Omuregi Wasu
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 749
- 148
T.B Joshua alitabiri mauaji na kutekwa kwa Rais wa nchi. Tunakoelekea inaonekana unabii unaenda kutimia maana damu imeshamwagika kwa zaidi ya watu 500 kuuawa. Ngoja tuona maana biblia inasema neno langu halitarudi bure bila kutimiza kusudi lake. Nguvu ya waasi imekuwa kubwa kiasi cha kupiga ndege za Marekani zilizoko kwenye shughuli za amani.