Kweli kabisa Mama Corona yuko vizuri sana, akiteuliwa PM anaweza kuitendea haki nafasi hiyo, Mungu amuongoze Oddo MwaimuHabari za mda huu wakuu.
Leo nmeona jamaa mmoja humu kaandika kuhusu hili na nmekuja kuyawasilisha mawazo yake yeye alitoka kama comments nmeamua kuleta kama mada.
Na Mimi pia naafiki ipo siku Odo Ummy atakuja kuwa PM. Wa JMT
Naomba tuwe wavumilivu na wasikivu tu nyota yake inang'aa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajipirikicha unachamba, acha kupanua Nya, panua ubongo! Nyau we.Akiwa Waziri Mkuu wewe utanufaika kivipi? Acha awe hata Rais ni faida kwa familia yake
Olewa kwanzaUnajipirikicha unachamba, acha kupanua Nya, panua ubongo! Nyau we.
Habari za mda huu wakuu.
Leo nmeona jamaa mmoja humu kaandika kuhusu hili na nmekuja kuyawasilisha mawazo yake yeye alitoka kama comments nmeamua kuleta kama mada.
Na Mimi pia naafiki ipo siku Odo Ummy atakuja kuwa PM. Wa JMT
Naomba tuwe wavumilivu na wasikivu tu nyota yake inang'aa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakiwa na agenda binafsiSamia aliwekwa tu kuwa Makamu wa Rais.
Makinda aliwekwa tu kuwa Speaker.
Bila matusi usingezaliwa wewe.
Kufuzu uchawi lazima upitie wivu!Akiwa Waziri Mkuu wewe utanufaika kivipi? Acha awe hata Rais ni faida kwa familia yake
Ahahahahah we utakuwa umekosa uteuzi, si kwa hasira hizi!Akiwa Waziri Mkuu wewe utanufaika kivipi? Acha awe hata Rais ni faida kwa familia yake
Mweh kama itatimia bac pale GOMBERO kwa wadigo patawekwa sanamu yakeHabari za mda huu wakuu.
Leo nmeona jamaa mmoja humu kaandika kuhusu hili na nmekuja kuyawasilisha mawazo yake yeye alitoka kama comments nmeamua kuleta kama mada.
Na Mimi pia naafiki ipo siku Odo Ummy atakuja kuwa PM. Wa JMT
Naomba tuwe wavumilivu na wasikivu tu nyota yake inang'aa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan ww mzimu wa ******** bado unakuandama hebu fanya mpango ulale juu ya lile kabur labda huo mzimu utakuachiaVyuma alivyonoa JPM
Ummy ni kati ya mawaziri walifundishwa na kukomazwa kiuongozi na shujaa
Ummy dada ya korona
Rest well John Pombe Magufuli
Yaan ww mzimu wa ******** bado unakuandama hebu fanya mpango ulale juu ya lile kabur labda huo mzimu utakuachia
Itakua lini iyo ,mbona hata dalili haipo, Mungu anasema wenda mh Majaliwa ndo waziri mkuu wa mwisho tokana na ccm,Sasa ngoja ufike alafu mlazimishe Kama ya 2020, mtajuta zaliwaHabari za mda huu wakuu.
Leo nmeona jamaa mmoja humu kaandika kuhusu hili na nmekuja kuyawasilisha mawazo yake yeye alitoka kama comments nmeamua kuleta kama mada.
Na Mimi pia naafiki ipo siku Odo Ummy atakuja kuwa PM. Wa JMT
Naomba tuwe wavumilivu na wasikivu tu nyota yake inang'aa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila watu ni comedian tuambie basi hilo jambo nasi tuchekeNilitaka kunena jambo nimeishia kucheka tu.
Ilikuwa ni muda mrefu nimeshasauIla watu ni comedian tuambie basi hilo jambo nasi tucheke