Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 570
- 1,488
Wana jamvi habari,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Hivi unapokuwa na mpenzi akakuzingua huwa unafanya nini kama mmefikia ile point ya kila mtu afe kivyake. Binafsi huwa napiga buyu tu mdogo mdogo namsahau ila imekuwa tofauti kwa huyu binti. Kila nikitaka kuachana naye nashindwa kabisa. Kiufupi demu hajatulia hata kidogo ana mambo mengi usipime, hivi mpaka naandika ni jana tu nimeenda kwake bila kumtaarifu nilikuwa napita nkaona nimpe hi sikumkuta. nkamtext yuko wapi nahitaj kumuona akanijibu anaumwa sana tumbo anakimbisa mwenge hawezi kutoka. Ckumwambia kama nilikuwa kwake maana hatukai mtaa mmoja(say Tabata na Sinza) nkaamua kusepa. Asubuhi kanipigia namuuliza jana alikuwa wapi kawa mkali kama pilipili miksa kuniambia namuona malaya namkosea adabu. Nkaona isiwe tabu nkamwambia tuachane. Ila sasa uhimilivu kuwa nae mbali sina. najua badae akinitafuta ntapotezea tu. Mnanishaurije wadau hebu tiririkeni mnadeal aje na ishu kama hizi.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Hivi unapokuwa na mpenzi akakuzingua huwa unafanya nini kama mmefikia ile point ya kila mtu afe kivyake. Binafsi huwa napiga buyu tu mdogo mdogo namsahau ila imekuwa tofauti kwa huyu binti. Kila nikitaka kuachana naye nashindwa kabisa. Kiufupi demu hajatulia hata kidogo ana mambo mengi usipime, hivi mpaka naandika ni jana tu nimeenda kwake bila kumtaarifu nilikuwa napita nkaona nimpe hi sikumkuta. nkamtext yuko wapi nahitaj kumuona akanijibu anaumwa sana tumbo anakimbisa mwenge hawezi kutoka. Ckumwambia kama nilikuwa kwake maana hatukai mtaa mmoja(say Tabata na Sinza) nkaamua kusepa. Asubuhi kanipigia namuuliza jana alikuwa wapi kawa mkali kama pilipili miksa kuniambia namuona malaya namkosea adabu. Nkaona isiwe tabu nkamwambia tuachane. Ila sasa uhimilivu kuwa nae mbali sina. najua badae akinitafuta ntapotezea tu. Mnanishaurije wadau hebu tiririkeni mnadeal aje na ishu kama hizi.