The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Kwa mtazamo wako, unadhani kati ya kanuni mpya za mafao na kikokotoo cha mafao ya wastaafu na kanuni mpya za bendera ya taifa na wimbo wa taifa ni kitu gani hada kimeleta mgogoro na mkanganyiko mkubwa katika jamii ambacho rais alipaswa kukifuta baada ya kuleta sintofaham katika jamii?
Rais alipaswa kufuta kanuni mpya za mafao au kanuni mpya za bendera ya taifa?
Kati ya hivyo vitu hapo juu ni kipi chenye maslahi na manufaa kwa wananchi ambacho rais alitakiwa kukifutilia mbali au kutoa muongozo mpya?
Wewe unafikiri kipi hapo? Mimi bado nafikiri, sijapata jibu kwa kweli.
Rais alipaswa kufuta kanuni mpya za mafao au kanuni mpya za bendera ya taifa?
Kati ya hivyo vitu hapo juu ni kipi chenye maslahi na manufaa kwa wananchi ambacho rais alitakiwa kukifutilia mbali au kutoa muongozo mpya?
Wewe unafikiri kipi hapo? Mimi bado nafikiri, sijapata jibu kwa kweli.