Unafiki na chuki umejaa katika utumbuaji majipu

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,436
17,082
Nimejaribu kufuatilia hiki kitu kinaitwa utumbuaji majipu toka umeanza nimeona umejawa na chuki pamoja na unafiki wa hali ya juu.

Nitatoa mifano miwili kuonyesha utumbuaji huu wa majipu ni wa unafiki wa kiwango gani.

Mwaka jana rais alivunja bodi ya wakurugenzi ya TRA kwa kila alichokuja kukisema badae kuwa ilibariki ufunguaji wa Fixed Deposit Account katika mabenki ya kibiashara.

Tunajua kabisa wazo la kufungua Fixed Deposit Account lazima lilitoka katika menejimenti ya TRA na bodi ikalibariki, mkuu wa menejiment ya TRA ni kamishina ambae pia ni katibu wa bodi ya wakurugenzi, mara nyingi kama sio zote katibu wa bodi hupeleka mapendekezo ya menejimenti ya taasisi yake kwenye bodi ili yapewe baraka.

Cha kushangaza, bodi ikavunjwa kwa msingi kua iliruhusu ufunguaji wa Fixed Deposit Account huku muasisi wa hilo wazo kamishina na menejimenti yake wakiachwa wale bata mjini.

Juzi mkurugenzi wa TANESCO amefukuzwa kazi kwa kigezo kua yeye ndie alieanzisha/asisi wazo la kupandisha umeme bei pamoja na menejiment yake ambayo pia imevunjwa, maana yake ni kwamba bodi ilibariki tu mapendekezo ya menejimenti ya TANESCO.

Hapo ndio unafiki na chuki zinapokuja, hapa kwa TANESCO tunaona muasisi wa wazo alifukuzwa kazi na waliobariki(bodi+EWURA) wakiachwa. TRA muasisi wa wazo(kamishina) akaachwa waliobariki wazo la kamishina(bodi) wakafukuzwa kazi.

Hakuna mtiririko ulio wazi wa kutumbua majipu, utumbuaji umejaa unafiki na chuki, unajiuliza au kwa vile bodi ya TRA hakuwa ameiteua yeye na kamishana kamteua yeye, mkurugenzi wa TANESCO hakumteua yeye na bodi ya TANESCO ameiteua yeye?
 
Nimejaribu kufuatilia hiki kitu kinaitwa utumbuaji majipu toka umeanza nimeona umejawa na chuki pamoja na unafiki wa hali ya juu.

Nitatoa mifano miwili kuonyesha utumbuaji huu wa majipu ni wa unafiki wa kiwango gani.

Mwaka jana rais alivunja bodi ya wakurugenzi ya TRA kwa kila alichokuja kukisema badae kuwa ilibariki ufunguaji wa Fixed Deposit Account katika mabenki ya kibiashara.

Tunajua kabisa wazo la kufungua Fixed Deposit Account lazima lilitoka katika menejimenti ya TRA na bodi ikalibariki, mkuu wa menejiment ya TRA ni kamishina ambae pia ni katibu wa bodi ya wakurugenzi, mara nyingi kama sio zote katibu wa bodi hupeleka mapendekezo ya menejimenti ya taasisi yake kwenye bodi ili yapewe baraka.

Cha kushangaza, bodi ikavunjwa kwa msingi kua iliruhusu ufunguaji wa Fixed Deposit Account huku muasisi wa hilo wazo kamishina na menejimenti yake wakiachwa wale bata mjini.

Juzi mkurugenzi wa TANESCO amefukuzwa kazi kwa kigezo kua yeye ndie alieanzisha/asisi wazo la kupandisha umeme bei pamoja na menejiment yake ambayo pia imevunjwa, maana yake ni kwamba bodi ilibariki tu mapendekezo ya menejimenti ya TANESCO.

Hapo ndio unafiki na chuki zinapokuja, hapa kwa TANESCO tunaona muasisi wa wazo alifukuzwa kazi na waliobariki(bodi+EWURA) wakiachwa. TRA muasisi wa wazo(kamishina) akaachwa waliobariki wazo la kamishina(bodi) wakafukuzwa kazi.

Hakuna mtiririko ulio wazi wa kutumbua majipu, utumbuaji umejaa unafiki na chuki, unajiuliza au kwa vile bodi ya TRA hakuwa ameiteua yeye na kamishana kamteua yeye, mkurugenzi wa TANESCO hakumteua yeye na bodi ya TANESCO ameiteua yeye?
Issue hapa ni lengo la pesa husika. Kama zimeletwa kwa kazi fulani ztumike siyo watu wakoswe huduma au miundo mbinu eti umeweka fixed deposit inazaa. Mwisho wa mwaka irudi hazina haijatumika. Hapa JPM yuko sahihi kabisa.

TANESCO hapa mwanzilishi anastahili siyo regulator. Kwa mfano mambo yakiharibika benki fulani wanatumbulia management ya benki husika siyo benki kuu.

Hoja inayowasumbua hapa ni itikadi zenu na siyo uhalisia wa mambo. Funguka usibane akili yako.
 
