Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,398
- 8,885
Nimesoma mahali kwamba sijui hiyo inayoitwa gesi ya Rostamu kuzuiwa kuwekeza nchini Kenya, kwangu mimi huu ni usanii na naweza hata kwenda mbali kusema kwamba labda ni Uongo mkubwa na kuna vitu hawasemi.
Raisi Samia na raisi wa Kenya wanaelewana sana na hata walikuwa pamoja juzi kati Arusha na wamefungua barabara pamoja, iweje ashindwe kumzungumza raisi wa Kenya kwenye hilo swala kama ni kweli? Rostamu alikuwemo kwenye ziara ya raisi nchini Kenya na hata ile ziara kubwa ya USA Rostamu alikuwemo ina maana wako karibu sana na walisaini Mikataba tukaona picha Rostamu na raisi akiwa pembeni, iweje raisi ashindwe kumpigania ishu kama hiyo ?
Raisi Samia na raisi wa Kenya wanaelewana sana na hata walikuwa pamoja juzi kati Arusha na wamefungua barabara pamoja, iweje ashindwe kumzungumza raisi wa Kenya kwenye hilo swala kama ni kweli? Rostamu alikuwemo kwenye ziara ya raisi nchini Kenya na hata ile ziara kubwa ya USA Rostamu alikuwemo ina maana wako karibu sana na walisaini Mikataba tukaona picha Rostamu na raisi akiwa pembeni, iweje raisi ashindwe kumpigania ishu kama hiyo ?