Unafiki wa Wabunge wa Mkoa wa Dar es salaam

Exaud Mamuya

JF-Expert Member
Jul 26, 2011
403
242
Hakika inaniwia vigumu sana kuwaelewa wabunge wa mkoa wa Dar kutokana na walichokiita kauli ya pamoja kuhusiana na uamuzi wa waziri wa ujenzi. Ndugu zangu hawa wamevalia njuga swala hili na kusema linawaumiza wananchi pasipo kujua wao walikuwa mstari wa mbele kutekeleza mambo makubwa sana yaliyowakandamiza wananchi hao hao ambao Leo hii wanajifanya wanawatetea. Mambo hayo ni Kama ifuatavyo: 1.Hawakujitokeza hadharani kwa umoja wao kupinga swala la DOWANS. 2.Walishiriki kikamilifu kupitisha muswada wa Katina mpya ambao ni ukandamizaji kwa wananchi. Leo hii mnawatetea wananchi gani kwa umoja wenu! Acheni unafiki.
 
Hasa hasa John Mnyika,Uwe mwangalifu sana na HAo magamba,watakugeuka halafu utashindwa kujitenga nao,maana anapotafutwa Jambazi,hukamatwa na Alioambatana nao at that time.Mbona Da Halima Mdee hakuwepo?Haiwezekani Maslahi hayo tu kwa sababu yanamgusa gamba moja kwa moja ndio muungane wakati wa Dowansi kina Mtemvu walisemaje?Posho Mpya Je? Za magamba changanya na zako Bro John,utapotea sasa hivi!!!1
 
Tusiwalaumu, shule inachangia kwa kiwango kikubwa sana kwa hawa jamaa. Aliyetangaza kupanda kwa viwango vipya vya nauli ni Daktari wa kusomea, siyo wa kupewa, ni mtu makini na ambaye hana rekodi ya kushindwa katika wizara yoyote ile ingawa kimajungu inaonyesha huwa anapewa wizara usika ili ashindwe. Si lazima kila mtu akubaliane na mimi, lakini suala hili linabidi liangaliwe katika vigezo vifuatavyo.
1. Kwa kumbukumbu zangu, nauli ya Tsh 100 ilikuwepo tangu mwaka 1999 na sijui ilianza lini?
2. Kima cha chini cha mshahara kipindi hicho ilikuwa ni chini ya Tshs 17,000.00
3. Mkate kipindi hicho ulikuwa chini ya Tshs 250.00
4. Nauli ya basi kipindi hicho kutoka Mwenge hadi posta ilikuwa chini ya Tshs 150.00
5. Nauli ya basi kutoka Dar hadi Morogoro ilikuwa Tshs 3,000.00
6. Kilo moja ya sukari ilikuwa chini ya Tsh 600.00
7. Lita moja ya petroli ilikuwa chini ya Tshs 600.00

Vingi vingine mnaweza kuongezea, swali la msingi ni kuwa Je hawa wabunge wanafahamu gharama halisi ya vitu vyote hapo juu kimoja kimoja? vimepanda kwa asilimia ngapi kutoka kipindi hicho hadi sasa?

Ushauri: Wangekaa na Daktari, na wamuulize serikali inachukua initiative zipi kuboresha huduma za kivuko, na baada ya kuridhishwa ama kutokuridhishwa, wangewasilisha mapendekezo yao kwake huku wakiwaahidi wananchi wanafuatilia suala hili, na siyo kukinzana bila msingi na ni matumizi mabaya ta ofisi kwa kuwa hawatusaidii sisi wananchi ila ni malumbano ya mafahali na sisi nyasi tunaendelea kutaabika.

Nionavyo: Ulikuwa ni wakati muafaka, kuzungumzia high politics juu ya uuzwaji wa kigamboni na ujenzi wa daraja la kigamboni ambalo tangu lianze kuongelewa hadi leo halijaanza utekelezwaji wake.

Tuache majungu na kutafuta cheap popularity.
 
Tusiwalaumu, shule inachangia kwa kiwango kikubwa sana kwa hawa jamaa. Aliyetangaza kupanda kwa viwango vipya vya nauli ni Daktari wa kusomea, siyo wa kupewa, ni mtu makini na ambaye hana rekodi ya kushindwa katika wizara yoyote ile ingawa kimajungu inaonyesha huwa anapewa wizara usika ili ashindwe. Si lazima kila mtu akubaliane na mimi, lakini suala hili linabidi liangaliwe katika vigezo vifuatavyo.
1. Kwa kumbukumbu zangu, nauli ya Tsh 100 ilikuwepo tangu mwaka 1999 na sijui ilianza lini?
2. Kima cha chini cha mshahara kipindi hicho ilikuwa ni chini ya Tshs 17,000.00
3. Mkate kipindi hicho ulikuwa chini ya Tshs 250.00
4. Nauli ya basi kipindi hicho kutoka Mwenge hadi posta ilikuwa chini ya Tshs 150.00
5. Nauli ya basi kutoka Dar hadi Morogoro ilikuwa Tshs 3,000.00
6. Kilo moja ya sukari ilikuwa chini ya Tsh 600.00
7. Lita moja ya petroli ilikuwa chini ya Tshs 600.00

Vingi vingine mnaweza kuongezea, swali la msingi ni kuwa Je hawa wabunge wanafahamu gharama halisi ya vitu vyote hapo juu kimoja kimoja? vimepanda kwa asilimia ngapi kutoka kipindi hicho hadi sasa?

