Mbao Tanzania
Senior Member
- May 31, 2021
- 170
- 215
Kwanza tunawapongeza wote mnaoendelea na ujenzi wa makazi. Kumiliki nyumba kuna heshima yake.
Lakini hebu tuambieni, ratiba za kwenda site huwa zikoje?
Mfano wewe unayejenga; site unaenda kila wikiendi kwa ajili ya kusimamia mafundi, au kila unapopata hela ya kujazia jazia vifaa na malipo ya hapa na pale?
Ruhusa kushea picha ya mjengo na mahesabu hasa ya mbao za kupaua kwenye uzi huu ili "kuwatia hasira" na wengine wahamasike!
Lakini hebu tuambieni, ratiba za kwenda site huwa zikoje?
Mfano wewe unayejenga; site unaenda kila wikiendi kwa ajili ya kusimamia mafundi, au kila unapopata hela ya kujazia jazia vifaa na malipo ya hapa na pale?
Ruhusa kushea picha ya mjengo na mahesabu hasa ya mbao za kupaua kwenye uzi huu ili "kuwatia hasira" na wengine wahamasike!