Wito huo aliutoa jana Wilaya ya Momba wakati akihutubia mkutano wa hadhara, kwenye ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdurahman Kinana, inayoendelea mkoani Mbeya.
Dk. Migiro alisema, jamii inatakiwa kuachana na vitendo hivyo ambavyo vinadhalilisha na kudhoofisha maendeleo hasa kwa wanawake na watoto.
SOURCE NIPASHE.
Alikuwa wapi wakati mashitaka ya kubakwa mwanamke mwenzie yalipokuja ofisini mwake ??
Bosi huyu wa zamani wa U.N Kiungo muhimu cha kusimamia haki za binadamu duniani alikuwa wapi wakati familia ya marehemu mwangosi inachakuliwa kipenzi chao kikatili na jeshi la polisi. kama tume ya haki za binadamu yetu local iliweza kutoa tamko bosi wa UN yuko kimya ni aibu na unafiki wa hali ya juu
Dk. Migiro alisema, jamii inatakiwa kuachana na vitendo hivyo ambavyo vinadhalilisha na kudhoofisha maendeleo hasa kwa wanawake na watoto.
SOURCE NIPASHE.
Alikuwa wapi wakati mashitaka ya kubakwa mwanamke mwenzie yalipokuja ofisini mwake ??
Bosi huyu wa zamani wa U.N Kiungo muhimu cha kusimamia haki za binadamu duniani alikuwa wapi wakati familia ya marehemu mwangosi inachakuliwa kipenzi chao kikatili na jeshi la polisi. kama tume ya haki za binadamu yetu local iliweza kutoa tamko bosi wa UN yuko kimya ni aibu na unafiki wa hali ya juu