Unafiki wa Nape na CCM

Mada ni unafiki wa Nape na CCM, kama kueleza ukweli ni kula Nundu kama unavyosema basi Nundu hiyo ni tamu sana na acha niile huku nacheza pipoz power.

Rudi kwenye mada!

Kaka usihangaike na mapunguani wa magamba! Hawaoni mbali hao kazi ni kusnitch wenzao!
 
Mtu uyu kama Nepi sijawahi kumskia akiongea kitu cha maana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Septemba 2009 CHADEMA ilifanya uchaguzi mkuu wake kwa mujibu wa katiba, na kwa mujibu wa katiba CHADEMA kilipaswa kufanya uchaguzi wake Sept 2014 kwa maana ya kutimiza miaka mitano. kwa busara za viongozi wa CHADEMA waliomba uchaguzi ufanyike mapema ili chama kijipange sawasawa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2015 hilo liliridhiwa na baraza kuu.

kwenye uchaguzi wa CHADEMA wa Sept 2009 muwakilishi aliye wakilisha CCM alikuwa Nape Nnauye. huyu alikuwepo kama mgeni mualikwa.

huyu huyu akasikika majuzi akisema CHADEMA hakija wahi kufanya uchaguzi kwa miaka 15, akamuomba msajjli akifute. Mateka wa Lumumba wakaungana na Nape kama kawaida wakajivua ufahamu. wakapiga miluzi kutoka ufukweni mpaka bara.

Huu kama sio unafiki ni nini?

Inamaana Mohamed hujui kuwa Nape ni mtu wa kujitoa ufahamu? Alikua na kampeni ya vua gamba mpaka leo gamba limevaliwa tena limekuwa suti ya gharama! Kwani humuoni hata TUMBO lake siku hizi? Kala nyama ya GAMBA.
 
Mkuu

Heshima yako! nimeitafuta sana hii picha! hii ndio ilikuwa siku ambayo uchaguzi huo ulifanyika na hapo Nape alikuwa anaambiwa aje CHADEMA. kipindi hicho alikuwa anaonekana ana akili maana alikuwa anapinga ufisadi na baadae alitongoza kuruhusiwa kuja CHADEMA kwa sharti la kupewa nafasi kugombea ubunge jimbo la Ubungo.

IMG_0106.JPG
 
Nape hajaanza kuchanganyikiwa leo au jana, tangu alipozaliwa alishindwa kujua kuwa baba yake ni Mwandosya. Akajichanganya na kujiita Nnauye, kwahiyo huo mtiririko wa kukosa kumbukumbu utazidi kuendelea
 
Ni mwehu tu ndie anayeweza kumtetea Nape kwenye hilo. Ndio wale wale wenye kuendeleza siasa za maji taka za kupinga kila kitu kinachofanywa na mpinzani wako.

Hii ni sawa na CHDEMA walivyofanya kwa akina Kitila na Zitto, kutoa hukumu kabla ya kuwasikiliza.

Eti wajitetee baada ya kuhukumiwa! Hii ni ajabu kwenye ulimwengu wa demokrasia na haki.

Wewe nawe una wenge. Hoja haisu sana kina Zitto lakini wana siku 14 za kujitetea kwanini wasivuliwe uanachama mengine yashashughulikiwa
 
Septemba 2009 CHADEMA ilifanya uchaguzi mkuu wake kwa mujibu wa katiba, na kwa mujibu wa katiba CHADEMA kilipaswa kufanya uchaguzi wake Sept 2014 kwa maana ya kutimiza miaka mitano. kwa busara za viongozi wa CHADEMA waliomba uchaguzi ufanyike mapema ili chama kijipange sawasawa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2015 hilo liliridhiwa na baraza kuu.

kwenye uchaguzi wa CHADEMA wa Sept 2009 muwakilishi aliye wakilisha CCM alikuwa Nape Nnauye. huyu alikuwepo kama mgeni mualikwa.

huyu huyu akasikika majuzi akisema CHADEMA hakija wahi kufanya uchaguzi kwa miaka 15, akamuomba msajjli akifute. Mateka wa Lumumba wakaungana na Nape kama kawaida wakajivua ufahamu. wakapiga miluzi kutoka ufukweni mpaka bara.

Huu kama sio unafiki ni nini?

And the answer is,

1.The struggle for political power is by all means,

2.Maintaining The Political power is by all means,

POOLITICIANS WANALITAMBUA HILO


YEYE ASUPOFANYA HIVYO ATAKULA WAPI??NA WEWE USIPOFANYA HIVI UTAKULA WAPI??


:cool: :tape:
 
And the answer is,

1.The struggle for political power is by all means,

2.Maintaining The Political power is by all means,

POOLITICIANS WANALITAMBUA HILO


YEYE ASUPOFANYA HIVYO ATAKULA WAPI??NA WEWE USIPOFANYA HIVI UTAKULA WAPI??


:cool: :tape:

Mkuu.

Ngoja nikukumbushe maneno ya Mwl Nyerere, aliwahi kusema "..Ili tuendelee tuna hitaji watu, siasa safi, na uongozi bora"

Ccm tayari wako madarakani wanatakiwa kufanya siasa safi na kuonyesha uongozi bora. Nape ni uongo na hadaa, kinana naye ni picha za hadaa huko kwenye ziara zake, CCM kwa ujumla wake hawafanyi Mwl aliyowaasa ni usanii kwa kwenda mbele.

kwa umuhimu wa pekee, tambua kuwa najibu hapa kwa mapenzi na chama changu kama ni swala la kula nala kwa kipato halali na vibiashara vyangu.

Rudi kwenye mada ikiwezekana waite Magamba wenzako waje kundini.
 
Chama cha Majambazi waongo walaghai wauaji bado hamjawachoka na ulaghai wao? waliwahi kutudanganya kuwa umeme kukatika itabaki kuwa historia matokeo yake wanapandisha bei huku upatikanaji wake ni wakusuasua....walituahidi maisha bora kwa kila mtanzania kumbe nayo ilikuwa kinyume chake kuwa maisha magumu kwa watanzania wengi; kila kukicha gharama za maisha zinazidi kupanda wajasiriamali wanazidi kukamuliwa wafanyakazi wako hoi bin taaban... KATIBU MWENEZI WA UONGO NA FITNA mnatarajia atakuwa anafanyanini zaidi ya kueneza uongo na uzandiki?...
 
Back
Top Bottom