiana, kulipia madogo ada nk.
Kwa hiyo unapofurahia elewa kwamba, kwa kupigwa kwetu nawe umepigika