junky
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 413
- 976
Machi 20 2017 katika operesheni zake nchini Syria ,marekani iliangusha makombora kwenye shule na kuua watu na machi 22 ikalipua soko na kuua watu 84 wakiwemo wanafunzo 34
Mwaka 2016 usa ikalipua hospitali Aleppo hospitali pekee iliyobaki Aleppo na kuua madaktari na wagonjwa
Haki za binaadamu waliandamana tu ..
Iweje leo huyu aliyelipua hospitali, shule na soko awe concerned na watu wanaozaniwa kufa kwa silaha za sumu japo haikuthibitishwa... kweli ana uchungu na ukiukwaji wa haki za binaadamu nchini Syria au harakati kumdhoofisha Assad kipindi kaanza kurejesha nguvu
Mwaka 2016 usa ikalipua hospitali Aleppo hospitali pekee iliyobaki Aleppo na kuua madaktari na wagonjwa
Haki za binaadamu waliandamana tu ..
Iweje leo huyu aliyelipua hospitali, shule na soko awe concerned na watu wanaozaniwa kufa kwa silaha za sumu japo haikuthibitishwa... kweli ana uchungu na ukiukwaji wa haki za binaadamu nchini Syria au harakati kumdhoofisha Assad kipindi kaanza kurejesha nguvu