Aisee wewe kayaman ni noma!on behalf of myself and people of chato i want to congratulate president elect of gambia!
Aisee wewe kayaman ni noma!on behalf of myself and people of chato i want to congratulate president elect of gambia!
Hujui Diplomasia ndio tatizo lakoHabari wadau,
Mbona kwa Donald Trump tulikuwa wa kwanza kupongeza? Alivyojiuzulu waziri mkuu wa uingereza tulipongeza inakuwaje rais ndani ya bara la afrika hatupongezi na tunakaa kimyaa?
Ulaya na marekani kwanini tunawashwa hadi tunatoa pongezi ila barani kwetu tunajitoa ufahamu?
on behalf of myself and people of chato i want to congratulate president elect of gambia!
Mkuu, uchokonozi huuon behalf of myself and people of chato i want to congratulate president elect of gambia!
Aisee. Muda wote ni erectionWenzetu wana president election sisi tuna president erection
Huyo ni Rais wa nchi gani mkuu?Binafsi nimependa tu vile His Excellency Sheikh Professor Alhaji Dr. Yahya A.J.J. Jammeh Babili Mansa, alivyokubali matokeo bila shida...!! Kwa kiongozi wa Africa, tena bado akiwa "kijana" huku akiwa ameingia madarakani kwa mapinduzi; lakini hatimae anakuja kukubali kushindwa; si jambo dogo kwa Afrika hususani Afrika Magharibi! Hata Jammeh Paramagamba Magwepande nae wala haelekei kwamba angeweza kukubali kirahisi namna.... !!!