Mustapha Ryder
Member
- Dec 19, 2013
- 76
- 12
Tumebishana sana leo kitaa hebu nisaidieni wanakijiji juu ya hawa mastaa nani mkali? Diamond na 20%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyie kweli mevurugwa! diamond very soon anapga colabo na akina chrst brown, unamlngansha na 20%?
Aisee mi ni mkwelii Diamond ni mkaree tuwen tu wakweliii yaan kuna nyimbo zake hua zinabembelezaa,huyo 20 mlinganishe na kigwendu
Kama kwa kina P square alienda kwa Kuibia almanusra afukuzwe !
Now unaropoka domo kufanya collabo na kina Chriss Brown ! Be serious !
This can't be we ndo utakaeniambia Jose Chamilione na Diamond Mkali Diamond !
:focus:
Kwa mwenye akili timamu anaelewa ni nini 20% anafanya ! Ila mjinga mjinga hawezi kuelewa ! Nakuendelea kudatishwa na Domo !
LMFAO
2mebishana xana leo kitaa hebu nisaidieni wanakijiji juu ya hawa mastaa nani mkali?
Mkali kwa kipi labda, kuvaa sketi ama vipedo?
Nyie ndo wale mnaokuja kusema Diamond mkali kuliko Juma Nature...
Mafanikio ya kifedha haya-determine kua we ndo mkali katika fani yako.. kama hiyo ndo ground yako ya kusema Chai Jaba mkali.
Mwangalie P. Diddy si ndo anaongoza kwa hela kwenye hip hop, lakini si unamuonaga anarap pumba tu, Eminem ndo King wa Hip Hop lakin hayupo hata kwenye Top 5 za wenye hela za Hip Hop...
Kwenye boxing , Floyd anapiga hela ndefu lakini huezi mlinganisha kwa ukali na Muhhammad Ali ambaye hakuwahi kushika hela izo
Ukitaka thibitisha hilo 20% aandae show siku moja na diamond halafu uone atakayejaza ukumbi ni nani.
Kwani wewe mtu kufanikiwa kimziki ni nini? Nadhani ni kuimba na kuifikia watu wengi wakamjua na kupenda kazi zake akaingiza pesa.
Haijalishi uwe mkali kiaje kama watu hawatakuelewa unatoa ngoma unaishia sikiliza wewe na jirani zako basi mziki utakuwa bado hujafanikiwa.
Kumcompare mohamed ally na floyd si haki kwakuwa wamekuwa kwenye masumbwi katika vipindi tofauti may be ally naye angeanza masumbwi recently angekuwa ana pesa.
Diddy yeye utajiri wake unatokana na ujasiriamali na u producer na sio mziki.
Kwa hiyo unataka kusema wabongo wengi mamburula maana nadhani asilimia kubwa wanamkubari diamond zaidi ya 20%.
Naona unashoboka.
Kupigana kwa vipindi tofauti na kwa uzito tofauti hakuleti tofauti yoyote katika mchezo wetu huu
Ndo mana kuna vitu vinaitwa
Pound for pound
The greatest of all time
The best ever n.k
Kingine unachoshoboka nacho ndio ni kweli Diddy ni enterpreneur na producer na ni rapper vile vile.....
Huo 'utajiri ' wa diamond ...kama vile ambavo nyie flomo mnavodai ni tajiri umetokana na muziki tu??
Hayo matangazo ya Coca na vodacom vipi?
Kile kiduka chake cha nguo kilichokufa pale kino Studio
, kuuza uza tisheti na vipedo vipi sio ujasiriamali huo??
Ulivo na akili fupi 20% nyimbo zake zile alizisikiliza yeye na jirani sio?
Acha majungu wewe, Tamaa Mbaya na Ya nini Malumbano , karibia Tanzania nzima zilisikilizwa tena na rika zote ..hadi wazee walimjua 20% kama una tatizo na personality yake sema ila kazi zake zitadumu sana.
Sijasema wabongo ni mambulula bali nasema wewe ndo mbulula kwani hujui matumizi sahihi ya 'R' na 'L'
Kumbe nilidhani najadili na mtu mwenye akili timamu kumbe najadili na mtu ambaye hajielewi nimejiepusha kutumia matusi sana japo toka reply yako ya kwanza still nikakujibu bila tusi sasa naona unaleta usela nyaa.
Inflation ya dollar haihafikia that extent unayotaka kujiaminisha.
Any way good day maana sijapenda lugha unayotumia kuwasilisha hoja zako
We ndo msela nya...sio mimi
Aya kavae pedo kama Diamond basi ili ukagombee tuzo ya BET na wewe ujickie