Nimeipata fursa ya kufika anapoishi bariadi sitaki kuzungumzia undani wake kisiasa ila Kama unaamini dunian chawi upo Basi muogope Sana huyu jamaa hizi sio story za kijiwe cha kahawa mtu kila mganga bingwa kutoka shinyanga anajiona fahari kufanya kazi na huyu mtu
Anaogopeka sio shinyanga tu hata ndani ya bunge na ndani ya chama chake tena ndani ya chama ndio hagusiki usiombe ukutane na wachawi wanaotumikia uchawi katika msisha yao.
Anaogopeka sio shinyanga tu hata ndani ya bunge na ndani ya chama chake tena ndani ya chama ndio hagusiki usiombe ukutane na wachawi wanaotumikia uchawi katika msisha yao.