Unafahamu nguvu ya Wazo?

Asante sana Neo. Nitajaribu kukujibu vyema.

Kwa lugha rahisi wengi husema kuwa mawazo ni kama vile bubbles zinazotoka kwenye kisima cha akili. Au ni sawa na kusema kuwa Subconscius part inatazama kioo, kioo hicho ni conscious mind, na mawazo ni kama ukungu unaozuia subconscious kutazama conscious part.

Ili kuelewa vyema mawazo ni nini, chukulia mfano wa redio. Mwanadamu ni redio, mawazo ni mawimbi yako ya umeme. Kila wazo lijapo, ukilikubali na kulishikilia basi wazo hilo hutuma waves/mawimbi kwenye ulimwengu (To The Universe) na hufanya mpangilio wa universe kujiweka katika reality hiyo ya wazo hilo. Hivyo mawazo sio mabaya bali ubaya ni kuwaza mawazo mabaya na mawazo yasiyo na umuhimu katika safari ya maisha. Kama utajishikilia na mawazo na kuamini kuwa wewe sio kiongozi wa mawazo yako basi mawazo yatakutawala na utakuwa mtumwa wa kuitikia mawazo yako bila kujijua. Wengi sana wanatenda, wanaongea, au wanawaza kile kijacho akilini bila kuwa na time na space ya kujichunguza.

Hivyo ni vyema kuwa askari wa kutazama mawazo unayoyatazama bila kujishikilia nayo. Na ili kuweza kufanya hivyo ni kuweka mawazo yako au akili yako katika jambo moja. Ni kitu ambacho unaweza kuona ni rahisi lakini ni kigumu sana kwani hapo mwanzo katika dakika za mwanzo unaweza kumudu lakini baada ya muda akili itakudanganya kuwa its booring to do that na itaanza kuama na kuanza kuona kuwa
ni vigumu kuweka akili kwenye wazo moja.

Miaka ya kale watu walikuwa wanapata busara, hekima, nguvu ya maajabu, kuona nguvu za Mungu, na Kufunuliwa kupitia mafunzo yaliyokwepo ya kufundisha watu kuongoza akili zao.

Mfano mzuri unaotumika ni sala, nyimbo, meditation, yoga, n.k vyote hivi lengo lake kuu ukichunguza ni kukuongezea concentration. Unapoweka akili kwenye jambo moja na kuweza kumudu katika hali hiyo kwa muda mrefu kama lisaa, siku n.k unaongeza nguvu yako ya asili. Thats the fact. Ndio maana watu walioweza kufunuliwa hapo kale walishapitia kipindi cha kujitesa mfano kufunga, meditation, kuwa mbali na watu (kujitenga) n.k Katika kipindi hiko wanapata strength.

Third Eye ni sehemu ya nyuma ya macho na juu kidogo katikati ya macho yako. Ndani kuna peneal gland. Hii ni gland ambayo inatoa kemikali maalumu mara mbili tu katika maisha yako kemikali hii inatoka yenyewe.
Inatoka
  • Siku ukizaliwa
  • Na wakati unakata roho.
Kemikali hii imegundulika kuwa kwa watu wanaofanya meditation huwa inatoka pale mtu anapokuwa katika very deep meditation. Au pale unapoweka akili kwenye kitu kimoja au wazo moja tu basi unaamsha kemikali hii.

