johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,812
- 141,714
Ni vigumu sana kumtofautisha mwanasiasa na unafiki ndio maana mstaafu Kikwete alisema " zilongwa mbali zitendwa mbali"
Unafiki ni sifa kuu ya mwanasiasa na kila anapozidi kuusaka umaarufu na kiwango chake cha unafiki huongezeka.
Ukilielewa hili hutashangaa kumuona mkutubi wa maktaba ya Kanisa akijiliza bungeni eti kwa sababu alifungwa jela kwa ajili ya Chadema au muuza bar akilalamika kudhalilishwa kingono.
Hakuna kinachoweza kumtenganisha mwanasiasa na unafiki labda aachane kabisa na siasa na kumgeukia Mungu wa mbinguni.
Maendeleo hayana vyama!
Unafiki ni sifa kuu ya mwanasiasa na kila anapozidi kuusaka umaarufu na kiwango chake cha unafiki huongezeka.
Ukilielewa hili hutashangaa kumuona mkutubi wa maktaba ya Kanisa akijiliza bungeni eti kwa sababu alifungwa jela kwa ajili ya Chadema au muuza bar akilalamika kudhalilishwa kingono.
Hakuna kinachoweza kumtenganisha mwanasiasa na unafiki labda aachane kabisa na siasa na kumgeukia Mungu wa mbinguni.
Maendeleo hayana vyama!