Unachukua upinzani wote, halafu!!

Kigongoi kwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2018
447
440
Katibu Mkuu aliwahi kusema eneo fulani kwamba tunafanya kila njia kwa gharama yoyote kuwarudisha kwenye chama wapinzani

Yeye ni msomi,lakini amewahi kulifikiria hili; kwamba umebeba wapinzani woote mpaka Dovutwa akawa nao kwenye chama chake huku akikumbuka kwamba wale ni wanasiasa, kazi yao ni siasa. Wamefanya siasa maisha yao yote na kwamba sio wote wanaweza kuacha siasa baada ya kuhamia kwake. Atawapa kazi gani huko?

Upinzani sio viongozi, unategemea kiongozi akiondoka wanachama watawafuata?

Vipi kuhusu wapinzani wa asili akina Davy, unadhani wakikutana huko hawawezi kutengeneza kundi la kukisumbua chama?

Na hawa waliokisumbukia chama muda mrefu nafasi yao ya kushiriki siasa ikoje?

Kwanini asifanye jitihada za kuwashamiwishi wananchi wajiunge kwa wingi kwenye chama chake?
 
tatizo la ccm inalazimisha kukubalika inatumia nguvu nyingi sana kujiainisha kwamba inakubalika kumbe kiuharisia haikubaliki, wanashindwa kujua kwamba watanzania wa leo wanauwezo wakuchambua mambo, inaingiaje akilini kila kukicha the same story flani kajiunga na sababu zao zote zinafanana kuunga juhudi, halafu mtu anaitwa msomi, are we serious?
 
tatizo la ccm inalazimisha kukubalika inatumia nguvu nyingi sana kujiainisha kwamba inakubalika kumbe kiuharisia haikubaliki, wanashindwa kujua kwamba watanzania wa leo wanauwezo wakuchambua mambo, inaingiaje akilini kila kukicha the same story flani kajiunga na sababu zao zote zinafanana kuunga juhudi, halafu mtu anaitwa msomi, are we serious?

The so called maprof and madoctor Tanzania utofauti wao na darasa la saba kama upo ni mdogo sana, sikuwahi kutegemea kwamba the so called msomi DR.BASHIRU ALLY naye angeingia kufanya mchezo wa kipumbavu wa kununua binadamu wenzao, Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu
 
Katibu Mkuu aliwahi kusema eneo fulani kwamba tunafanya kila njia kwa gharama yoyote kuwarudisha kwenye chama wapinzani

Yeye ni msomi,lakini amewahi kulifikiria hili; kwamba umebeba wapinzani woote mpaka Dovutwa akawa nao kwenye chama chake huku akikumbuka kwamba wale ni wanasiasa, kazi yao ni siasa. Wamefanya siasa maisha yao yote na kwamba sio wote wanaweza kuacha siasa baada ya kuhamia kwake. Atawapa kazi gani huko?

Upinzani sio viongozi, unategemea kiongozi akiondoka wanachama watawafuata?

Vipi kuhusu wapinzani wa asili akina Davy, unadhani wakikutana huko hawawezi kutengeneza kundi la kukisumbua chama?

Na hawa waliokisumbukia chama muda mrefu nafasi yao ya kushiriki siasa ikoje?

Kwanini asifanye jitihada za kuwashamiwishi wananchi wajiunge kwa wingi kwenye chama chake?
Huyu jamaa reasoning yake uleta Shaka badala ya kuchukua mashabiki wa mpira na kocha wao eti anachukua wachezaji wakati underground wamejaa tele wa kuziba nafasi zilizoachwa wazi
 
The so called maprof and madoctor Tanzania utofauti wao na darasa la saba kama upo ni mdogo sana, sikuwahi kutegemea kwamba the so called msomi DR.BASHIRU ALLY naye angeingia kufanya mchezo wa kipumbavu wa kununua binadamu wenzao, Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu

Biashara ya WATUMWA imekuja kivingine.
 
Kama Wapinzani Ndio hawa wanaosalti Nchi bora tubaki na Ccm tu.
Wapinzani sio Viongozi ni wananchi ukitaka kuuwa wapinzani usiwasomeshe namba wananchi wako,wadhibiti wasiojulikana, bunge live,leta maendeleo ya watu sio vitu yaani watu washibe kwanza,biashara zitoke,
 
Katibu Mkuu aliwahi kusema eneo fulani kwamba tunafanya kila njia kwa gharama yoyote kuwarudisha kwenye chama wapinzani

Yeye ni msomi,lakini amewahi kulifikiria hili; kwamba umebeba wapinzani woote mpaka Dovutwa akawa nao kwenye chama chake huku akikumbuka kwamba wale ni wanasiasa, kazi yao ni siasa. Wamefanya siasa maisha yao yote na kwamba sio wote wanaweza kuacha siasa baada ya kuhamia kwake. Atawapa kazi gani huko?

Upinzani sio viongozi, unategemea kiongozi akiondoka wanachama watawafuata?

Vipi kuhusu wapinzani wa asili akina Davy, unadhani wakikutana huko hawawezi kutengeneza kundi la kukisumbua chama?

Na hawa waliokisumbukia chama muda mrefu nafasi yao ya kushiriki siasa ikoje?

Kwanini asifanye jitihada za kuwashamiwishi wananchi wajiunge kwa wingi kwenye chama chake?

Mbona watu wameshajua hili. Siri ni huko mbele awe na bunge la kuongezewa muda na miaka
 
tatizo la ccm inalazimisha kukubalika inatumia nguvu nyingi sana kujiainisha kwamba inakubalika kumbe kiuharisia haikubaliki, wanashindwa kujua kwamba watanzania wa leo wanauwezo wakuchambua mambo, inaingiaje akilini kila kukicha the same story flani kajiunga na sababu zao zote zinafanana kuunga juhudi, halafu mtu anaitwa msomi, are we serious?
Uliona wapi popote duniani eti MTU anaunga mkono kwa kuhama akishanunuliwa anapewa tena ulaji anakaa kimya abweki tena sababu ana shiba mezani wapi mtatiro,kafulila,mtulia,wametulia wanashiba sasa.
 
Lengo kuu la hama hama ili kuwafurusha masalia asili na kuwapata wahamiaji maslai kwa wingi sana wa Kusema ndiooo.Gharama zitarudi kwa tegemeo la kuwa na wahamiaji maslai wengi watakaobadili katiba ya kuondoa ukomo wa uraisi.Tuombe tu mabeberu watusaidie kwa hili bila hivo hali itazidi kuwa mbaya sana kiuchumi.
 
Kama Wapinzani Ndio hawa wanaosalti Nchi bora tubaki na Ccm tu.
Soma na tafakari acha haraka ya kujibu! Umeulizwa na mtoa hoja kuwa:-
Wanaohama na kununuliwa ni viongozi Tena wadogo tu kwa vyeo, wafuasi wao yaani waliowapigia kura wamepuuzwa na tajiri mnunuaji?
Siasa za kijinga sana hizi, yaani unamnunua mtu mmoja na kuwaacha maelefu waliokuwa wanamuunga mkono! Ccm ni sawa na yule aliyechoma Moto kitanda ili amuue kunguni mmoja! Huyo aliyeasisi na kulileta wazo la kuwanunua wapinzani mfukuzeni kwani anakiua chama chenu!
 
Unawanunua viongozi wa wapinzani halafu unatangaza wapinzani wamehamia CCM unasahau kwamba hao viongozi waliwekwa na Wana nchi wapinzani ambao hawajahama upinzani! Hivyo upinzani utaendelea kuwepo tu.
 
Back
Top Bottom