Unafikiri ni kwa nn hufanikiwi kimaisha!!!!

HARRISON ONE

Member
Jan 8, 2014
42
30
hili ni swali ambalo naamini wana jf wengi huwa wanajiuliza sababu ninazoona mimi ni kuwa
1)haujibidishi vya kutosha katika kutafuta mafanikio
2)mfumo wa malezi yako toka utotoni ndio unaokufanya usifanikiwe
3)unajibidisha katika mambo yasiyo na faida
4)hujui kwenye maisha yako unahitaji nini hasa(kwa maana ya malengo)
5)kuwa na mipango mingi sana kwa wakati mmoja hatimaye kushindwa kuitekeleza kwa ufanisi
6)starehe za kupindukia kila upatapo kiasi kidogo cha pesa
7)kutokuwa na utamaduni wa kujiwekea akiba
8)mawazo mgando
9)pombe sana
10)kutomjua mungu

tupia za kwako watu wasonge mbele!!!
 
hili ni swali ambalo naamini wana jf wengi huwa wanajiuliza sababu ninazoona mimi ni kuwa
1)haujibidishi vya kutosha katika kutafuta mafanikio
2)mfumo wa malezi yako toka utotoni ndio unaokufanya usifanikiwe
3)unajibidisha katika mambo yasiyo na faida
4)hujui kwenye maisha yako unahitaji nini hasa(kwa maana ya malengo)
5)kuwa na mipango mingi sana kwa wakati mmoja hatimaye kushindwa kuitekeleza kwa ufanisi
6)starehe za kupindukia kila upatapo kiasi kidogo cha pesa
7)kutokuwa na utamaduni wa kujiwekea akiba
8)mawazo mgando
9)pombe sana
10)kutomjua mungu

tupia za kwako watu wasonge mbele!!!

kwa sababu ya kushabikia siasa,watu wanawaza kuwa akiingia flan madarakani atatuboreshea maisha badala ya kubuni mbinu za kutokea maishani.wengine wamekufa masikini,wengine wamebaki walemavu,wengine wanafia magerezani etc etc
 
A quote from Eric Thomas

"if u want to succeed as much as u want to breath only then you'll be succesiful"


Coz wen your suffocating, nothing matters to you, not that girl u love will matter, your favorite TV program will. not matter not even sleep will be important, ull only think of one thing,to BREATH
 
Hauwezi kufanikiwa kam hela yako hauionei uchungu

Hauwezi kufanikiwa kama wewe ni mtu wa anasa na wakati unatafuta maisha ili uinue maisha

Hauwezi kufanikiwa kama wanaokuzunguka wote wanafiki na wanamawazo yasiyokuwa na tija labda uachane nao mapema

Hauwezi kufanikiwa kama unakaa kijiweni au offisini na kuanza kusema mimi lazima nitakujaga ninunue gari wakati kujishughulisha hutaki

Huwezi kufanikiwa kama hutaki kuinua kipato chako kama unamshahara uanzishe miradi mingine

Huwezi kufanikiwa kama wewe ni mtu wa majungu muda wote kujadili watu na kuongelea watu wakati ya kwako
huyaangalii na kumbuka unapopiga majungu kwa watu kuna jambo hutimizi au hutimizi wajibu wako wa kimajukumu

Huwezi kufanikiwa kama utakuwa na wategemezi wengi na kujihusisha na mambo ndani ya maisha yako yasiyokuwa na maana

Huwezi kufanikiwa kama unaishi kwa kuiga mtu au watu wanaokuzunguka

Huwezi kufanikiwa kama hela yako haifahamiki inafanya nini na inaenda wapi

Huwezi kufanikiwa kama hutaki ushauri wa watu wewe ndio wewe wengine mbwa

Huwezi kufanikiwa kama mke au mme wako hamuelewani hata kuongea shida kila mtu anamipango yake

Huwezi kufanikiwa kama unaishi bila bugdet matumizi holela unatumia leo laki kesho mia tano au hamna kabisa na unaenda kukopa kwa watu

Huwezi kufanikiwa kama huongei na watu waelewa unaongea na watu muda wote wanawaza kupata hela isiyo ya Halali jitahidi kuongea na watu wenye fikira za maisha zaidi ili kujua walifikaje hapo walipo