Muacheni afnye kz yk mda wk utakwish atkuja mnaemtka nyny ila kw ninavyowjua wbong ss hv mnampnd akiondoka mtasma bra ya alyeondkapni ameshka yy muachni afnye anachtka
 
Nimejaribu kufuatilia hiki kitu kinaitwa utumbuaji majipu toka umeanza nimeona umejawa na chuki pamoja na unafiki wa hali ya juu.

Nitatoa mifano miwili kuonyesha utumbuaji huu wa majipu ni wa unafiki wa kiwango gani.

Mwaka jana rais alivunja bodi ya wakurugenzi ya TRA kwa kila alichokuja kukisema badae kuwa ilibariki ufunguaji wa Fixed Deposit Account katika mabenki ya kibiashara.

Tunajua kabisa wazo la kufungua Fixed Deposit Account lazima lilitoka katika menejimenti ya TRA na bodi ikalibariki, mkuu wa menejiment ya TRA ni kamishina ambae pia ni katibu wa bodi ya wakurugenzi, mara nyingi kama sio zote katibu wa bodi hupeleka mapendekezo ya menejimenti ya taasisi yake kwenye bodi ili yapewe baraka.

Cha kushangaza, bodi ikavunjwa kwa msingi kua iliruhusu ufunguaji wa Fixed Deposit Account huku muasisi wa hilo wazo kamishina na menejimenti yake wakiachwa wale bata mjini.

Juzi mkurugenzi wa TANESCO amefukuzwa kazi kwa kigezo kua yeye ndie alieanzisha/asisi wazo la kupandisha umeme bei pamoja na menejiment yake ambayo pia imevunjwa, maana yake ni kwamba bodi ilibariki tu mapendekezo ya menejimenti ya TANESCO.

Hapo ndio unafiki na chuki zinapokuja, hapa kwa TANESCO tunaona muasisi wa wazo alifukuzwa kazi na waliobariki(bodi+EWURA) wakiachwa. TRA muasisi wa wazo(kamishina) akaachwa waliobariki wazo la kamishina(bodi) wakafukuzwa kazi.

Hakuna mtiririko ulio wazi wa kutumbua majipu, utumbuaji umejaa unafiki na chuki, unajiuliza au kwa vile bodi ya TRA hakuwa ameiteua yeye na kamishana kamteua yeye, mkurugenzi wa TANESCO hakumteua yeye na bodi ya TANESCO ameiteua yeye?
Mkuu Unknown, you have a point. Ni kweli kuna double standards za hali ya juu katika utumbuaji na hili tuliishalipigia kelele

Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The Right Time, And Doing It Right, Or ?!

Kuna double standard kwenye 'Utumbuaji Majipu?'

Wito kwa Serikali yetu, Tuache double standards kwenye kushughulikia baadhi ya majizi na mafisadi

Je, Kila utumbuaji ni wa haki, au kuna kumkomoa Kikwete?!

Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!.

Paskali
 
You are hopeless. Rudia kusoma kilichoandikwa, hakikisha umekielewa halafu baada ya hapo jaribu kuchangia utagundua kwamba utaandika tofauti na huu mchanyato ulioupost.
N.B. Hakikisha umemuelewa mleta hoja vizuri.
Issue hapa ni lengo la pesa husika. Kama zimeletwa kwa kazi fulani ztumike siyo watu wakoswe huduma au miundo mbinu eti umeweka fixed deposit inazaa. Mwisho wa mwaka irudi hazina haijatumika. Hapa JPM yuko sahihi kabisa.

TANESCO hapa mwanzilishi anastahili siyo regulator. Kwa mfano mambo yakiharibika benki fulani wanatumbulia management ya benki husika siyo benki kuu.

Hoja inayowasumbua hapa ni itikadi zenu na siyo uhalisia wa mambo. Funguka usibane akili yako.
 
You are hopeless. Rudia kusoma kilichoandikwa, hakikisha umekielewa halafu baada ya hapo jaribu kuchangia utagundua kwamba utaandika tofauti na huu mchanyato ulioupost.
N.B. Hakikisha umemuelewa mleta hoja vizuri.
Yaani unasema wewe ni tumaini kutupandishia bei? Wewe ni hope kuficha pesa za miradi eti kampuni imeona ni faida kuziweka kwenye akaunti ya muda maalumu inayolipa?

Wewe unashauri wakosee TANESCO watumbuliwe EWURA? I dont think the your iq commands rationally.

Unastahili kutumbuliwa moja kwa moja.
 
Unajua huwezi kumpunguzia mtu mshahara bali huwa unapanda
Sasa anachofanya mheshimiwa ni kuwaondoa wale waliokuwa na mishahara mikubwa halafu akiajili mpya anamsainisha mshahara mpya.
Mkuu kuna wakurugenzi halmashauri wametumbuliwa lakini wanalipwa mishahara na nyumba wanalipiwa sasa hii ni kupunguza gharama au ni kuongeza? Kiukweli sijui anadanganywa nani katika hii tumbua tumbua.
 
Back
Top Bottom