Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,219
Mimi ni mmojawapo kati ya mashabiki wengi wa ms humu jamvini! Jamaa anapokosekana humu ndani jamvi huwa linapooza sana! Naamini kuna watu wengi huwa wanamtusi sana humu ndani lakini mioyoni mwao wanamkubali! But jamaa huwa anakuwa na typing error nyingi sana,sometimes hadi inakuwa raha! Me nauliza wazee mnadhani nini huwa inasababisha hizo errors za ms? Ana type kwa miguu?? Au?