Huwezi kufanikiwa kama unanunua vitu vya kutoa tu na siyo vya kuingiza faida wakati hujafikia hatua hiyo ya kufanya mambo hayo kwa hiyo vitu hivyo vinaendelea kutoa hata kile kipato unachopata kinaenda kule
huwezi kufanikiwa kama hujiamini kila ukiwaza nianzishe biashara unasua sua kisa ile inahasara jaribu mungu huwezi jua amekupangia nini juu ya maisha yako jiamini kuwa unaweza
 
Tatizo ni CCM. CCM imeasisi na kulea ufisadi au "corrupt system". Bila rushwa, au 10% ni vigumu kupata zabuni n.k. Wanaoonekana kufanikiwa ni wale tu waliokubali kuusujudia mfumo huu wa ufisadi wa CCM. Mimi siwezi kamwe kuisujudia sanamu ya Nebukadreza. Pamoja na wenzangu, tuko katika vita halali ya kukitoa madarakani Chama Cha Mafisadi (CCM). Watake wasitake lazima wapotelee huko, na siasa zao mfu.
 
Hatufanikiwi kwa sababu tunautumia muda tulionao vibaya. kwani Mafanikio yamefichwa ndani ya muda
 
Tatizo ni CCM. CCM imeasisi na kulea ufisadi au "corrupt system". Bila rushwa, au 10% ni vigumu kupata zabuni n.k. Wanaoonekana kufanikiwa ni wale tu waliokubali kuusujudia mfumo huu wa ufisadi wa CCM. Mimi siwezi kamwe kuisujudia sanamu ya Nebukadreza. Pamoja na wenzangu, tuko katika vita halali ya kukitoa madarakani Chama Cha Mafisadi (CCM). Watake wasitake lazima wapotelee huko, na siasa zao mfu.



Hivi wewe jama ni kilaza au taahira...ccm ije ikushike ikufundishe mbinu za kufanikiwa...kilaza.com
 
ungetoa na definition ya kufanikiwa ili twende sawa maana me najiona nishatoka ivo!
 
Tatizo ni CCM. CCM imeasisi na kulea ufisadi au "corrupt system". Bila rushwa, au 10% ni vigumu kupata zabuni n.k. Wanaoonekana kufanikiwa ni wale tu waliokubali kuusujudia mfumo huu wa ufisadi wa CCM. Mimi siwezi kamwe kuisujudia sanamu ya Nebukadreza. Pamoja na wenzangu, tuko katika vita halali ya kukitoa madarakani Chama Cha Mafisadi (CCM). Watake wasitake lazima wapotelee huko, na siasa zao mfu.

Rejea thread ya Firebase pale juu.
 
Huwezi kufanikiwa kwa kufanyabiashara na mtu masikini kwani hato kulipa kwa wakati.
Ukitaka kufanikiwa basi lazima uwe na Roho mbaya ( ukiwa na roho ya huruma utakuwa ni mtu wa kutoa tu)
 
Thread nzuri,as for me naona nafanikiwa in many things i do,mengine ts js a matter of time yatafanikiwa
SIRI:KUMUOMBA MUNGU ,kuwa positive abt life,kujipa moyo all the time,kuchagua unachotaka kufanya na kukifurahia,kujifunza kwa wengine n.k.
 
Nina wasiwasi kutofanikiwa kwangu kuna uhusiano wa moja kwa moja na jirani, jamaa mshirikina sijapata kuona.
 
  • usinunue kitu kama hukupanga , wala usikubali kukikopa kama hakikuwepo kwenye mipango yako ya siku hiyo
  • achana na michango ya harusi, kipaimara ,birthday na ubatizo isiyo na tija .
  • iipe kipaumbele familia yako.waza maisha yao yataanzia wapi bila wewe ,na jiwazie wewe mwenyewe maisha yako kiuchumi yatakuwaje uzeeni
  • tafuta muda wa kushughulikia shughuli zako za kiuchumi mwenyewe binafsi
  • jifunze kutanua wigo wa shughuli zako kila siku
 
Back
Top Bottom