Baada ya kuona walimu kukomaa na kuanza mgomo nimeona wabunge wa CCM na upinzani wakisimama kujifanya wanataka kujadili mgomo wa walimu. Kwani kabla ya hapo hawakujua kama walimu wana matatizo hadi tulipoamua kugoma ndo wanajifanya wana uchungu "that is hypocricy"
Unafiki zaidi ni pale wanapokubaliana kuchukua mshahara wa sh. 10000000 na posho nyingine kibao wakikopeshwa magari na kulipiwa mafuta katika nchi ambayo viongozi wanahubiri umaskini huku walimu tukiachwa katika hali ngumu ya maisha. Wabunge na serikali wajue kwa ubinafsi walionao waamini kuwa wanajikaribishia laana. Maana hawawezi kufanya dhambi kubwa namna hiyo halafu wakategemea baraka. WABUNGE NA SERIKALI MUOGOPENI MUNGU.
kila baada ya miaka mitano wanapata kiinua mgongo cha 45000000, wakati mwalimu aliyefanyakazi kwa zaidi ya miaka 30 hupata 40000000 halafu leo wanajifanya wana uchungu na mgomo wa walimu. KWELI HUU NI UNAFIKI MKUBWA!
Unafiki zaidi ni pale wanapokubaliana kuchukua mshahara wa sh. 10000000 na posho nyingine kibao wakikopeshwa magari na kulipiwa mafuta katika nchi ambayo viongozi wanahubiri umaskini huku walimu tukiachwa katika hali ngumu ya maisha. Wabunge na serikali wajue kwa ubinafsi walionao waamini kuwa wanajikaribishia laana. Maana hawawezi kufanya dhambi kubwa namna hiyo halafu wakategemea baraka. WABUNGE NA SERIKALI MUOGOPENI MUNGU.
kila baada ya miaka mitano wanapata kiinua mgongo cha 45000000, wakati mwalimu aliyefanyakazi kwa zaidi ya miaka 30 hupata 40000000 halafu leo wanajifanya wana uchungu na mgomo wa walimu. KWELI HUU NI UNAFIKI MKUBWA!