Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,390
- 5,310
Kwani Lema ni Mungu? Ipo siku na yeye atakufaLema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa nguvu
View attachment 1783717