Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora tukose lakini mkataba lazima sio huu wa katiba.Serikali 3 ni kuvunja muungano. CUF waseme moja ama wavumilie mfumo uliopo wa muungano au watamke wazi kwamba muungano uvunjike. Zingine zote ni porojo na kuuma maneno! Wanafiki Wakubwa!
Serikali 3 ni kuvunja muungano. CUF waseme moja ama wavumilie mfumo uliopo wa muungano au watamke wazi kwamba muungano uvunjike. Zingine zote ni porojo na kuuma maneno! Wanafiki Wakubwa!
Una ithibati katika haya!!!au ndio ule Umbea wa mitaani na majungu ya kwenu?????Zanzibar kwanza ni sera ya waz'br,watanganyika sera yao unyonyaji,dhulma,ufisadi,kuchuna ngozi,ndio mambo yanayopewa kipaumbele.
Bora tukose lakini mkataba lazima sio huu wa katiba.
Serikali 3 ni kuvunja muungano. CUF waseme moja ama wavumilie mfumo uliopo wa muungano au watamke wazi kwamba muungano uvunjike. Zingine zote ni porojo na kuuma maneno! Wanafiki Wakubwa!
Zanzibar kwanza ni sera ya waz'br,watanganyika sera yao unyonyaji,dhulma,ufisadi,kuchuna ngozi,ndio mambo yanayopewa kipaumbele.
EAC, AU, EU, Hawa na muungano wa mkataba wala sio wa katiba.Ghibuu naomba msaada wa kuelimishwa, hapa duniani nchi gani ina muungano wa mkataba?