Ana ma faili machafu ya viongozi wote hapa nchini kama alivyokuwa Edgar Hoover aliekuwa boss wa maisha na muasisi wa CIA ambapo viongozi wote pale US walimgwaya bila kujali vyeo vyao! Pia la joka la makengeza is very bright anaijua vizur katiba yetu na mapungufu yake bila kuifunua! Na mapungufu hayo kwa sehem kubwa aliyaweka yeye inasemekana pia ana payroll ya FBI