Unafiki huu wa baadhi ya viongozi wa serikali hii ya awamu ya tano ndiyo 'unaigharimu' hadi 'kudharaulika' na wengi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,073
107,570
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametaka gereji nchini kurasimishwa na kuwa sekta rasmi huku akihimiza mafundi waliokaa muda mrefu gereji kupatiwa vyeti kutokana na kuwa na ujuzi wa kutosha.

Chanzo Habari: Azam Tv

Endeleeni tu kuwafanya Watanzania wote (hasa wale wa Dar es Salaam ni Mapopoma / Wapumbavu) na kwamba hawajui mwakani kikatiba nini kitatokea nchini Tanzania na hawa wenye gereji wakiwa ni wapiga kura pia.

Na GENTAMYCINE hadi leo nina kumbukumbu nzuri tu ya kwamba ama ni miaka miwili imepita/mmoja umepita ni serikali hii hii ya mkoa wa Dar es Salaam ilikuja na tamko zito dhidi ya hawa hawa wamiliki wa hizi gereji bubu na leo nashangaa tena kauli imebadilika.

Hata hivyo nimeshapata sasa sababu ya kuanzisha uchunguzi ni kwanini zile ngome zote za ' wapinzani ' Mkoani Dar es Salaam ambazo zipo maeneo yasiyotakiwa kisheria/kikanuni sasa ukienda unakuta kumewekwa bendera nyingi za Chama Dola lakini ukikutana na wahusika baadhi yao (japo bado sijawaamini kwa 100%) wanakuambia hiyo ni ' Strategy' yao tu ya kuzuiwa kuhamishwa na hata kufukuzwa lakini wao bado ni 'wapinzani' na kwamba mwakani 2020 lazima 'wamlize' mtu katika sanduku la posta japo kwa sasa huyo mtu anadhani anakubalika nao wakati kumbe wameshamchoka kitambo.
 
I am telling you kama marehemu mzee Kingunge Ngombale Mwiru alishapata kusema kuwa CCM wameishiwa pumzi ni kweli imeishiwa na sasa inapumulia mashine ya dola ili iweze kuishi. Machine hizo zipo kadhaa kama vile sheria kandamizi, kupiga stopu mikutano ya hadhara, kutunga sheria kandamizi kuhalalisha uharamia dhidi ya vyama mbadala, kubambikizia viongozi wa wananchi kesi kama njia ya kuwatisha, kujeruhi na hata kuuwa kwa risasi kama itabidi orodha ya hizi machine zao mbovu ni ndefu. Ila kiumbe chochote kikisha ishiwa na pumzi kinacho fauta ni mauti au kifo.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametaka gereji nchini kurasimishwa na kuwa sekta rasmi huku akihimiza mafundi waliokaa muda mrefu gereji kupatiwa vyeti kutokana na kuwa na ujuzi wa kutosha.

Chanzo Habari: Azam Tv

Endeleeni tu kuwafanya Watanzania wote (hasa wale wa Dar es Salaam ni Mapopoma / Wapumbavu) na kwamba hawajui mwakani kikatiba nini kitatokea nchini Tanzania na hawa wenye gereji wakiwa ni wapiga kura pia.

Na GENTAMYCINE hadi leo nina kumbukumbu nzuri tu ya kwamba ama ni miaka miwili imepita/mmoja umepita ni serikali hii hii ya mkoa wa Dar es Salaam ilikuja na tamko zito dhidi ya hawa hawa wamiliki wa hizi gereji bubu na leo nashangaa tena kauli imebadilika.

Hata hivyo nimeshapata sasa sababu ya kuanzisha uchunguzi ni kwanini zile ngome zote za ' wapinzani ' Mkoani Dar es Salaam ambazo zipo maeneo yasiyotakiwa kisheria/kikanuni sasa ukienda unakuta kumewekwa bendera nyingi za Chama Dola lakini ukikutana na wahusika baadhi yao (japo bado sijawaamini kwa 100%) wanakuambia hiyo ni ' Strategy' yao tu ya kuzuiwa kuhamishwa na hata kufukuzwa lakini wao bado ni 'wapinzani' na kwamba mwakani 2020 lazima 'wamlize' mtu katika sanduku la posta japo kwa sasa huyo mtu anadhani anakubalika nao wakati kumbe wameshamchoka kitambo.
Kichwa cha habari ni kinyume chake. Tuko mbioni kusema Uchaguzi usifanyike pesa za uchaguzi zitumiwe kwa shughuli nyingine ya maendeleo. Mh. Magufuli Oyeeeee!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom