Obe
JF-Expert Member
- Dec 31, 2007
- 9,982
- 34,476
TBC ilipokuwa chini ya TM ilijipambanua kama chombo halisi cha umma kilichokuwa na wajibu wa kuulisha umma habari za ukweli na uhakika, rejea mchakato majimboni, na kualikwa kwa wanaharakati katika vipindi vya moja kwa moja, hali kwa sasa ni tofauti kabisa, si upande wa habari za siasa pekee, tazama habari za michezo sielewi kimewakumba nn hadi Pendaeli na wenzake sitaki kusema kuwa morale imeshuka. Angalia usomaji wa magazeti chini ya kilaza Joe, sasa ukitizama hutaamini kuwa hii ni authoritative public media.
Cha msingi hapa ni kwa wabunge wetu kuhoji utenda kazi wa chombo hiki, umma unapaswa kupewa habari sahihi na si kufichwa habari na matukio yanayougusa umma
Cha msingi hapa ni kwa wabunge wetu kuhoji utenda kazi wa chombo hiki, umma unapaswa kupewa habari sahihi na si kufichwa habari na matukio yanayougusa umma