Unafikiri kwanini Rais Magufuli alipoapishwa tu alianza kushughulika na wahalifu/mafisadi ndani ya Serikali?

tatum

JF-Expert Member
Jan 16, 2018
5,786
4,490
Katika hotuba yake pale Bungeni wakati wa uzinduzi wa Bunge Rais Magufuli alitoa hotuba moja kali sana yenye msimamo kikazi na kutoa muelekeo wa Serikali atakayoiongoza akionyesha kuchukizwa kabisa na ufisadi na mambo mengine ya ovyo yaliyokuwa yanafanyika ndani ya Serikali zilizopita.

Moja ya mambo ambayo alionekana kuchukizwa nayo ni ufisadi ndani ya Serikali na kusababisha wananchi kutopata huduma inavyostahiki huku pesa nyingi zikipotea mikononi mwa watumishi wasio waaminifu ndani ya Serikali.

Ndio alipoibuka na mambo mengi sana ambayo tumeyashudia yakifanyika na kutolewa maamuzi kwanza kabisa ni kushughulika na viongozi wabadhirifu ndani ya Serikali na taasisi zake

Wafanyakazi hewa,Wanafunzi hewa,Vyeti fake,makotena yasiyolipiwa kodi,wizi wa mafuta bandarini,wizi ndani ya migodi ya madini mbalimbali, nk

Kwa kuanza na kushughulika na uhalifu ndani mifumo ya Serikali lazima kuna mambo mengi ambayo alikuwa anajua kuhusu mifumo mibovu iliyokuwepo ambayo ilikuwa inakwamisha mambo

Na mpaka sasa bado anapambano na mifumo ya kiuhalifu ndani ya Serikali.
 
Katika hotuba yake pale Bungeni wakati wa uzinduzi wa Bunge Rais Magufuli alitoa hotuba moja kali sana yenye msimamo kikazi na kutoa muelekeo wa Serikali atakayoiongoza akionyesha kuchukizwa kabisa na ufisadi na mambo mengine ya ovyo yaliyokuwa yanafanyika ndani ya Serikali zilizopita.

Moja ya mambo ambayo alionekana kuchukizwa nayo ni ufisadi ndani ya Serikali na kusababisha wananchi kutopata huduma inavyostahiki huku pesa nyingi zikipotea mikononi mwa watumishi wasio waaminifu ndani ya Serikali.

Ndio alipoibuka na mambo mengi sana ambayo tumeyashudia yakifanyika na kutolewa maamuzi kwanza kabisa ni kushughulika na viongozi wabadhirifu ndani ya Serikali na taasisi zake

Wafanyakazi hewa,Wanafunzi hewa,Vyeti fake,makotena yasiyolipiwa kodi,wizi wa mafuta bandarini,wizi ndani ya migodi ya madini mbalimbali, nk

Kwa kuanza na kushughulika na uhalifu ndani mifumo ya Serikali lazima kuna mambo mengi ambayo alikuwa anajua kuhusu mifumo mibovu iliyokuwepo ambayo ilikuwa inakwamisha mambo

Na mpaka sasa bado anapambano na mifumo ya kiuhalifu ndani ya Serikali.
viongozi wabadhirifu na mafisadi bado wapo wengi na hawajafanywa lolote. rejea riport ya dr bashiru, riport ya makinikia na ile ya escrow. vyeti feki vilishughulikiwa lakini wengine wameachwa kwa kuwa wapo karibu nae mfano BASHITE. rejea alichokisema juu ya bwana bashire kwenye mkutano wa ALaT, 2017. hajafanikiwa kupambana na ufisadi huyo . makontena ya BASHITE hapo bandarini ni mfano hai. wakati anne kilango alifukuzwa kwa kukosea tu kutaja namba ya watumishi huyu bashite anaingiza mizigo kamwa jina lake, anavamia vituo vya Tv, anateka watu, anatisha watumishi, anazalilisha watu nk na hajafanywa lolote. alichofanikiwa ni kuleta uoga kwa watu na sio nidhamu. raisi wa hovyo huyu
 
viongozi wabadhirifu na mafisadi bado wapo wengi na hawajafanywa lolote. rejea riport ya dr bashiru, riport ya makinikia na ile ya escrow. vyeti feki vilishughulikiwa lakini wengine wameachwa kwa kuwa wapo karibu nae mfano BASHITE. rejea alichokisema juu ya bwana bashire kwenye mkutano wa ALaT, 2017. hajafanikiwa kupambana na ufisadi huyo . makontena ya BASHITE hapo bandarini ni mfano hai. wakati anne kilango alifukuzwa kwa kukosea tu kutaja namba ya watumishi huyu bashite anaingiza mizigo kamwa jina lake, anavamia vituo vya Tv, anateka watu, anatisha watumishi, anazalilisha watu nk na hajafanywa lolote. alichofanikiwa ni kuleta uoga kwa watu na sio nidhamu. raisi wa hovyo huyu
Nini kifanyike....
 
Alianza kuwashughulikia mafisadi ili fedha zinazotolewa na Serikali ziende kwa wingi kwenye matumizi kusudiwa.
 
waulizwe wizara ya fedha...

Mkuu kwenye post yako namba moja umeandika mengi na kuonyesha ni mambo yaliyo fanyika lakini umeshindwa kuonyesha ufanisi wa hayo mambo. Ile tumbua tumbua ilikuwa ni kutafuta kick za jukwaani tu. Tulitarajia tuone mahakama ya mafisadi ikifanya kazi. Mfano wa kwamba tumbuatumbua ilikuwa ni sehemu ya kulipa visasi na sio kupambana na ufisadi, tuambie hatua zillizochukuliwa kuhusu sakata la airtel.

Hakukuwa na zoezi la vyeti fake bali ilikuwa redundancy kwani baada ya kuondolewa vyeti fake tulitarajia kuona nafasi zao kujazwa na wenye vyeti halali, hilo halikufanyika.
 
Mkuu kwenye post yako namba moja umeandika mengi na kuonyesha ni mambo yaliyo fanyika lakini umeshindwa kuonyesha ufanisi wa hayo mambo. Ile tumbua tumbua ilikuwa ni kutafuta kick za jukwaani tu. Tulitarajia tuone mahakama ya mafisadi ikifanya kazi. Mfano wa kwamba tumbuatumbua ilikuwa ni sehemu ya kulipa visasi na sio kupambana na ufisadi, tuambie hatua zillizochukuliwa kuhusu sakata la airtel.

Hakukuwa na zoezi la vyeti fake bali ilikuwa redundancy kwani baada ya kuondolewa vyeti fake tulitarajia kuona nafasi zao kujazwa na wenye vyeti halali, hilo halikufanyika.
Na wewe unaweza kutoa mtazamo wako kama ulivyoaanza.....sijaona ushahidi wa kulipiza kisasi,vyeti fake ni vyeti fake maana wapo naowajua walikuwa na vyeti fake na wako nje.

Mafanikio bado ila yapo mbioni yanakuja kutokana na utekelezaji wa mambo yanayoendelea.
 
Na wewe unaweza kutoa mtazamo wako kama ulivyoaanza.....sijaona ushahidi wa kulipiza kisasi,vyeti fake ni vyeti fake maana wapo naowajua walikuwa na vyeti fake na wako nje.

Mafanikio bado ila yapo mbioni yanakuja kutokana na utekelezaji wa mambo yanayoendelea.

Nimekueleza kama sio kulipa visasi nitajie hatua zilizochukuliwa kwenye sakata la airtel. Ni kwanini mahakama ya mafisadi ilikosa wateja huku tukiambiwa nchi iliibiwa sana?

Hilo la vyeti fakeni kweli, lakini ilitafutwa namna tu ya kupunguza watu kwani serekali ilikuwa na iko hoi kifedha hadi sasa, vinginevyo tungeona nafasi zao zikijazwa. Kwa mtazamo wako mafanikio yanaanza lini maana mkuu yuko mwaka wa pili na nusu bado nusu tu ya 5yrs yake, na mingi ya miradi yake haina hela na uwezekano wa yeye kufanikisha sio mzuri kwani kwenye uchumi hafanyi vizuri.
 
viongozi wabadhirifu na mafisadi bado wapo wengi na hawajafanywa lolote. rejea riport ya dr bashiru, riport ya makinikia na ile ya escrow. vyeti feki vilishughulikiwa lakini wengine wameachwa kwa kuwa wapo karibu nae mfano BASHITE. rejea alichokisema juu ya bwana bashire kwenye mkutano wa ALaT, 2017. hajafanikiwa kupambana na ufisadi huyo . makontena ya BASHITE hapo bandarini ni mfano hai. wakati anne kilango alifukuzwa kwa kukosea tu kutaja namba ya watumishi huyu bashite anaingiza mizigo kamwa jina lake, anavamia vituo vya Tv, anateka watu, anatisha watumishi, anazalilisha watu nk na hajafanywa lolote. alichofanikiwa ni kuleta uoga kwa watu na sio nidhamu. raisi wa hovyo huyu
Hama nchi mkuu, naona unaishi na majonzi mengi ndani ya nafsi yako.
 
Back
Top Bottom