Ushauri: Wangekaa na Daktari, na wamuulize serikali inachukua initiative zipi kuboresha huduma za kivuko, na baada ya kuridhishwa ama kutokuridhishwa, wangewasilisha mapendekezo yao kwake huku wakiwaahidi wananchi wanafuatilia suala hili, na siyo kukinzana bila msingi na ni matumizi mabaya ta ofisi kwa kuwa hawatusaidii sisi wananchi ila ni malumbano ya mafahali na sisi nyasi tunaendelea kutaabika.

Nionavyo: Ulikuwa ni wakati muafaka, kuzungumzia high politics juu ya uuzwaji wa kigamboni na ujenzi wa daraja la kigamboni ambalo tangu lianze kuongelewa hadi leo halijaanza utekelezwaji wake.

Tuache majungu na kutafuta cheap popularity.


Lini Serikali ikafanya biashara ya Vivuko? Mbona hawataki wawekezaji wengine walete vivuko vyao pale Kigamboni. Tumia akili!!
 
Lini Serikali ikafanya biashara ya Vivuko? Mbona hawataki wawekezaji wengine walete vivuko vyao pale Kigamboni. Tumia akili!!
Tafadhali nipe level ya elimu yako ya ufahamu kuhusu biashara, na ambatanisha na CV yako.
 
Tusiwalaumu, shule inachangia kwa kiwango kikubwa sana kwa hawa jamaa. Aliyetangaza kupanda kwa viwango vipya vya nauli ni Daktari wa kusomea, siyo wa kupewa, ni mtu makini na ambaye hana rekodi ya kushindwa katika wizara yoyote ile ingawa kimajungu inaonyesha huwa anapewa wizara usika ili ashindwe. Si lazima kila mtu akubaliane na mimi, lakini suala hili linabidi liangaliwe katika vigezo vifuatavyo.
1. Kwa kumbukumbu zangu, nauli ya Tsh 100 ilikuwepo tangu mwaka 1999 na sijui ilianza lini?
2. Kima cha chini cha mshahara kipindi hicho ilikuwa ni chini ya Tshs 17,000.00
3. Mkate kipindi hicho ulikuwa chini ya Tshs 250.00
4. Nauli ya basi kipindi hicho kutoka Mwenge hadi posta ilikuwa chini ya Tshs 150.00
5. Nauli ya basi kutoka Dar hadi Morogoro ilikuwa Tshs 3,000.00
6. Kilo moja ya sukari ilikuwa chini ya Tsh 600.00
7. Lita moja ya petroli ilikuwa chini ya Tshs 600.00

Vingi vingine mnaweza kuongezea, swali la msingi ni kuwa Je hawa wabunge wanafahamu gharama halisi ya vitu vyote hapo juu kimoja kimoja? vimepanda kwa asilimia ngapi kutoka kipindi hicho hadi sasa?

Ushauri: Wangekaa na Daktari, na wamuulize serikali inachukua initiative zipi kuboresha huduma za kivuko, na baada ya kuridhishwa ama kutokuridhishwa, wangewasilisha mapendekezo yao kwake huku wakiwaahidi wananchi wanafuatilia suala hili, na siyo kukinzana bila msingi na ni matumizi mabaya ta ofisi kwa kuwa hawatusaidii sisi wananchi ila ni malumbano ya mafahali na sisi nyasi tunaendelea kutaabika.

Nionavyo: Ulikuwa ni wakati muafaka, kuzungumzia high politics juu ya uuzwaji wa kigamboni na ujenzi wa daraja la kigamboni ambalo tangu lianze kuongelewa hadi leo halijaanza utekelezwaji wake.

Tuache majungu na kutafuta cheap popularity.

Mkuu heri ya mwaka mpya.
Samahani mkuu, mbona hoja zako ziko irrelevant na sababu za kupandisha nauli ya kivuko?
Kupanda kwa bei ya mkate, sukari, nauli ya daladala au nauli ya Morogoro, mishahara vina uhusiano gani na kivuko.

Kumbuka kivuko ni mali ya serikali, wanaovuka ni wananchi wa serikali hiyo hiyo. Hivyo si kosa kama serikali ingeona kuwa gharama za uendeshaji zimepanda ingeshirikiana na wadau kuona namna ya kufanya na si kutoa amri ya kupandisha bila kuwashirikisha.
Aidha kauli alizozitoa Dr. ni za maudhi na si za busara kwa level, yake hata kama alikuwa anatania.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom