Heavy Weight
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 888
- 875
SABABU YA KURUDI TANZANIA
Tajiri Mo Dewji amejaribu kuelezea sababu iliyofanya arudi Tanzania, baada ya kumaliza masomo yake Marekani na kufanya kazi kwa muda.
Je unahisi Tanzania kuna fursa nyingi za kutoka kimaisha kama alivyoelezea?
Nilipomaliza masomo yangu ya shahada nikiwa nchini Marekani niliamua kubaki huko na kufanya kazi. Nilitumia muda na nguvu nyingi kazini lakini pesa ambayo niliipata haikukidhi kufanikisha malengo yangu.
Ndipo Baba yangu akanishauri nirejee nyumbani Tanzania na nilipofatilia kwa kipindi hicho niligundua kwamba Tanzania kuna fursa nyingi za kibiashara na hapo ndipo nilipoamua kurudi na kujiunga katika biashara ya familia.
Muhimu kufahamu ni kwamba mafanikio sio lazima uende kuyatafuta nje ya nchi, hapa hapa nchini kwetu kuna fursa ambazo ukifanyia kazi utafanikiwa.
Unafikiri kwanini baadhi ya watu wanapenda kuishi/kufanya kazi nje ya nchi?
__________________________
WHY I MOVED BACK TO TANZANIA
After completing my degree program in America, I decided to stay back and work. I used a lot of my time and energy at work but what I earned was not enough to allow me to meet my goal.
That’s when my father advised me to come back home Tanzania and after a bit of research I came to realize that there are a lot of business opportunity in Tanzania by then and hence I decided to move back here and join in the family business.
It is important to note that success is not necessarily found abroad, but there are opportunities here at home where if you work on them you can become successful.
Why do you think that some people prefer to live/work abroad?
Tajiri Mo Dewji amejaribu kuelezea sababu iliyofanya arudi Tanzania, baada ya kumaliza masomo yake Marekani na kufanya kazi kwa muda.
Je unahisi Tanzania kuna fursa nyingi za kutoka kimaisha kama alivyoelezea?
Nilipomaliza masomo yangu ya shahada nikiwa nchini Marekani niliamua kubaki huko na kufanya kazi. Nilitumia muda na nguvu nyingi kazini lakini pesa ambayo niliipata haikukidhi kufanikisha malengo yangu.
Ndipo Baba yangu akanishauri nirejee nyumbani Tanzania na nilipofatilia kwa kipindi hicho niligundua kwamba Tanzania kuna fursa nyingi za kibiashara na hapo ndipo nilipoamua kurudi na kujiunga katika biashara ya familia.
Muhimu kufahamu ni kwamba mafanikio sio lazima uende kuyatafuta nje ya nchi, hapa hapa nchini kwetu kuna fursa ambazo ukifanyia kazi utafanikiwa.
Unafikiri kwanini baadhi ya watu wanapenda kuishi/kufanya kazi nje ya nchi?
__________________________
WHY I MOVED BACK TO TANZANIA
After completing my degree program in America, I decided to stay back and work. I used a lot of my time and energy at work but what I earned was not enough to allow me to meet my goal.
That’s when my father advised me to come back home Tanzania and after a bit of research I came to realize that there are a lot of business opportunity in Tanzania by then and hence I decided to move back here and join in the family business.
It is important to note that success is not necessarily found abroad, but there are opportunities here at home where if you work on them you can become successful.
Why do you think that some people prefer to live/work abroad?