Pia ni vyema kufahamu Chakra ni nini. Ni sehemu kuu saba za nguvu ya mwili. Sehemu hizi hufunguka moja moja kutoka chini ya uti wa mgongo mpaka kwenye utosi. Nazo zinahusika sana ili kuelewa Third Eye.
Mbona kuna kipindi mtu ukiwaza sana pesa au.kazi kwa muda mrefu kichwa kinauma na mishipa ya fahamu inasimama hii siyo hatari kwa afya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninahisi ninacho cha kuchangia.. naomba ni base kwenye dini ya kikristo... Rejea Sala tuliyofundwishwa kusali... Baba yetu uliye Mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje, UTAKALO LIFANYIKE DUNIANI KAMA HUKO MBINGUNI( MAPENZI YAKO YAFANYIKE DUNIANI KAMA HUKO MBINGUNI).KWAIO NAAMINI MAWAZO MAZURI HUTOKA KWA MUNGU MBINGUNI.. NA MAWAZO MABAYA HUTOKA KWA joka kuzimu, Fahamu, Mbingu ipo, na kuzimu ipo. Ukiwaza kitu kibaya sana, conscious yako inakusuta, jua wazo ilo linatoka wapi, na ukiwaza kitu kizuri, conscious yako inatoa nuru, jua hilo linatoka wapi. Binadamu tumeumbwa na Uungu ndani yake. Shetani siri hii anaijua... Na hataki kukubari.. wewe fikiria mtu mfano, anawaza kutengeneza biological weapons like ma virus ili auwe binadamu then atoe dawa atajirike... Unafikiria wazo hili lilitoka wapi? Kwaio wazo hutoka either of the one of the place... Na conscious yako automatic itakuambia kama ni jema au sio jema... Uamuzi wa kulifuata unao wewe.. Kila binadamu anapozaliwa amewekewa michoro/ mawazo mbali mbali ambayo Mungu anataka ayafanye apa duniani kwa ajili ya maisha yake, na Kumtukuza Mungu... Mpango huu shetani anaujua vizuri, ili kutaka kumkomoa Mungu, anauvuruga. Bahati mbaya sanaaaaaa, sisi wanadamu tuna bahat mbaya, ole wetuuu.. lile joka lililoasi enzi yake mbinguni, lilitupwa apa duniani, na kuzimu ma mamlaka yake ameiweka apa apa duniani.. ambapo sisi tunaishi.. ndo maana kuna andiko linasema, ole wako ewe mwanadamu, unaeishi ktk hii dunia ambayo joka ilo limetupwa na linaishi.. alafu mbaya zaidi.. Mungu alipo umba dunia na mwanadamu, akasema, dunia hii nawaachia wanadamu, mimi Mungu mahali pangu ni juu, juu sanaaa. Hivyo, Mungu alituacha na ili joka, na liliutesa ulimwengu lilivyotaka ndio maana adi kilio cha mwanadanu kikamfikia Mungu Mbinguni, Mungu akawaonea huruma wanadamu, akaweka mpango wa kuwakomboa wanadamu na ili joka, ndipo akamtuma mwana wake wa pekee amnyanganye uyu joka ufunguo wa kututawala, na Yesu alipokuja na kufa, na kumwaga damu, wale wote kwa imani watakaoikubali damu na kufa kwake na kufufuka wataitwa wana wa Mungu, means watarudishiwa uwezo walioupoteza apo mwanzo.. na ivyo watakuwa na uwezo wa kumshinda uyu joka ambae ndio shetani. Na daima mawazo yao yatakuwa mazuri na ya ki-Mungu yenye kuwaza mema ktk nchi..... Naomba ni pause, sorry kwa uhandishi wangu mbaya, ndo najifunza..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninahisi ninacho cha kuchangia.. naomba ni base kwenye dini ya kikristo... Rejea Sala tuliyofundwishwa kusali... Baba yetu uliye Mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje, UTAKALO LIFANYIKE DUNIANI KAMA HUKO MBINGUNI( MAPENZI YAKO YAFANYIKE DUNIANI KAMA HUKO MBINGUNI).KWAIO NAAMINI MAWAZO MAZURI HUTOKA KWA MUNGU MBINGUNI.. NA MAWAZO MABAYA HUTOKA KWA joka kuzimu, Fahamu, Mbingu ipo, na kuzimu ipo. Ukiwaza kitu kibaya sana, conscious yako inakusuta, jua wazo ilo linatoka wapi, na ukiwaza kitu kizuri, conscious yako inatoa nuru, jua hilo linatoka wapi. Binadamu tumeumbwa na Uungu ndani yake. Shetani siri hii anaijua... Na hataki kukubari.. wewe fikiria mtu mfano, anawaza kutengeneza biological weapons like ma virus ili auwe binadamu then atoe dawa atajirike... Unafikiria wazo hili lilitoka wapi? Kwaio wazo hutoka either of the one of the place... Na conscious yako automatic itakuambia kama ni jema au sio jema... Uamuzi wa kulifuata unao wewe.. Kila binadamu anapozaliwa amewekewa michoro/ mawazo mbali mbali ambayo Mungu anataka ayafanye apa duniani kwa ajili ya maisha yake, na Kumtukuza Mungu... Mpango huu shetani anaujua vizuri, ili kutaka kumkomoa Mungu, anauvuruga. Bahati mbaya sanaaaaaa, sisi wanadamu tuna bahat mbaya, ole wetuuu.. lile joka lililoasi enzi yake mbinguni, lilitupwa apa duniani, na kuzimu ma mamlaka yake ameiweka apa apa duniani.. ambapo sisi tunaishi.. ndo maana kuna