Unadhani ni kwanini Rais Samia na CCM wamemtosa mazima Shaka katika nafasi ya Uenezi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,546
108,876
Je,.....

1. Hatoshei Kiushawishi?

2. Mnafiki?

3. Mpika Majungu?

4. Muongo?

5. Hana Mvuto / Mvutoless?

6. Si Mpayukaji?

7. Usoni Mama na Rohoni January?

Kazi yangu Kubwa ( Kuu ) leo GENTAMYCINE ni Kutulia na Kusoma Kiumakini mno Comments zenu na naamini hamtoniangusha.
 
Kwanza aliemteua alitumia vigezo gani kwenye uteuzi, na alipewa hadidu gani za rejea, mteuzi anajua zaidi, na huyu shaka hajapoteza anaenda kupewa ubunge muda si mrefu.

Shaka ni mchanga sana, the dark side of his, hasa kumudu siasa za majukwaa huku bara haendani kabisa.
 
Je,.....

1. Hatoshei Kiushawishi?

2. Mnafiki?

3. Mpika Majungu?

4. Muongo?

5. Hana Mvuto / Mvutoless?

6. Si Mpayukaji?

7. Usoni Mama na Rohoni January?

Kazi yangu Kubwa ( Kuu ) leo GENTAMYCINE ni Kutulia na Kusoma Kiumakini mno Comments zenu na naamini hamtoniangusha.
Shaka alishatuhumiwa na JPM kuwa ni mla rushwa.Naona Sasa imedhibitika.
 
Je,.....

1. Hatoshei Kiushawishi?

2. Mnafiki?

3. Mpika Majungu?

4. Muongo?

5. Hana Mvuto / Mvutoless?

6. Si Mpayukaji?

7. Usoni Mama na Rohoni January?

Kazi yangu Kubwa ( Kuu ) leo GENTAMYCINE ni Kutulia na Kusoma Kiumakini mno Comments zenu na naamini hamtoniangusha.
Ana tuhuma za rushwa JPM alimpiga chini ukatibu wa mkoa wa morogoro kwa kula mlungula na pia kuna faili limepokelewa toka Mombasa jamaa anataka nkewe
 
Jibu ni rahisi sana mkuu!
JamiiForums-560224217.jpg

Rais Samia,sio muumini wa kukosolewa kama anavyojinasibu!
Na huo ndio ukweli wenyewe!
 
Back
Top Bottom