Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Vijana wa leo 'brothen men' sana
Kila kijana anayefunga ndoa eti anafungia mjini anakoishi, anakofanyia kazi. Badala ya kurudi kijijini ulikozaliwa, ulikokulia ama ulikotoka na ndio kwenye baraka za wazazi, ndugu na jamaa wa ukweli ulikolelewa kuliko 'masnitch' wa huko mjini uliowakuta ukubwani.
Wazazi, ndugu na jamaa wanapata shida kusafiri kutoka huko kijijini Uvinza kuifuata sherehe yako huko Daslam, kisa eti hutaki kuwalet down washikaji na jamaa wengine 'wakuja' tu kwenye maisha yako.
Kijijini mzazi /ndugu/rafiki ajichange nauli, ashone sare, ajikusanye kizawadi na aandae hela ya kuja kulala Daslam kuhudhuria sherehe yako. Kisa tu masela wako eti.
Kijijini hela ni ngumu mno, kilimo hakina tija, wazee wamedunduliza wee kukusomesha mpaka umefikia hapo, leo hii tena unataka wajichange watoke huko kijijini wakufuate wewe mjini. Ni ujinga sana huu.
Kwanini usifunge harusi kijijini ? Hata watu back ( masela) wakiikosa siyo tatizo, kwanza ni baraka sana.
Inaumiza sana vijana wa leo unasababisha wazazi , ndugu wanajichanga huko kijijini kwa ajili ya kuja kuattend harusi yako mjini.
Nidhambi sana ndio maana ndoa hazidumu.
Kila kijana anayefunga ndoa eti anafungia mjini anakoishi, anakofanyia kazi. Badala ya kurudi kijijini ulikozaliwa, ulikokulia ama ulikotoka na ndio kwenye baraka za wazazi, ndugu na jamaa wa ukweli ulikolelewa kuliko 'masnitch' wa huko mjini uliowakuta ukubwani.
Wazazi, ndugu na jamaa wanapata shida kusafiri kutoka huko kijijini Uvinza kuifuata sherehe yako huko Daslam, kisa eti hutaki kuwalet down washikaji na jamaa wengine 'wakuja' tu kwenye maisha yako.
Kijijini mzazi /ndugu/rafiki ajichange nauli, ashone sare, ajikusanye kizawadi na aandae hela ya kuja kulala Daslam kuhudhuria sherehe yako. Kisa tu masela wako eti.
Kijijini hela ni ngumu mno, kilimo hakina tija, wazee wamedunduliza wee kukusomesha mpaka umefikia hapo, leo hii tena unataka wajichange watoke huko kijijini wakufuate wewe mjini. Ni ujinga sana huu.
Kwanini usifunge harusi kijijini ? Hata watu back ( masela) wakiikosa siyo tatizo, kwanza ni baraka sana.
Inaumiza sana vijana wa leo unasababisha wazazi , ndugu wanajichanga huko kijijini kwa ajili ya kuja kuattend harusi yako mjini.
Nidhambi sana ndio maana ndoa hazidumu.