kijanamakini
Senior Member
- Nov 2, 2010
- 116
- 13
Ni kweli kabisa, kuna malengo ya kutoa huduma za kibiashara kwa makampuni kupitia app ya WhatsApp...ila kwa sasa hivi hakuna mapato yanayotengenezwa na watu kutumia app ya WhatsApp.
Soma uchambuzi mzima kuhusu hili kupitia Teknokona - WhatsApp haina chanzo cha kuingiza Pesa mpaka sasa [HASHTAG]#Uchambuzi[/HASHTAG]
Soma uchambuzi mzima kuhusu hili kupitia Teknokona - WhatsApp haina chanzo cha kuingiza Pesa mpaka sasa [HASHTAG]#Uchambuzi[/HASHTAG]