andiko linasema, ole wako ewe mwanadamu, unaeishi ktk hii dunia ambayo joka ilo limetupwa na linaishi.. alafu mbaya zaidi.. Mungu alipo umba dunia na mwanadamu, akasema, dunia hii nawaachia wanadamu, mimi Mungu mahali pangu ni juu, juu sanaaa. Hivyo, Mungu alituacha na ili joka, na liliutesa ulimwengu lilivyotaka ndio maana adi kilio cha mwanadanu kikamfikia Mungu Mbinguni, Mungu akawaonea huruma wanadamu, akaweka mpango wa kuwakomboa wanadamu na ili joka, ndipo akamtuma mwana wake wa pekee amnyanganye uyu joka ufunguo wa kututawala, na Yesu alipokuja na kufa, na kumwaga damu, wale wote kwa imani watakaoikubali damu na kufa kwake na kufufuka wataitwa wana wa Mungu, means watarudishiwa uwezo walioupoteza apo mwanzo.. na ivyo watakuwa na uwezo wa kumshinda uyu joka ambae ndio shetani. Na daima mawazo yao yatakuwa mazuri na ya ki-Mungu yenye kuwaza mema ktk nchi..... Naomba ni pause, sorry kwa uhandishi wangu mbaya, ndo najifunza..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kifo cha yesu kimebadilisha nini kwenye hii dunia mbona magonjwa, njaa, na umasikini bado vipo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninahisi ninacho cha kuchangia.. naomba ni base kwenye dini ya kikristo... Rejea Sala tuliyofundwishwa kusali... Baba yetu uliye Mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje, UTAKALO LIFANYIKE DUNIANI KAMA HUKO MBINGUNI( MAPENZI YAKO YAFANYIKE DUNIANI KAMA HUKO MBINGUNI).KWAIO NAAMINI MAWAZO MAZURI HUTOKA KWA MUNGU MBINGUNI.. NA MAWAZO MABAYA HUTOKA KWA joka kuzimu, Fahamu, Mbingu ipo, na kuzimu ipo. Ukiwaza kitu kibaya sana, conscious yako inakusuta, jua wazo ilo linatoka wapi, na ukiwaza kitu kizuri, conscious yako inatoa nuru, jua hilo linatoka wapi. Binadamu tumeumbwa na Uungu ndani yake. Shetani siri hii anaijua... Na hataki kukubari.. wewe fikiria mtu mfano, anawaza kutengeneza biological weapons like ma virus ili auwe binadamu then atoe dawa atajirike... Unafikiria wazo hili lilitoka wapi? Kwaio wazo hutoka either of the one of the place... Na conscious yako automatic itakuambia kama ni jema au sio jema... Uamuzi wa kulifuata unao wewe.. Kila binadamu anapozaliwa amewekewa michoro/ mawazo mbali mbali ambayo Mungu anataka ayafanye apa duniani kwa ajili ya maisha yake, na Kumtukuza Mungu... Mpango huu shetani anaujua vizuri, ili kutaka kumkomoa Mungu, anauvuruga. Bahati mbaya sanaaaaaa, sisi wanadamu tuna bahat mbaya, ole wetuuu.. lile joka lililoasi enzi yake mbinguni, lilitupwa apa duniani, na kuzimu ma mamlaka yake ameiweka apa apa duniani.. ambapo sisi tunaishi.. ndo maana kuna andiko linasema, ole wako ewe mwanadamu, unaeishi ktk hii dunia ambayo joka ilo limetupwa na linaishi.. alafu mbaya zaidi.. Mungu alipo umba dunia na mwanadamu, akasema, dunia hii nawaachia wanadamu, mimi Mungu mahali pangu ni juu, juu sanaaa. Hivyo, Mungu alituacha na ili joka, na liliutesa ulimwengu lilivyotaka ndio maana adi kilio cha mwanadanu kikamfikia Mungu Mbinguni, Mungu akawaonea huruma wanadamu, akaweka mpango wa kuwakomboa wanadamu na ili joka, ndipo akamtuma mwana wake wa pekee amnyanganye uyu joka ufunguo wa kututawala, na Yesu alipokuja na kufa, na kumwaga damu, wale wote kwa imani watakaoikubali damu na kufa kwake na kufufuka wataitwa wana wa Mungu, means watarudishiwa uwezo walioupoteza apo mwanzo.. na ivyo watakuwa na uwezo wa kumshinda uyu joka ambae ndio shetani. Na daima mawazo yao yatakuwa mazuri na ya ki-Mungu yenye kuwaza mema ktk nchi..... Naomba ni pause, sorry kwa uhandishi wangu mbaya, ndo najifunza..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema Kuwa Ulijifunza kukaa bila kufikilia, pia ukagundua kuwa unapokaa bila kufikilia ndipo mtu anaweza kupata furaha halisi na kujitambua pia kunaongezeka.. swali ni kwamba mtu asiye waza chochote anawezaje kuwa na furaha na kujitambua kama unavyodai, wakati mawazo ndio source ya kutengeneza uhalisia wa vitu anavyovitaka binadamu? au usipo waza vitu unavyo vihitaji vitakuja automatically? maana ninavyojua mimi kama nahitaji kuwa na nyumba nzuri lazima niiwaze kwanza kabla sijaanza ku_implement effort kuipata, sasa utasemaje kuwa usipowaza chochote ndipo utakua na furaha!! How does it work? explain..
Swali zuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom