mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Wanabodi, nimerudi.
Mbowe Ananivutia Na Vitu Vingi Kwa Uchache Ni Mvumilivu Mno, Pili Anajua Kupika Vijana Kisiasa mfano Zitto, kafulila, mnyika, mdee, nassari N.k ni Kazi Yake
Vijana Wengi Hawana Uelewa Wa Maswala Ya Kisiasa, Wengi Hudhani Siasa Haziwahusu Hili Ni Kosa Kubwa Sana Kwasababu Wako Hivyo Walivyo Leo Kwasababu Ya Siasa, Nini kifanyike? Tuboreshe Mfumo wetu wa ELIMU.
Kama Mkapa Angekuwa Mwenyekiti Wa CCM Mpaka Leo Hata Wanaccm Ungetaka Atoke ...Ndio Siasa Zilivyo BTW Kuendelea Kuamini Kwamba Wanachadema Hawataki Kuona Mabadiliko Ya Uongozi Wa Chama huko Ni Kugoma Kufikiri Sawasawa. Tunataka mabadiliko
Hakuna Kitu Kama Mwanaharakati Huru, Na Hakuna Mtanzania Asiye Na Chama, Kama Sio Mwanachama Kwa Kadi Bhasi Utakua Mwanachama Kiimani, Yaani Unauamini Upande Fulani Kuliko Upande mwingine, Mimi Ni Mwamachama Wa CHADEMA
CHADEMA Ya Sasa Imekua Ni CHADEMA Ya "Kulialia" Kwasababu Viongozi Wake Wengi Either Ni Waoga Au Wameishiwa Mbinu, Ushauri Wangu Kwa Mwenyekiti Asichukue Fomu Ya Kugombea Hiyo Nafasi Tena, Kwa Wanachama Tuchague Viongozi Wapya Kwenye Uchaguzi Ujao.
Ni Kweli Nampigia Chapuo Mh Lissu Kuwa Mwenyekiti Wa CHADEMA Kwasababu Naamini Katika Uwezo Wake, CHADEMA Ya Sasa Inamuhitaji Lissu Kuliko Lissu Anavyoihitaji CHADEMA Hii Sio Movement haya Ni Mahaba Yangu Binafsi
Mwaka 2018 Ni Mwaka Wa Uchaguzi Ndani Ya Chama Hivyo Tumejipanga Kupata Viongozi Wapya Pili CHADEMA Ilipofikia Haiwezi Kufa Kwasababu eti Mtu amekihama Kama Ni Mfwatiliaji Wa Siasa Utakubaliana Na Mimi, ACT, TLP N.k Ndo vinaweza Kufa Mtu Akihama Sio CHADEMA
Sitaki Kusema Nchi Hii Iko Stagnant Ni Kweli Kwamba Tunapiga Hatua Za Kimaendeleo Siku Baada Ya Siku Lakini Hatua Hizi Za Kimaendeleo Hazifanani Na Hekaya Zinazopigwa Na Serikali & CCM, Kwangu Mimi Naona Hekaya Zimezidi Uhalisia.
Mimi Ni Mchumi By Pro Hivyo Nina Mengi Ya Kumshauri (Wasiwasi Wangu Ni Kwamba Alisema Hashauriki), Pili Sitaki Cheo Chochote Kwnye Serikali Ya JPM Kwasababu Siamini Katika "Vision" Aliyonayo
Huwezi kukutana Na Mwanamke Kanisani/msikitini Alafu Ukamnunua Ili Ulale Nae Wanaonunuliwa Ni Wale Waliojiegesha Sehemu Ya Mauzo...Same applies to Politics
"Wakijenga shule hawaingilii Wizara ya Elimu; wakijenga hospitali hawaingilii Wizara ya Afya; wakijenga kisima cha maji hawaingilii Wizara ya Maji; wanapongezwa. Wakihoji kwa nini hakuna dawa hospitali, wanaambiwa wanachanganya dini na siasa."- Askofu Dkt Bagonza, KKKT Karagwe
mr mkiki.
Mbowe Ananivutia Na Vitu Vingi Kwa Uchache Ni Mvumilivu Mno, Pili Anajua Kupika Vijana Kisiasa mfano Zitto, kafulila, mnyika, mdee, nassari N.k ni Kazi Yake
Vijana Wengi Hawana Uelewa Wa Maswala Ya Kisiasa, Wengi Hudhani Siasa Haziwahusu Hili Ni Kosa Kubwa Sana Kwasababu Wako Hivyo Walivyo Leo Kwasababu Ya Siasa, Nini kifanyike? Tuboreshe Mfumo wetu wa ELIMU.
Kama Mkapa Angekuwa Mwenyekiti Wa CCM Mpaka Leo Hata Wanaccm Ungetaka Atoke ...Ndio Siasa Zilivyo BTW Kuendelea Kuamini Kwamba Wanachadema Hawataki Kuona Mabadiliko Ya Uongozi Wa Chama huko Ni Kugoma Kufikiri Sawasawa. Tunataka mabadiliko
Hakuna Kitu Kama Mwanaharakati Huru, Na Hakuna Mtanzania Asiye Na Chama, Kama Sio Mwanachama Kwa Kadi Bhasi Utakua Mwanachama Kiimani, Yaani Unauamini Upande Fulani Kuliko Upande mwingine, Mimi Ni Mwamachama Wa CHADEMA
CHADEMA Ya Sasa Imekua Ni CHADEMA Ya "Kulialia" Kwasababu Viongozi Wake Wengi Either Ni Waoga Au Wameishiwa Mbinu, Ushauri Wangu Kwa Mwenyekiti Asichukue Fomu Ya Kugombea Hiyo Nafasi Tena, Kwa Wanachama Tuchague Viongozi Wapya Kwenye Uchaguzi Ujao.
Ni Kweli Nampigia Chapuo Mh Lissu Kuwa Mwenyekiti Wa CHADEMA Kwasababu Naamini Katika Uwezo Wake, CHADEMA Ya Sasa Inamuhitaji Lissu Kuliko Lissu Anavyoihitaji CHADEMA Hii Sio Movement haya Ni Mahaba Yangu Binafsi
Mwaka 2018 Ni Mwaka Wa Uchaguzi Ndani Ya Chama Hivyo Tumejipanga Kupata Viongozi Wapya Pili CHADEMA Ilipofikia Haiwezi Kufa Kwasababu eti Mtu amekihama Kama Ni Mfwatiliaji Wa Siasa Utakubaliana Na Mimi, ACT, TLP N.k Ndo vinaweza Kufa Mtu Akihama Sio CHADEMA
Sitaki Kusema Nchi Hii Iko Stagnant Ni Kweli Kwamba Tunapiga Hatua Za Kimaendeleo Siku Baada Ya Siku Lakini Hatua Hizi Za Kimaendeleo Hazifanani Na Hekaya Zinazopigwa Na Serikali & CCM, Kwangu Mimi Naona Hekaya Zimezidi Uhalisia.
Mimi Ni Mchumi By Pro Hivyo Nina Mengi Ya Kumshauri (Wasiwasi Wangu Ni Kwamba Alisema Hashauriki), Pili Sitaki Cheo Chochote Kwnye Serikali Ya JPM Kwasababu Siamini Katika "Vision" Aliyonayo
Huwezi kukutana Na Mwanamke Kanisani/msikitini Alafu Ukamnunua Ili Ulale Nae Wanaonunuliwa Ni Wale Waliojiegesha Sehemu Ya Mauzo...Same applies to Politics
"Wakijenga shule hawaingilii Wizara ya Elimu; wakijenga hospitali hawaingilii Wizara ya Afya; wakijenga kisima cha maji hawaingilii Wizara ya Maji; wanapongezwa. Wakihoji kwa nini hakuna dawa hospitali, wanaambiwa wanachanganya dini na siasa."- Askofu Dkt Bagonza, KKKT Karagwe
mr mkiki.