The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 820
- 2,070
#PichaYaKwanza; Polisi huko Nakuru, Kenya akimburuza kwa pikipiki mwanamke mmoja aliyekamatwa kwa tuhuma za wizi. Polisi walimfunga mikono na miguu kisha wakamburuza kwa pikipiki kuelekea kituoni.
Lakini kabla ya kufika kituoni alikua ameshapata majeraha mengi na nguo zake zote kuchanika na kubaki uchi wa mnyama. Just imagine ukatili na udhalilishaji mkubwa kiasi hiki? Na ni mama mtu mzima ambaye hao askari wanaweza kuwa na umri sawa na wanae
Nimeiona video alipokua akiburuzwa akilia kwa uchungu na kuomba wamfungue. Askari mmoja anajibu kwa dharau kwamba "ng'ata hiyo kamba uikate". A high level of brutality
Lakini hutasikia mtu yeyote akisema BlackLivesMatter wala hutaona watu wakiandamana. Simply kwa sababu mtu mweusi kamfanyia ukatili mweusi mwenzie. Lakini ingekua imetokea Marekani ungeshangaa vijana wa Bukene hadi Sanya juu wameandamana na mabango BalackLivesMatter. UNAFIKI
Wasanii wetu Bongo nao eti walienda ubalozi wa Marekani kulaani tukio la kuawa George Floyd lakini hawajasema lolote kuhusu tukio hili la Kenya. Bila shaka hawajui ubalozi wa Kenya ulipo.
#PichaYaPili; Dereva bodaboda aliyeuawa mwezi April na polisi mjini Nairobi baada ya kudaiwa kukiuka agizo la Lock down. Huyu kijana mkewe alikua mjamzito. Na siku ya kujifungua alimbeba kwenye pikipiki yake hadi hospitali.
Wakati anarudi ndipo akakutana na polisi ambao walimdhalilisha na kumpiga sana. Alifariki dunia siku chache baadae kutokana na majeraha kichwani. Mkewe aliporudi kujifungua badala ya baba kumuona mtoto, mtoto anaoneshwa kaburi la baba. Just imagine.
Lakini hakuna aliyesema BlackLivesMatter kwa ukatili huu. Tunasubiri yatokee Marekani ndipo tupanue midomo. UNAFIKI. Black lives matter everywhere not only in US.
Mtu mweusi ni mnafiki sana, hasa anayeishi Afrika. Vyama vya siasa na NGOs zilishindana kutoa matamko ya kukemea tukio la George Floyd. Nasubiri kuona matamko yao kuhusu huyu mama wa Kenya maana ni tukio la siku mbili tu zilizopita. Chadema, CCM, ACT, CHAUMA etc we are waiting 4u.
Tusijifanye tunathamini sana maisha ya mtu mweusi aliyepo Marekani kuliko ya mweusi aliyepo Afrika. Unawezaje kuona kibanzi kwenye jicho la mwenzio while jichoni kwako una boriti? UNAFIKI.!!
Malisa GJ
Lakini kabla ya kufika kituoni alikua ameshapata majeraha mengi na nguo zake zote kuchanika na kubaki uchi wa mnyama. Just imagine ukatili na udhalilishaji mkubwa kiasi hiki? Na ni mama mtu mzima ambaye hao askari wanaweza kuwa na umri sawa na wanae
Nimeiona video alipokua akiburuzwa akilia kwa uchungu na kuomba wamfungue. Askari mmoja anajibu kwa dharau kwamba "ng'ata hiyo kamba uikate". A high level of brutality
Lakini hutasikia mtu yeyote akisema BlackLivesMatter wala hutaona watu wakiandamana. Simply kwa sababu mtu mweusi kamfanyia ukatili mweusi mwenzie. Lakini ingekua imetokea Marekani ungeshangaa vijana wa Bukene hadi Sanya juu wameandamana na mabango BalackLivesMatter. UNAFIKI
Wasanii wetu Bongo nao eti walienda ubalozi wa Marekani kulaani tukio la kuawa George Floyd lakini hawajasema lolote kuhusu tukio hili la Kenya. Bila shaka hawajui ubalozi wa Kenya ulipo.
#PichaYaPili; Dereva bodaboda aliyeuawa mwezi April na polisi mjini Nairobi baada ya kudaiwa kukiuka agizo la Lock down. Huyu kijana mkewe alikua mjamzito. Na siku ya kujifungua alimbeba kwenye pikipiki yake hadi hospitali.
Wakati anarudi ndipo akakutana na polisi ambao walimdhalilisha na kumpiga sana. Alifariki dunia siku chache baadae kutokana na majeraha kichwani. Mkewe aliporudi kujifungua badala ya baba kumuona mtoto, mtoto anaoneshwa kaburi la baba. Just imagine.
Lakini hakuna aliyesema BlackLivesMatter kwa ukatili huu. Tunasubiri yatokee Marekani ndipo tupanue midomo. UNAFIKI. Black lives matter everywhere not only in US.
Mtu mweusi ni mnafiki sana, hasa anayeishi Afrika. Vyama vya siasa na NGOs zilishindana kutoa matamko ya kukemea tukio la George Floyd. Nasubiri kuona matamko yao kuhusu huyu mama wa Kenya maana ni tukio la siku mbili tu zilizopita. Chadema, CCM, ACT, CHAUMA etc we are waiting 4u.
Tusijifanye tunathamini sana maisha ya mtu mweusi aliyepo Marekani kuliko ya mweusi aliyepo Afrika. Unawezaje kuona kibanzi kwenye jicho la mwenzio while jichoni kwako una boriti? UNAFIKI.!!
Malisa GJ